Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Utafiti: Marekani haipo tayari kuingia vitani na China

    Utafiti: Marekani haipo tayari kuingia vitani na China

    Jan 24, 2023 23:00

    Kituo cha Kimataifa cha Tafiti za Kistratejia (CSIS) kimeonya kuwa, Marekani haina ubavu wala akiba ya kutosha ya silaha na zana za kijeshi za kuiwezesha kuingia katika makabiliano ya kijeshi na China.

  • China yarekodi vifo karibu 60,000 vinavyohusishwa na COVID-19

    China yarekodi vifo karibu 60,000 vinavyohusishwa na COVID-19

    Jan 15, 2023 03:29

    China imesema watu karibu 60,000 waliaga dunia kutokana na ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha mwezi mmoja, huku nchi hiyo ikakabiliana na wimbi jipya la maambukizi ya ugonjwa huo.

  • China: Marekani ndiyo chanzo cha kuvurugika amani ya eneo ikiwemo Bahari ya Kusini ya China

    China: Marekani ndiyo chanzo cha kuvurugika amani ya eneo ikiwemo Bahari ya Kusini ya China

    Dec 30, 2022 22:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema, Marekani ndiyo chanzo cha kuvurugikka amani katika eneo, ikiwa ni pamoja na Bahari ya Kusini ya China, na akaitaka Washington iache hatua zake hatarishi na za kichochezi.

  • China: Japan inatia shaka kwamba inataka suluhu wakati imeongeza mno bajeti ya kijeshi

    China: Japan inatia shaka kwamba inataka suluhu wakati imeongeza mno bajeti ya kijeshi

    Dec 28, 2022 07:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya China imesema mipango ya Japan ya kuongeza kwa kiwango kikubwa mno bajeti yake ya kijeshi inatia wasiwasi na kusisitiza kwamba: kuna shaka kuwa hatua hiyo ya Tokyo imechukuliwa kwa nia ya kuleta suluhu na amani.

  • Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Indhari ya Rais wa Venezuela kuhusu kufikia ubeberu wa Marekani katika hatua hatarishi zaidi

    Dec 27, 2022 22:27

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ametahadharisha kuwa ubeberu wa Marekani umeingia katika hatua hatarishi zaidi na unajaribu kufanya kila njia ili kuzusha mapigano na kuwasha moto wa vita duniani.

  • China: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika marhala ya mwisho

    China: Mazungumzo ya JCPOA yapo katika marhala ya mwisho

    Dec 27, 2022 03:56

    China imesema mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yapo katika hatua ya mwisho, na kusisitiza kwamba fursa ya kufufua mapatano hayo ya kimataifa ingalipo.

  • Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Dec 13, 2022 09:41

    Rais Ebrahim Raisi amesema, baadhi ya misimamo iliyotangazwa katika safari ya karibuni ya rais wa China katika eneo imelisikitisha taifa na serikali ya Iran.

  • China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    Dec 13, 2022 03:29

    Balozi wa China nchini Marekani amepinga madai ya Washington kuwa nchi za Afrika zimenasa kwenye mtego wa Beijing kutokana na madeni.

  • Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Dec 11, 2022 23:11

    Mohammad Jamshidi, Mkuu wa masuala ya kisiasa katika Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter kujibu matamshi ya Rais wa China aliyotoa wakati wa ziara yake nchini Saudi Arabia.

  • Xi Jinping: China itaendelea kuunga mkono juhudi za Wapalestina

    Xi Jinping: China itaendelea kuunga mkono juhudi za Wapalestina

    Dec 09, 2022 22:52

    Rais Xi Jinping wa China amesema serikali ya Beijing inaunga mkono jitihada za taifa la Palestina zinazolenga kuhuisha haki za msingi za Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS