Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Trump aiomba China imsaidie kushinda uchaguzi mkuu ujao

    Trump aiomba China imsaidie kushinda uchaguzi mkuu ujao

    Jun 18, 2020 04:01

    Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Marekani, John Bolton amesema katika kitabu chake kipya kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliiomba China imsaidie katika kushinda uchaguzi mkuu wa rais uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na wanajeshi wa China mpakani

    China yaionya India baada ya New Delhi kudai wanajeshi wake 20 wameuliwa na wanajeshi wa China mpakani

    Jun 17, 2020 01:56

    Msemaji wa Jeshi la China ametoa onyo kali kwa India kuhusu vitendo vyake vya kichokozi katika eneo la mpaka wa nchi hizo mbili.

  • Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19

    Walioaga dunia katika mripuko wa lori la gesi China wafika 19

    Jun 14, 2020 22:38

    Watu 19 wamefariki dunia huku wengine karibu 200 wakijeruhiwa baada ya lori lililobeba gesi asilia (LNG) kuripuka katika jimbo la Zhejiang, kusini mwa mji wa Shanghai nchini China.

  • China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 12, 2020 23:41

    Kwa mara nyingine tena China imepinga vikali njama za Marekani za kutaka kurefushwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran. Muda wa vikwazo hivyo unafikia tamati Oktoba mwaka huu wa 2020, kwa mujibu wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Jun 12, 2020 03:32

    Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imekuwa ikipinga suala la kuongezeka nguvu, ustawi na satua ya China katika uwanja wa kimataifa na imeitambua nchi hiyo kuwa ni tishio kwa ulimwengu wa Magharibi ikizitaka nchi za Ulaya kupunguza uhusiano wao na Beijing.

  • Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jitihada mpya za Marekani kwa ajili ya kurefusha vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 05, 2020 22:23

    Moja kati ya vipengee muhimu vya mapatano ya nyuklia ya maarufu kwa kifupi ka jina la JCPOA ni azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo lina kipengee kuhusu kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran miaka mitano baada ya kuanza kutekelezwa mapatano hayo.

  • Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari

    Waziri wa Ulinzi China: Uhasama wa Marekani na China umeingia kipindi hatari

    Jun 04, 2020 21:55

    Waziri wa Ulinzi wa China amesema uhasama wa kistratijia wa nchi yake na Marekani umeingia kipindi hatari baada ya Washington kukithirisha sera zake za 'kuikandamiza na kukabiliana' na China baada ya janga la COVID-19 kuikumba dunia.

  • Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China

    Kukataa India upatanishi wa Marekani katika mzozo wa mpaka kati yake na China

    May 31, 2020 04:54

    Wizara ya Mambo ya Nje ya India imetupilia mbali ombi la rais wa Marekani Donald Trump la kuwa mpatanishi kati ya New Delhi na Beijing kwa ajili ya kutatua tofauti zao za mpakani.

  • China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    China yalaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia nchi hiyo wanafunzi wa China

    May 30, 2020 23:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amelaani kitendo cha Marekani kukataa kutoa vibali vya kuingia wanafunzi wa China katika nchi hiyo.

  • Hatimaye kundi la kwanza la raia wa kigeni larejea China baada ya kupungua hatari ya Corona

    Hatimaye kundi la kwanza la raia wa kigeni larejea China baada ya kupungua hatari ya Corona

    May 30, 2020 12:34

    Kufuatia kupungua kwa hatari ya virusi vya Corona nchini China, kundi la kwanza la raia wa kigeni limeingia nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS