Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Abdullah Abdullah: Daesh na Taleban ndio maadui hatari sana wa Afghanistan

    Abdullah Abdullah: Daesh na Taleban ndio maadui hatari sana wa Afghanistan

    Apr 29, 2017 10:52

    Mkuu wa Baraza la Utendaji la Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Afghanistan amesema kuwa, genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na Taleban ndio maadui hatari zaidi kwa taifa hilo.

  • Kundi la kigaidi na kitakfiri la DAESH (ISIS) liliiomba radhi Israel kwa kuishambulia kimakosa

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la DAESH (ISIS) liliiomba radhi Israel kwa kuishambulia kimakosa

    Apr 24, 2017 10:35

    Aliyekuwa Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Ya'alon amefichua kuwa magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh waliwahi mara moja kuwashambulia kimakosa askari wa utawala huo katika eneo la miinuko ya Golan kusini mwa Syria lakini waliomba radhi haraka.

  • Polisi ya Ufaransa: Mtekelezaji wa shambulizi la Paris alikuwa mhalifu sugu

    Polisi ya Ufaransa: Mtekelezaji wa shambulizi la Paris alikuwa mhalifu sugu

    Apr 21, 2017 23:13

    Polisi ya Ufaransa imetangaza kuwa, mtu aliyehusika na shambulizi la jana mjini Paris alikuwa na historia ya uhalifu na kufungwa jela.

  • Hamid Karzai: Marekani ndio iliyoanzisha genge la kigaidi la Daesh

    Hamid Karzai: Marekani ndio iliyoanzisha genge la kigaidi la Daesh

    Apr 21, 2017 12:26

    Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema kuwa, Marekani ndiyo ilianzisha kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) kwa ajili ya kufikia maslahi yake haramu katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Magaidi 19 wa Daesh wauawa katika shambulizi la anga Misri

    Apr 20, 2017 09:35

    Kwa akali magaidi 19 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa genge hilo wameuawa katika shambulizi la anga la jeshi la Misri katika Peninsula ya Sinai.

  • Naibu mwingine wa Abu Bakr al-Baghdadi, mkuu wa Daesh auawa kwa kombora Mosul

    Naibu mwingine wa Abu Bakr al-Baghdadi, mkuu wa Daesh auawa kwa kombora Mosul

    Apr 19, 2017 11:32

    Jeshi la Iraq limetangaza habari ya kumuangamiza naibu mkuu wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika operesheni iliyofanyika magharibi mwa mji wa Mosul hii leo.

  • Wasiwasi wa Guterres kuhusu hatari ya mabaki ya wanamgambo wa ISIS nchini Libya

    Wasiwasi wa Guterres kuhusu hatari ya mabaki ya wanamgambo wa ISIS nchini Libya

    Apr 16, 2017 01:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres Ijumaa usiku alitahadharisha kuhusu uwezekano wa kundi la kigaidi la Daesh (ISIS) kuteka tena baadhi ya maeneo nchini Libya.

  • Jeshi la Iraq: Magaidi wa Daesh magharibi mwa Mosul wamezingrwa pande zote

    Jeshi la Iraq: Magaidi wa Daesh magharibi mwa Mosul wamezingrwa pande zote

    Apr 15, 2017 09:39

    Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za jeshi la Iraq kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi, amesema kuwa wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) wamezingirwa tokea pande zote za mji huo.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuwa Daesh wanaweza kuidhibiti tena Libya

    Apr 15, 2017 00:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hatari ya kupanuka zaidi udhibiti wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika maeneo mbalimbali ya Libya na hali mbaya inayotawala maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo.

  • Magaidi 400 wa Daesh (ISIS) kutoka Syria wawasili bandari ya Aden nchini  Yemen

    Magaidi 400 wa Daesh (ISIS) kutoka Syria wawasili bandari ya Aden nchini Yemen

    Apr 13, 2017 12:26

    Duru moja ya kuaminika nchini Yemen imetangaza kuwa magaidi 400 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wakitokea nchini Syria wamewasili bandari ya Aden kusini mwa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS