-
Waziri wa Mafuta wa Daesh (ISIL) auawa na askari wa Iraq nchini Syria
Jul 20, 2019 08:02Kamanda wa ngazi ya juu wa kundi la kigaidi la Daesh ameangamizwa na vikosi vya kiintelijensia vya Iran katika mkoa wa Deir Ezzur, mashariki mwa Syria.
-
Wabunge wa Iraq: Ubalozi wa Marekani mjini Baghdad ni kituo cha Mossad na Daesh
Jul 15, 2019 11:51Mbunge mwenye ushawishi mkubwa wa Iraq amefichua kwamba, ubalozi wa Marekani mjini Baghdad unajihusisha na harakati zinazotia wasiwasi na kwamba maajenti wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad, na kundi la kigaidi la Daesh wamekuwa wakionekana wakiingia na kutoka katika jengo la ubalozi huo.
-
Kiongozi mmoja wa Daesh aangamizwa nchini Libya
Jul 14, 2019 02:19Kiongozi mmoja wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ameangamizwa katika shambulizi la anga wapiganaji wanaoijiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar.
-
Waziri Mkuu wa Iraq asisitiza kuungwa mkono oparesheni dhidi ya ugaidi katika mipaka ya Syria
Jul 07, 2019 07:48Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kuendelezwa oparsheni za jeshi la ulinzi la nchi hiyo dhidi ya magaidi wa Daesh katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Kiongozi wa Daesh (ISIS) aliyekuwa akitoa hukumu za kifo, atiwa mbaroni Mosul
Jul 06, 2019 04:21Wizara ya Mambo ya Ndani ya Iraq imetangaza kwamba, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) aliyekuwa akihusika kutoa hukumu za kifo, ametiwa mbaroni mjini Mosul.
-
Polisi ya Ulaya yatahadharisha kuhusu hatari ya Madaesh wa Uingereza barani Ulaya
Jul 01, 2019 07:48Polisi ya Ulaya (Europol) imetahadharisha kuhusu idadi kubwa ya raia wa Uingereza wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh walioko Syria na Iraq na hatari ya kurejea kwao huko Uingereza.
-
Magaidi 42 wa Daesh wauawa katika eneo la Ziwa Chad
Jun 23, 2019 13:49Kikosi cha Pamoja cha Nchi Zinazopakana na Ziwa Chad (MNJTF) kimefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika kisiwa cha Doron Naira kwenye ziwa hilo.
-
Jeshi la Marekani latumia helikopta kuwaokoa magaidi wa Daesh Afghanistan
Jun 22, 2019 13:17Jeshi la Marekani limetumia helikopta zake kuwaokoa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Afghanistan, kufuatia operesheni kali ya wapiganaji wa Taliban ya kulitokomeza genge hilo la ukufurishaji mashariki mwa nchi.
-
Magaidi wa Daesh wadai kuua makumi ya askari nchini Nigeria
Jun 15, 2019 03:53Kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) katika eneo la Magharibi mwa Afrika (ISWA) limedai kwamba limeua makumi ya askari wa Nigeria huko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Iraq yawakabidhi watoto zaidi ya 188 wa magaidi wa Daesh wenye asili ya Uturuki
May 30, 2019 04:20Iraq imewakabidhi zaidi ya watoto 188 wa Kituruki ambao wazazi wao wametiwa mbaroni kutokana na kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh na makundi mengine ya kigaidi.