Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Trump awaandikia barua viongozi wa nchi za Afrika, adai kuwa

    Trump awaandikia barua viongozi wa nchi za Afrika, adai kuwa "anawaheshimu sana" Waafrika

    Jan 28, 2018 00:59

    Rais Donald Trump wa Marekani amewaandikia barua viongozi wa nchi 55 za Afrika wanaokutana kwenye kikao cha Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia akisema kuwa "anawaheshimu sana" watu wa bara hilo.

  • Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Jan 26, 2018 08:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka viongozi wa bara la Afrika kujibu matamshi ya kipumbavu na ya matusi ya Rais wa Marekani dhid ya Waafrika.

  • "Trump ni hatari kwa dunia, yumkini asimalize muhula wake"

    Jan 26, 2018 04:32

    Mwekezaji bilionea mashuhuri wa Marekani, George Soros ameutaja utawala wa Rais Donald Trump kama hatari kwa dunia, na kusisitiza kuwa, kushtadi upinzani dhidi ya kiongozi huyo kutamfanya asahaulike kabisa duniani kufikia mwaka 2020 au hata kabla ya hapo.

  • AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    Jan 26, 2018 03:44

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema bara la Afrika lilishtushwa na lingali linaendelea kutafakari kuhusu kauli chafu na ya kebehi iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani, kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka bara hilo, Haiti na El Salvador wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".

  • Sisitizo kwa Umoja wa Ulaya la kujitoa katika makucha ya Marekani

    Sisitizo kwa Umoja wa Ulaya la kujitoa katika makucha ya Marekani

    Jan 26, 2018 00:29

    Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amesema mbele ya Baraza la Kimataifa la Uchumi mjini Davos Uswisi kwamba nchi za Ulaya zinapaswa kubadilisha siasa zao za kuitegemea Marekani katika masuala ya ndani na nje ya bara hilo.

  • Maelfu ya watu waandamana kupinga safari ya Trump nchini Uswisi

    Maelfu ya watu waandamana kupinga safari ya Trump nchini Uswisi

    Jan 24, 2018 04:25

    Maelfu ya raia wa Uswisi wameandamana mjini Zurich na katika miji mingine muhimu ya nchi hiyo ikiwemo ya Geneva, Lausanne na Fribourg kupinga Rais Donald Trump wa Marekani kuhudhuria kongamano la kila mwaka la Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) linalofanyika katika mji wa Davos.

  • Nusu ya Wamarekani wanaamini Trump hana akili timamu

    Nusu ya Wamarekani wanaamini Trump hana akili timamu

    Jan 22, 2018 04:30

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kwamba, nusu ya raia wa Marekani wanaamini kwamba, Rais Donald Trump wa nchi hiyo hana mlingano wa akili.

  • Joto lilivunja rekodi duniani mwaka 2017, wasiwasi kuhusu mustakabali

    Joto lilivunja rekodi duniani mwaka 2017, wasiwasi kuhusu mustakabali

    Jan 20, 2018 01:08

    Mwaka uliopita wa 2017 umetajwa kuwa mwaka uliovunja rekodi ya joto kali zaidi katika historia ya sayari ya dunia pasina kuwepo tukio la El Niño huku kukiwa na wasi wasi kuwa hali itazidi kuwa mbaya katika miaka ijayo.

  • Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Mkutano wa al-Azhar: Baytul-Muqaddas ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Jan 19, 2018 00:44

    Washiriki wa mkutano wa kimataifa wa kuunga mkono Quds uliofanyika katika Chuo Kikuu cha al-Azhar huko Cairo Misri umesisitiza umuhimu wa kutangazwa Baytul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina.

  • Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Abbas: Quds inaweza kuwa lango la amani au vita, Trump achague

    Jan 17, 2018 23:03

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahmoud Abbas amesema mji wa Baitul Muqaddad unaweza kuwa lango la kupatikana amani au kuibua vita, na Marekani ina khiari ya kuchagua njia inayoitaka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS