Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    Iran kuishtaki Marekani kwa kutumia ushahidi wa Trump

    May 30, 2018 03:40

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inajiandaa kuishtaki Marekani kwa kushiriki kwa njia isiyo ya moja kwa moja katika mashambulizi ya kigaidi ya mwaka jana hapa nchini, kwa kutumia ushahidi wa Rais Donald Trump.

  • Trump na Shinzō Abe wapanga kuibana zaidi Korea Kaskazini

    Trump na Shinzō Abe wapanga kuibana zaidi Korea Kaskazini

    May 29, 2018 02:48

    Rais Donald Trump wa Marekani na Shinzō Abe, Waziri Mkuu wa Japan wamekubaliana kuhakikisha wanailazimisha Korea Kaskazin iachane na silaha zake za nyuklia na makombora ya balestiki.

  • Zarif: Stratejia mpya za Trump zitafanya Marekani itengwe zaidi

    Zarif: Stratejia mpya za Trump zitafanya Marekani itengwe zaidi

    May 27, 2018 09:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema stratejia mpya zilizotangazwa hivi karibuni na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani eti dhidi ya Tehran zitaifanya Washington itengwe zaidi kimataifa.

  • IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    IMF: Marekani iangalie upya sera zake dhidi ya Iran na Russia

    May 26, 2018 03:13

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Fedha Duniani IMF amemuasa Rais Donald Trump wa Marekani kuangalia upya sera zake za kushadidisha vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.

  • Kongresi ya Marekani yampiga marufuku Trump kutangaza vita dhidi ya Iran

    Kongresi ya Marekani yampiga marufuku Trump kutangaza vita dhidi ya Iran

    May 25, 2018 22:36

    Wabunge wa Kongresi ya Marekani wamepasisha kwa kauli moja muswada wa marekebisho ya sheria inayompiga marukufu Rais Donald Trump kutangaza vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bila ridhaa ya Bunge hilo.

  • Mwanahistoria wa Marekani: Trump atafikwa na hatima sawa na ya Nixon

    Mwanahistoria wa Marekani: Trump atafikwa na hatima sawa na ya Nixon

    May 22, 2018 03:26

    Mwanahistoria mashuhuri wa Marekani ametabiri kuwa urais wa Donald Trump utafikia tamati kwa kusailiwa kiongozi huyo.

  • Donald Trump awatusi tena wahajiri kwa kuwaita kuwa ni wanyama

    Donald Trump awatusi tena wahajiri kwa kuwaita kuwa ni wanyama

    May 19, 2018 02:15

    Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine ametoa matamshi mabaya yenye kuwavunjia heshima wahajiri au wahamiaji nchini humo kwa kuwataja kuwa ni wanyama.

  • Trump: Huenda kiongozi wa Korea Kaskazini akapatwa na hatima kama ya Gaddafi

    Trump: Huenda kiongozi wa Korea Kaskazini akapatwa na hatima kama ya Gaddafi

    May 18, 2018 23:43

    Rais Donald Trump wa Marekani amemuonya kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un kuwa huenda akapatwa na hatima kama iliyomfika kiongozi wa zamani wa Libya, Kanali Muammar Gaddafi, iwapo Pyongyang haitaachana na mradi wake wa silaha za nyuklia.

  • Leon Panetta: Serikali ya Trump inaficha ukweli kuhusiana na vita vya Afghanistan

    Leon Panetta: Serikali ya Trump inaficha ukweli kuhusiana na vita vya Afghanistan

    May 14, 2018 22:11

    Waziri wa zamani wa Ulinzi nchini Marekani Leon Panetta ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump kwa kuficha ukweli wa mambo kuhusiana na kile kinachoendelea kuhusu vita nchini Afghanistan.

  • Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    May 11, 2018 03:44

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS