-
Trump aiomba China imsaidie kushinda uchaguzi mkuu ujao
Jun 18, 2020 04:01Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani, John Bolton amesema katika kitabu chake kipya kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliiomba China imsaidie katika kushinda uchaguzi mkuu wa rais uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.
-
China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na wanajeshi wa China mpakani
Jun 17, 2020 01:56Msemaji wa Jeshi la China ametoa onyo kali kwa India kuhusu vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.
-
Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19
Jun 14, 2020 22:38Watu 19 wamefariki dunia huku wengine karibu 200 wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba gesi asilia (LNG) kuripuka katika jimbo la Zhejiang, kusini mwa mji wa Shanghai nchini China.
-
China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Jun 12, 2020 23:41Kwa mara nyingine tena China imepinga vikali njama za Marekani za kutaka kurefushwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran. Muda wa vikwazo hivyo unafikia tamati Oktoba mwaka huu wa 2020, kwa mujibu wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika
Jun 12, 2020 03:32Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imekuwa ikipinga suala la kuongezeka nguvu, ustawi na satua ya China katika uwanja wa kimataifa na imeitambua nchi hiyo kuwa ni tishio kwa ulimwengu wa Magharibi ikizitaka nchi za Ulaya kupunguza uhusiano wao na Beijing.
-
Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Jun 05, 2020 22:23Moja kati ya vipengee muhimu vya mapatano ya nyuklia ya maarufu kwa kifupi ka jina la JCPOA ni azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lina kipengee kuhusu kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa mapatano hayo.
-
Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari
Jun 04, 2020 21:55Waziri wa Ulinzi wa China amesema uhasama wa kistratijia wa nchi yake na Marekani umeingia kipindi hatari baada ya Washington kukithirisha sera zake za 'kuikandamiza na kukabiliana' na China baada ya janga la COVID-19 kuikumba dunia.
-
Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China
May 31, 2020 04:54Wizara ya Mambo ya Nje ya India imetupilia mbali ombi la rais wa Marekani Donald Trump la kuwa mpatanishi kati ya New Delhi na Beijing kwa ajili ya kutatua tofauti zao za mpakani.
-
China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China
May 30, 2020 23:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amelaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia wanafunzi wa China katika nchi hiyo.
-
Hatimaye kundi la kwanza la raia wa kigeni larejea China baada ya kupungua hatari ya Corona
May 30, 2020 12:34Kufuatia kupungua kwa hatari ya virusi vya Corona nchini China, kundi la kwanza la raia wa kigeni limeingia nchi hiyo.