Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Magaidi wa ISIS waua watu 14 katika hujuma, Aden, Yemen

    Magaidi wa ISIS waua watu 14 katika hujuma, Aden, Yemen

    Feb 25, 2018 07:41

    Maagaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS au Daesh wamehujumu kituo cha polisi katika mji wa bandarini wa Aden kusini mwa Yemen na kuuawa watu 14.

  • Zarif: Msingi wa kifikra, kifedha wa ISIS bado haujaangamizwa

    Zarif: Msingi wa kifikra, kifedha wa ISIS bado haujaangamizwa

    Feb 24, 2018 14:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, msingi wa kifikra na kifedha wa kundi la magaidi wakufurishaji wa Daesh au ISIS ungalipo.

  • Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Feb 20, 2018 08:12

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amesema mshikamano wa wananchi wa nchi hiyo na wenzao wa Syria ndio uliowezesha kuangamizwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika eneo.

  • Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika

    Misri yaonya kuhusu hatari ya magaidi wa Daesh kuvamia kaskazini mwa Afrika

    Feb 17, 2018 04:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ameonya kuwa magaidi wa Daesh (ISIS) waliosafishwa huko Syria na Iraq wanafanya kila wawezalo kuzivamia nchi za kaskazini mwa Afrika hususan Libya.

  • Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Wasiwasi wa Unicef kuhusu hali ya watoto wa Kiiraqi

    Feb 12, 2018 14:28

    Mfuko wa Kuhudumia Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa mtoto mmoja wa Kiiraqi kati ya wanne nchini humo anaishi katika hali ya umaskini na kwamba Wairaqi wengine milioni nne wanahitaji msaada ikiwa ni natija ya kujiri vita vya kundi la kigaidi la Daesh huko Iraq.

  • Russia: Ushahidi unathibitisha Marekani inahamisha magaidi wa Daesh na kuwapeleka Afghanistan

    Russia: Ushahidi unathibitisha Marekani inahamisha magaidi wa Daesh na kuwapeleka Afghanistan

    Feb 09, 2018 04:34

    Mjumbe Maalumu wa Rais wa Rassia katika Masuala ya Afghanistan amesema kuwa, Moscow ina ushahidi unaothibitisha kuwa, Marekani na Shirika la Kijeshi ya Nchi za Magharibi (NATO) zinahusika katika kuwahamisha magaidi wa Daesh kutoka Iraq na Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Iran: Syria itakombolewa karibuni hivi

    Iran: Syria itakombolewa karibuni hivi

    Feb 08, 2018 07:18

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, baada ya kusafishwa kabisa magaidi wa kundi la Daesh (ISIS) nchini Iraq, karibuni hivi dunia itashuhudia Syria nayo ikikombolewa kikamilifu.

  • Jeshi la SEPAH lapambana na magaidi magharibi mwa Iran, wanachama kadhaa wa DAESH watiwa nguvuni

    Jeshi la SEPAH lapambana na magaidi magharibi mwa Iran, wanachama kadhaa wa DAESH watiwa nguvuni

    Jan 27, 2018 17:00

    Kituo cha Najaf cha vikosi vya nchi kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, SEPAH (IRGC) kimetangaza kuwa askari wa kituo hicho wamepambana na magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH katika eneo la magharibi mwa nchi.

  • Shambulizi la 'ISIS' laua makumi ya watu nchini Mali

    Shambulizi la 'ISIS' laua makumi ya watu nchini Mali

    Jan 26, 2018 07:18

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika shambulizi la bomu la kutegwa ardhini linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini Mali.

  • Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Uchunguzi: Maelfu ya wanawake wanachama wa Daesh wako Libya

    Jan 23, 2018 15:01

    Kituo kimoja cha utafiti cha Marekani kimeripoti kuwa, maelfu ya wanawake wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wako nchini Libya na kwamba 300 kati yao ni raia wa Tunisia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS