Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    China: Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani

    Aug 30, 2023 13:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesisitiza kuwa Magharibi ya Asia si eneo la kujifaragua dola kubwa lolote lile duniani. Wang Yi ametoa sisitizo hilo katika kikao na Adel al-Asoumi, Spika wa Bunge la Waarabu mjini Beijing, na kubainisha kwamba Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) haijawahi katu kuwa eneo la faragha na kujifaragua kwa dola kubwa lolote lile; na mustakabali na hatima ya eneo lazima iamuliwe na nchi na watu wa eneo hilo.

  • Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Aug 17, 2023 13:07

    Serkali ya China imepinga ombi la Marekani na baadhi ya waitifaki wake la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Korea Kaskazini.

  • China yaapa kuchukua 'hatua za utumiaji nguvu' sambamba na makamu wa rais wa Taiwan kuwasili Marekani

    China yaapa kuchukua 'hatua za utumiaji nguvu' sambamba na makamu wa rais wa Taiwan kuwasili Marekani

    Aug 13, 2023 14:01

    China imeahidi kuchukua "hatua madhubuti na za nguvu" kulinda mamlaka yake baada ya Makamu wa Rais wa Taiwan William Lai kuwasili Marekani kwa ziara fupi.

  • China yathibitisha kumtia mbaroni jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA

    China yathibitisha kumtia mbaroni jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA

    Aug 12, 2023 03:57

    Serikali ya China imethibitisha kupitia taarifa kwamba imemgundua na kumkamata jasusi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA).

  • Sisitizo jingine la China la kutatuliwa mgogoro wa Ukraine kwa njia ya mazungumzo

    Sisitizo jingine la China la kutatuliwa mgogoro wa Ukraine kwa njia ya mazungumzo

    Aug 12, 2023 02:16

    Viongozi wa serikali ya China wangali wanasisitiza juu ya suluhisho la kisiasa na kidiplomasia kwa mzozo wa Ukraine.

  • Waziri Mkuu wa Hungary: Marekani haikubali kuwa imeshindwa na China, inaweza ikaanzisha vita

    Waziri Mkuu wa Hungary: Marekani haikubali kuwa imeshindwa na China, inaweza ikaanzisha vita

    Jul 23, 2023 13:24

    Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban ametoa tahadhari kuhusu kile alichokiita vita "visivyoweza kuepukika" kutokea kati ya Washington na Beijing kwa sababu Marekani inasitasita kukubali kuwa China ndilo dola lenye nguvu zaidi kwa sasa.

  • China yalaani njama ya Ulaya ya kushamirisha

    China yalaani njama ya Ulaya ya kushamirisha "Uenezaji Chuki Dhidi ya Uislamu" (Islamophobia)

    Jul 23, 2023 02:18

    Mwakilishi wa China katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amelaani kitendo kiovu kilichofanywa na Sweden na Denmark cha kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kusisitiza kuwa Beijing inapinga uenezaji chuki dhidi ya Uislamu.

  • Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Safari ya John Kerry mjini Beijing: Jitihada za kuzuia ukaribu wa China na Russia

    Jul 18, 2023 05:19

    John Kerry, mwanadiplomasia mkongwe na mwakilishi maalum wa Marekani katika masuala ya tabianchi aliwasili China Jumapili.

  • Watu sita, wakiwemo watoto 3 wauawa China katika shambulio dhidi ya skuli ya maandalizi

    Watu sita, wakiwemo watoto 3 wauawa China katika shambulio dhidi ya skuli ya maandalizi

    Jul 10, 2023 07:58

    Watu sita wakiwemo watoto watatu wameuawa na mmoja amejeruhiwa kwa kudungwa kisu katika kituo cha maandalizi kusini mwa China.

  • Tahadhari ya China kuhusu uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya nchi nyingine

    Tahadhari ya China kuhusu uingiliaji wa nchi za Magharibi katika masuala ya ndani ya nchi nyingine

    Jul 08, 2023 02:37

    Rais wa China, Xi Jinping, ametoa wito kwa nchi mbalimbali kusimama dhidi ya "mapinduzi ya rangi ya nchi za Magharibi". Jinping ametoa wito huo katika mkutano Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai, uliofanyika kwa njia ya mtandao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS