• Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (25)

    Mar 27, 2025 06:31

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Ni furaha iliyoje kuwa nanyi tena wapenzi wasikilizaji katika mfululizo mwengine wa Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu.

  • Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

    Mar 17, 2025 06:21

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.

  • Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-2

    Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu-2

    Mar 11, 2025 10:17

    Mwezi wa Ramadhani ambao imeteremshwa humo Qur´ani, kuwa  mwongozo kwa watu, na hoja zilizo wazi za uwongofu na upambanuzi. Basi atayekuwa katika mji (wake) katika mwezi huu aufunge. Na mwenye kuwa mgonjwa au safarini, basi atimize hisabu katika siku nyengine. Mwenyezi Mungu anakutakieni yaliyo mepesi wala hakutakieni yaliyo mazito, na mtimize hiyo hisabu, na mumtukuze Mwenyezi Mungu kwa kuwa amewangoza ili mpate kushukuru. (Baqarah:185)

  • Ramadhani; Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (1)

    Ramadhani; Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (1)

    Mar 10, 2025 07:10

    Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji. Tumo katika siku tukufu za ibada ya funga ya mwezi wa Ramadhani na sote tumealikwa kuwa wageni wa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

  • Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?

    Umewahi Kusoma Hotuba ya Sha'baniyyah ya Mtume Muhammad (saw)?

    Feb 27, 2025 13:22

    Kwa mujibu wa kitabu cha “Kanzul-Maram fi A'mal Shahr al-Siyam”, Sheikh al-Saduq anamnukuu Imam Ridha (AS) akisema kwamba, katika moja ya siku za mwisho za mwezi wa Shaaban, kabla ya kuingia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, Mtume Muhammad (SAW) alitoa hotuba inayojulikana kama al Khutbatu Al-Sha'baniyyah.

  • Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Waislamu wanasherekea siku ya kupewa Utume Nabii Muhammad (saw)

    Jan 28, 2025 03:05

    Waislamu katika pembe mbalimbali za dunia leo wanaadhimisha kumbukumbu ya kubaathiwa na kupewa Utume, Nabii Muhammad (saw).

  • Uislamu Chaguo Langu (94)

    Uislamu Chaguo Langu (94)

    Mar 01, 2016 11:58

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika kipindi hiki ambacho huangazia watu ambao waliamua kufuata njia iliyojaa nuru katika maisha ya dunia na kesho akhera yaani Uislamu baada ya kufanya utafiti wa kina.