Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Rais Rouhani: Daesh na waungaji mkono wa ugaidi, ni dhihirisho la fikra mgando na unafiki wa zama hizi

    Rais Rouhani: Daesh na waungaji mkono wa ugaidi, ni dhihirisho la fikra mgando na unafiki wa zama hizi

    Aug 18, 2017 04:13

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha kwamba, genge la Daesh (ISIS) na waungaji mkono wa ugaidi, ni dhihirisho la fikra mgando na unafiki uliochupa mpaka katika zama hizi.

  • Meja Jenerali Jaafari: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni chimbuko la heshima izza ulimwenguni

    Meja Jenerali Jaafari: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni chimbuko la heshima izza ulimwenguni

    Aug 14, 2017 03:35

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, SEPAH, amesema kuwa, kuwa mfuasi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni fakhari kwa watu huru duniani na kwamba, mapinduzi haya ni chimbuko la izza na heshima ulimwenguni.

  • Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai

    Polisi wanne wa Misri wauawa katika shambulizi la Daesh eneo la Sinai

    Aug 10, 2017 14:42

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daeh (ISIS) limekiri kutekeleza shambulizi dhidi ya gari la polisi ya Misri na kuua maafisa wanne wa usalama katika eneo la Sinai.

  • Kissinger: Kuwepo Daesh (ISIS) ni muhimu kwa ajili ya kuidhibiti Iran

    Kissinger: Kuwepo Daesh (ISIS) ni muhimu kwa ajili ya kuidhibiti Iran

    Aug 10, 2017 03:44

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani Henry Kissinger ameonya kuwa serikali ya Washington itafanya makosa kuliangamiza kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) kwa sababu kuwepo kwake ni muhimu kwa ajili ya kuidhibiti Iran.

  • Iran yawatia mbaroni makumi ya magaidi wa Daesh/ISIS

    Iran yawatia mbaroni makumi ya magaidi wa Daesh/ISIS

    Aug 08, 2017 07:51

    Vyombo vya usalama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimewakamata wanachama 27 wenye mfungamano na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) waliokuwa wanapanga njama ya kutekeleza mashambulizi ya kigaidi nchini.

  • Ndege za kivita za Marekani zauwa raia 18 Syria

    Ndege za kivita za Marekani zauwa raia 18 Syria

    Aug 04, 2017 08:10

    Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani kwa mara nyingine tena zimeua raia 18 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.

  • UN yaipongeza al Hashdu sh-Sha'abi kwa mapambano yake dhidi ya Daesh

    UN yaipongeza al Hashdu sh-Sha'abi kwa mapambano yake dhidi ya Daesh

    Aug 02, 2017 02:51

    Mwakilishi Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Iraq amepongeza nafasi ya harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi katika kufanikisha ukombozi wa miji mbalimbali ya Iraq na kulinda maisha ya raia katika vita dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • Mke wa mufti wa Daesh Tal Afar ajiua na watoto wake watatu

    Mke wa mufti wa Daesh Tal Afar ajiua na watoto wake watatu

    Jul 31, 2017 15:36

    Duru za kuaminika nchini Iraq zimeripoti kuwa, mke wa mufti wa kundi la Daesh amejiua yeye na watoto wake watatu katika mji wa Tel Afar huko kaskazini mwa Iraq.

  • Waingereza 150 wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wavuliwa uraia

    Waingereza 150 wanachama wa kundi la kigaidi la Daesh wavuliwa uraia

    Jul 30, 2017 15:13

    Serikali ya Uingereza imewavua uraia zaidi ya raia wake 150 kwa tuhuma za kujiunga na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).

  • Raia 29 wauawa katika jinai mpya za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria

    Raia 29 wauawa katika jinai mpya za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria

    Jul 27, 2017 08:04

    Raia 29 wa Syria jana waliuawa katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani. Mashambulizi hayo yalifanywa katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS