Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Maiti za raia waliouawa wakitoroka Daesh zatapakaa kwenye barabara za Mosul, Iraq

    Maiti za raia waliouawa wakitoroka Daesh zatapakaa kwenye barabara za Mosul, Iraq

    Jun 04, 2017 02:41

    Shirika moja la misaada ya kibinadamu limeripoti habari ya genge la kigaidi na kitakfiri la Daesh kuua makumi ya raia katika muda wa saa 48 zilizopita wakijarabu kuukimbia mji wa Mosul nchini Iraq.

  • Wazayuni waitaka Marekani iendelee kuliunga mkono kundi la Daesh (ISIS)

    Wazayuni waitaka Marekani iendelee kuliunga mkono kundi la Daesh (ISIS)

    May 26, 2017 23:51

    Baadhi ya maafisa wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameishauri Marekani kuwa haipasi kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) litokomezwe kwa sababu kundi hilo halijawahi kuwa tishio na hatari kwa Israel.

  • Daesh yakiri kuuawa wanachama wake 110 na jeshi la Syria katika mkoa wa Daraa

    Daesh yakiri kuuawa wanachama wake 110 na jeshi la Syria katika mkoa wa Daraa

    May 23, 2017 10:04

    Mtandao mmoja wa habari wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) katika mkoa wa Daraa kusini mwa Syria, umeandika kuwa, jumla ya wanachama 117 wa kundi hilo wameuawa na jeshi la nchi hiyo katika siku chache zilizopita.

  • Genge la Daesh (ISIS) linafanya majaribio ya silaha za kemikali kwenye mwili wa mwanadamu

    Genge la Daesh (ISIS) linafanya majaribio ya silaha za kemikali kwenye mwili wa mwanadamu

    May 22, 2017 22:49

    Duru za habari zimeripoti jinai mpya za kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwamba wanachama wa kundi hilo wanafanya majaribio ya silaha zao za kemikali kwenye miili ya wanadamu.

  • 90% ya mji wa Mosul wakombolewa, Magaidi 170 wauawa Iraq

    90% ya mji wa Mosul wakombolewa, Magaidi 170 wauawa Iraq

    May 16, 2017 09:56

    Kamanda wa Operesheni ya Jeshi la Iraq ametangaza habari ya kukombolewa asilimia 90 ya maeneo ya magharibi mwa mji wa Mosul yaliyokuwa yakishikiliwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.

  • Kifo; chaguo la kulazimishwa kwa watoto wa Kiiraqi wanaohilikishwa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS)

    Kifo; chaguo la kulazimishwa kwa watoto wa Kiiraqi wanaohilikishwa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS)

    May 13, 2017 22:04

    Tangu kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh lilipoanzisha hujuma na mashambulio yake ndani ya ardhi ya Iraq, watoto wa nchi hiyo wamekuwa na wanaendelea kuwa waathirika wakubwa zaidi wa jinai za kinyama za kundi hilo.

  • Independent : Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wa Kiiraqi ili kuwashajiisha wajiripue

    Independent : Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wa Kiiraqi ili kuwashajiisha wajiripue

    May 12, 2017 11:44

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) linawatesa kwa njaa watoto wadogo wa Iraq kwa ajili ya kuwalazimisha watekeleze vitendo vya kigaidi vya kujiripua katika maeneo ya raia wa kawaida.

  • Rais Ghani wa Afghanistan amesema kiongozi wa ISIS nchini humo ameuawa

    Rais Ghani wa Afghanistan amesema kiongozi wa ISIS nchini humo ameuawa

    May 08, 2017 03:21

    Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani amesema kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) nchini humo ameuawa katika mashambulizi ya pamoja ya jeshi la nchi hiyo na Marekani.

  • Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    Magaidi wa ISIS washambulia kambi ya wakimbizi Syria na kuua 36

    May 02, 2017 23:15

    Kwa akali watu 36 wameuawa katika shambulizi la kigaidi dhidi ya kambi ya wakimbizi lililofanywa jana Jumanne na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Gange la Daesh laua raia 10 nchini Iraq kwa kosa la kukataa kushirikiana nalo

    Gange la Daesh laua raia 10 nchini Iraq kwa kosa la kukataa kushirikiana nalo

    May 02, 2017 03:19

    Wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh, wamewaua raia 10 katika mkoa wa Nainawa (Nineveh) nchini Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS