Mar 02, 2024 11:50
Wananchi wa Cuba wameungana na mamilioni ya wengine katika maandamano ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na kuonyesha uungaji mkono kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari vya utawala dhalimu wa Israel.