-
Magaidi 52 wa Daesh waangamizwa na jeshi la Iraq, Mosul
Apr 13, 2017 02:46Jeshi la Iraq limewaangamiza wanachama 52 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh/ISIS katika operesheni za kusafisha eneo la magharibi mwa mkoa wa Mosul.
-
Brigedia Jenerali Rasool: Daesh inadhibiti chini ya 7% ya ardhi ya Iraq
Apr 11, 2017 23:22Jeshi la Iraq limesema idadi ya ngome zilizokuwa zikidhibitiwa na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini humo imedidimia kutoka asilimia 40 hadi chini ya asilimia 7 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
-
Netanyahu: Tutaendelea kuwapa matibabu magaidi wa Syria
Apr 09, 2017 23:09Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amesema Tel Aviv itaendelea kuwapa matibabu magaidi wanaojeruhiwa katika harakati zao za kujaribu kuingusha serikali halali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria.
-
Daesh yasema Marekani inaongozwa na rais mpumbavu
Apr 05, 2017 03:03Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh ISIS limesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani ni mtawala mpumbavu ambaye kwa mikono yake ataitumbukiza nchi hiyo katika maangamivu makubwa.
-
Kuna uwezekano kinara wa Daesh Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro wa Mosul
Apr 03, 2017 03:16Duru moja ya Iraq imetangaza kuwa kuna uwezekano kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh, Abubakar al-Baghdadi amenasa kwenye mzingiro uliowekwa kwenye mkoa wa Mosul.
-
Jeshi la Syria laangamiza magaidi zaidi ya 2000 wa kitakfiri, Hama
Mar 31, 2017 10:22Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza maelfu ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Jabhat Fateh al-Sham karibu na mji wa Hama, ulio magharibi mwa nchi.
-
Al-Abadi asisitiza kukaribia ushindi dhidi ya ISIS nchini Iraq, Trump ajikosha
Mar 30, 2017 23:33Waziri Mkuu wa Iraq, Haider al-Abadi amesema kuwa ushindi dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh unakaribia.
-
Genge la Daesh laua raia 227 Mosul, kwa kutaka kukimbia maeneo yao
Mar 27, 2017 23:26Jeshi la Iraq limetangaza kuwa, wanachama wa kundi la ukufurishaji la Daesh (ISIS) limeua raia 227 wakazi wa Mosul, baada ya raia hao kutaka kukimbia kutoka maeneo yanayodhibitiwa na magaidi hao.
-
Jeshi la Iraq ladhibiti kituo cha uongozi cha Daesh magharibi mwa Mosul
Mar 24, 2017 11:38Jeshi la Iraq limefanikiwa kukidhibiti kikamilifu kituo cha uongozi cha kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katikati mwa mji wa Mosul, wakati huu ambapo vikosi vya jeshi la nchi hiyo vikipambana vikali kuukomboa mji huo wa pili kwa ukubwa na kuwafukuzia mbali matakfiri hao kutoka katika ngome yao hiyo ya mwisho nchini Iraq.
-
Askari 10 wa Misri wauawa katika hujuma ya bomu Sinai
Mar 24, 2017 03:06Wanajeshi zaidi ya 10 wa Misri wameuawa baada ya gari walimokuwa kulengwa kwa shambulio la bomu katikati mwa Peninsula ya Sinai.