Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dawa za Kulevya

  • Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya waanza mjini Tehran

    Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya waanza mjini Tehran

    Feb 27, 2017 07:46

    Mkutano wa kimataifa wa kupambana na madawa ya kulevya umeanza kufanyika hapa mjini Tehran kwa kuhudhuriwa na shakhsia mbalimbali wa ndani na wa kimataifa.

  • Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati

    Viongozi wa Kiislamu Tanzania waunga mkono vita dhidi ya mihadarati

    Feb 10, 2017 08:07

    Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania Alhad Mussa Salum amesema dawa za kulevya zinateketeza nguvukazi ya taifa, jambo ambalo halipaswi kuachwa liendelee kumea.

  • Vifo vinavyotokana na utumiaji mihadarati na pombe Marekani vimeongezeka mara tatu

    Vifo vinavyotokana na utumiaji mihadarati na pombe Marekani vimeongezeka mara tatu

    Dec 17, 2016 04:23

    Watafiti wa elimu ya tiba nchini Marekani wametangaza kuwa uchunguzi waliofanya katika maeneo 3,100 ya nchi hiyo unaonesha kuwa tangu mwaka 1980 hadi sasa idadi ya Wamarekani wanaofariki kutokana na utumiaji madawa ya kulevya, pombe na maradhi yanayotokana na matatizo ya akili imeongezeka mara tatu.

  • Iran iko Mstari wa Mbele Kukabiliana na Dawa za Kulevya

    Iran iko Mstari wa Mbele Kukabiliana na Dawa za Kulevya

    Oct 09, 2016 08:08

    Ghulam Hussein Dehqani, Balozi na Naibu Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa siku ya Ijumaa katika kikao cha Kamati ya Tatu ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu dawa za kulevya alisema, zaidi ya asilimia 80 ya ufyuni na zaidi ya asilimia 40 ya heroini inayokamatwa kutoka kwa walanguzi duniani hukampatwa na vikosi vya usalama vya Iran.

  • Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Wakuu wa Saudia wanafanya biashara ya mihadarati wakati wa Hija

    Jul 07, 2016 04:21

    Maafisa wa ngazi za juu katika ufalme wa Saudi Arabia wamekuwa wakiingiza dawa za kulevya nchini humo kwa kutumia mabasi yanayowabeba mahujaji, imefichuliwa.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS