Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Daesh

  • Makao ya uongozi mpya wa Daesh  huko al Anbar yasambaratishwa

    Makao ya uongozi mpya wa Daesh huko al Anbar yasambaratishwa

    Jan 29, 2021 02:06

    Wapiganaji wa Harakati ya Hashdu Shaabi ya Iraq wamesambaratisha makao ya uongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo la jangwani katika mkoa wa al Anbar magharibi mwa nchi hiyo.

  • Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Sababu za kuongezeka mashambulio ya kigaidi ya ISIS nchini Iraq

    Jan 25, 2021 23:38

    Jana Jumatatu, Januari 25, 2021, Brigedia Jenerali Yahya Rasoul, msemaji wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iraq alizungumzia ushahidi mpya uliopatikana kuhusu mashambulio ya hivi karibuni ya mjini Baghdad na kusema kuwa, hadi hivi sasa vikosi vya usalama vya Iraq vimefanikiwa kuzima majaribio kadhaa makubwa ya kujiripua kwa mabomu katika maeneo tofauti ya nchi hiyo. 

  • Shambulio la DAESH dhidi ya Al-Hashdu-Sha'abi lilifanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani

    Shambulio la DAESH dhidi ya Al-Hashdu-Sha'abi lilifanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani

    Jan 24, 2021 13:52

    Chombo kimoja cha habari nchini Iraq kimetangaza kuwa, shambulio la magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) dhidi ya wapiganaji wa Al-Hashdu-Sha'abi katika mkoa wa Salahuddin limefanywa kwa msukumo na msaada wa Marekani.

  • Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Madai ya Pakistan dhidi ya India ya kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh

    Jan 13, 2021 03:00

    Waziri Mkuu wa Pakistan amedai kuwa, India imekuwa ikivuruga amani na usalama wa Pakistan kutokana na hatua zake za kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh.

  • Khatibzadeh:  Jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Daesh

    Khatibzadeh: Jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Daesh

    Dec 11, 2020 13:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma pongezi kwa serikali ya wananchi wa Iraq katika maadhimisho yao ya mwaka wa tatu tangu kusambaratishwa genge la kigaidi na ukufurishaji la Desh (ISIS) nchini humo na kuitaka jamii ya kimataifa iwe macho mbele ya kuenea upya fikra za Kidaesh duniani.

  • Hashdu Sha'abi yaanza oparesheni mpya dhidi ya masalia ya Daesh mkoani Salahuddin, Iraq

    Hashdu Sha'abi yaanza oparesheni mpya dhidi ya masalia ya Daesh mkoani Salahuddin, Iraq

    Dec 10, 2020 12:12

    Sambamba na kumbukumbu ya kutimia mwaka wa tatu tangu Iraq ipate ushidni dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh nchini humo; vikosi vya Harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq Hashdu Sha'abi vimeanza oparesheni mpya katika mkoa wa Salahuddin mashariki mwa Iraq. Lengo la oparesheni hiyo mpya ni kuwasaka mabaki ya mamluki wa kundi la kigaidi la Daesh.

  • Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria

    Imarati na Israel zashirikiana kurejesha magaidi kusini mwa Syria

    Nov 13, 2020 01:36

    Vyombo vya usalama vimefichua kwamba, Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umetuma ujumbe wa taasisi za upelelezi na ujasusi huko Israel kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kurejesha makundi ya kigaidi katika miji ya kusini mwa Syria inayopakana na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni za Palestina.

  • Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Magaidi 5 wa Daesh watiwa mbaroni katika mkoa wa Salahuddin Iraq

    Oct 20, 2020 12:11

    Askari jeshi wa Iraq wamewatia mbarono magaidi watano wa kundi la kitakfiri la Daesh katika oparesheni waliyoifanya katika mkoa wa Salahuddin nchini humo.

  • Waislamu wafukuzwa Ufaransa kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali

    Waislamu wafukuzwa Ufaransa kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali

    Oct 20, 2020 02:29

    Mwenendo wa kuenezwa chuki na kejeli dhidi ya itikadi za Kiislamu umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa nchini Ufaransa katika miaka ya karibuni.

  • Viongozi wawili wakuu wa Daesh watiwa mbaroni kaskazini mwa Iraq

    Viongozi wawili wakuu wa Daesh watiwa mbaroni kaskazini mwa Iraq

    Oct 15, 2020 04:25

    Vyombo vya usalama vya Iraq vimetangaza taarifa ya kutiwa mbaroni makamanda wawili wakuu wa kundi la kigaidi la Daesh katika mikoa ya Kirkuk na Salahuddin.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS