Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Cuba

  • Cuba kujiunga rasmi kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Cuba kujiunga rasmi kwenye kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ

    Jun 22, 2024 11:18

    Cuba imetangaza kutuma ombi la kujiunga kwenye kesi ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaotenda jinai dhidi ya binadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais wa Cuba: Shambulio la Israel dhidi ya Rafah ni jinai kubwa dhidi ya ubinadamu

    Rais wa Cuba: Shambulio la Israel dhidi ya Rafah ni jinai kubwa dhidi ya ubinadamu

    May 31, 2024 02:30

    Rais wa Cuba ameulaani utawala wa Kizayuni kwa kuishambulia kwa mabomu kambi ya wakimbizi wa Kipalestina katika mji wa Rafah wa Ukanda wa Gaza, na kutaka kuchukuliwa hatua za kimataifa ili kuzima mashambulizi ya utawala huo ghasibu.

  • Wananchi wa Cuba wataka kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Wananchi wa Cuba wataka kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Mar 02, 2024 11:50

    Wananchi wa Cuba wameungana na mamilioni ya wengine katika maandamano ya kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na kuonyesha uungaji mkono kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wanakabiliwa na vita vya mauaji ya kimbari vya utawala dhalimu wa Israel.

  • Cuba yalaani sera za mauaji ya kimbari za utawala haramu wa Israel

    Cuba yalaani sera za mauaji ya kimbari za utawala haramu wa Israel

    Feb 23, 2024 11:22

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Cuba amelaani kuendelea uvamizi na mauaji ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na kusema: Israel imepitisha "sera ya kuwaangamiza" wananchi wa Palestina.

  • Umoja wa Mataifa: Idadi ya raia waliouawa huko Gaza haijawahi kushuhudiwa

    Umoja wa Mataifa: Idadi ya raia waliouawa huko Gaza haijawahi kushuhudiwa

    Feb 16, 2024 02:43

    Mkuu wa Kitengo cha Asia Magharibi katika Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema: Idadi ya raia na waandishi wa habari waliouawa huko Gaza haina mfano.

  • Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Cuba yaunga mkono kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jan 18, 2024 09:31

    Bruno Rodríguez Parrilla Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Havana inaunga mkono mashtaka yaliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) kuhusu mauaji ya kimbari yaliyofanywa na utawala wa Israel dhidi ya watu wa Gaza.

  • Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa

    Rais wa Cuba: Mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni wa Israel Gaza ni fedheha kubwa

    Dec 28, 2023 04:22

    Rais Miguel Diaz-Canel wa Cuba amelaani vikali mauaji ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kueleza kwamba, mauaji hayo ya kimbari ni kashfa na fedheha kwa ubinadamu.

  • Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Safari ya Rais wa Cuba mjini Tehran

    Dec 04, 2023 02:59

    Rais wa Jamhuri ya Cuba ambaye anangoza ujumbe wa ngazi ya juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake amefanya safari mjini Tehran kwa mwaliko rasmi wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Makumi ya maelfu ya Wacuba waandamana kuwaunga mkono watu wa Palestina

    Nov 24, 2023 06:55

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Cuba wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Havana kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Balozi wa Cuba: Israel ndiye gaidi halisi

    Nov 04, 2023 03:02

    Balozi wa Cuba mjini Tehran sanjari na kulaani jinai za Israel dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, ameutaja utawala huo wa Kizayuni wa Israel kuwa utawala wa kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS