Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya tabia ya Marekani katika kipindi chote cha mazungumzo

    Ukosoaji wa Korea Kaskazini dhidi ya tabia ya Marekani katika kipindi chote cha mazungumzo

    Jul 08, 2018 21:59

    Baada ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kuondoka mjini Pyongyang kuelekea Japan, serikali ya Korea Kaskazini imekosoa siasa ambazo zimekuwa zikitekelezwa na Washington katika kipindi chote cha mazungumzo ya waziri huyo na viongozi wa Korea Kaskazini.

  • China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    China yawaonya raia wake dhidi ya kwenda Marekani, kisa usalama

    Jul 03, 2018 11:03

    China imetoa tahadhari mpya kwa raia wake waliosafiri au wanaotaka kusafiri kwenda Marekani ikisema kuwa hakuna usalama wa umma nchini humo.

  • Vyombo vya habari China: Serikali ya Trump itafeli kwa Iran kama zilivyofeli serikali za kabla yake

    Vyombo vya habari China: Serikali ya Trump itafeli kwa Iran kama zilivyofeli serikali za kabla yake

    Jul 02, 2018 03:05

    Vyombo mbalimbali vya habari nchini China vimeakisi hotuba ya Kiongoni wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei aliyoitoa katika mahafali ya kuhitimu maafisa wa jeshi katika Chuo Kikuu cha Imam Hussein (as).

  • Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Matarajio ya Bangladesh kwa China kuhusu wakimbizi Waislamu wa Myanmar

    Jul 01, 2018 03:16

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa China ameeleza utayari wa serikali ya Myanmar kwa ajili ya kurejea nchini humo mamia ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya kutoka Bangladesh.

  • Tahadhari ya Beijing kwa Washington kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House

    Tahadhari ya Beijing kwa Washington kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House

    Jun 23, 2018 20:43

    Wizara ya Biashara ya China imetoa taarifa ikiitahadharisha Marekani kuhusu athari mbaya za sera za kibiashara za White House dhidi ya Beijing.

  • Kim Jong-un akutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing

    Kim Jong-un akutana na Rais Xi Jinping wa China mjini Beijing

    Jun 19, 2018 09:31

    Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un amefanya safari mjini Beijing, mji mkuu wa China na kukutana na Rais Xi Jinping wa nchi hiyo sambamba na kuzungumzia masuala ya kuinua kiwango cha mahusiano ya nchi mbili.

  • China yajibu mapigo ya Marekani katika vita vya kibiashara

    China yajibu mapigo ya Marekani katika vita vya kibiashara

    Jun 16, 2018 02:26

    Serikali ya China imetangaza kupandisha ushuru wa forodha kwa asilimia 25, kwa bidhaa 659 za Marekani zinazoingia nchini humo, ikiwa ni katika kujibu hatua ya kiuhasama ya Washington ya kutangaza ongezeko la ushuru kwa asilimia 25 kwa bidhaa za China zinazopelekwa nchini Marekani, lililotangazwa na Rais Donald Trump mapema jana Ijumaa.

  • Rais Rouhani: Iran na China zimeazimia kuendeleza ushirikiano wa kistratejia katika nyuga zote

    Rais Rouhani: Iran na China zimeazimia kuendeleza ushirikiano wa kistratejia katika nyuga zote

    Jun 10, 2018 22:12

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na China wameeleza azma ya serikali zao ya kustawisha ushirikiano wao na kusisitiza juu ya kuendeleza ushirikiano wao wa pamoja wa kistratejia katika nyuga zote.

  • Rais Rouhani: Iran iko tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi kieneo na kimataifa

    Rais Rouhani: Iran iko tayari kupanua ushirikiano wa kiuchumi kieneo na kimataifa

    Jun 10, 2018 03:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ni mshirika huru na wa kuaminika na iko tayari kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kieneo na kimataifa.

  • Safari ya Rais Rouhani nchini China, fursa ya kuimarisha uhusiano wa kistratijia wa pande mbili na pande kadhaa

    Safari ya Rais Rouhani nchini China, fursa ya kuimarisha uhusiano wa kistratijia wa pande mbili na pande kadhaa

    Jun 10, 2018 02:39

    Hassan Rouhani Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yuko nchini China kushriki katika kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirkiano ya Shanghai (SCO)

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS