-
Rais wa Botswana asema Trump anashajiisha ujangili, magendo ya vipusa
Mar 18, 2018 13:01Rais Ian Khama wa Botswana amesema Rais Donald Trump wa Marekani anaunga mkono na kushajiisha ujangili barani Afrika, kufuatia hatua yake ya hivi karibuni ya kuangalia upya marufuku ya vipusa na bidhaa nyingine zilizotengenezwa kwa pembe za ndovu.
-
Mwakilishi wa Democrat: Trump ni tishio kubwa kwa usalama wa Marekani; wakati wa kumuondoa umefika
Mar 17, 2018 12:14Mwakilishi wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani amesema rais Donald Trump ni tishio kubwa sana kwa usalama wa nchi hiyo.
-
Kupigwa kalamu nyekundu Tillerson; mtingishiko ndani ya serikali ya Trump
Mar 14, 2018 04:50Hatimaye Rex Tillerson amepigwa kalamu nyekundu na kuuzuliwa wadhifa wa uwaziri wa mambo ya nje wa Marekani. Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Twitter wa kutangaza moja ya mabadiliko makubwa ya baraza la mawaziri katika kipindi cha urais wake.
-
Rais Trump aingia katika vita vya maneno na gavana wa jimbo la California
Mar 14, 2018 04:12Rais Donald Trump wa Marekani ameanzisha vita vipya vya maneno na Jerry Brown, gavana wa jimbo la California nchini humo.
-
Trump amfuta Waziri wa Mambo ya Nje Tillerson, mkuu wa CIA achukua nafasi hiyo
Mar 13, 2018 12:31Rais Donald Trump wa Marekani amemfuta kazi Waziri wake wa Mambo ya Nje, Rex Tillerson na kumteua Mkurugenzi wa Shirika Kuu la Ujasusi, CIA, Mike Pompeo kuchukua nafasi hiyo.
-
Mawakili wa Marekani, Palestina na Jordan kupinga uamuzi wa Trump kuhusu Quds
Mar 13, 2018 12:24Wanasheria na mawakili kadhaa wa Marekani, Palestina na Jordan wametangaza kuwa wako tayari kufungua mashtaka mahakamani dhidi ya uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wa kuitambua Quds tukufu (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kutaka kuhamishia ubalozi wa Marekani katika mji huo.
-
Kashfa za ngono zaendelea kumwandama Rais wa Marekani
Mar 09, 2018 21:56Vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti kuwa, kashfa ya mahusiano haramu ya ngono inayomwandama Rais Donald Trump wa nchi hiyo inazidi kupamba moto na kwamba kiongozi huyo ameamua kumwajiri wakili mashuhuri kwa ajili ya kujinasua katika kinamasi hicho.
-
Uamuzi wa Trump kuhusu Quds waendelea kupingwa
Mar 09, 2018 12:34Wimbi jipya la upinzani dhidi ya maamuzi ya viongozi wa Marekani wanaotaka kutambuliwa Quds (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, limechukua mkondo wake.
-
Uzembe wa nchi za Kiarabu umeongeza uadui Marekani dhidi ya Quds Tukufu
Mar 09, 2018 03:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Riyadh Al-Maliki amesema, uzembe na upuuzaji wa nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita ndicho chanzo cha kuongezeka uadui na jeuri za Marekani dhidi ya Quds Tukufu.
-
Trump alegeza msimamo na kukubali kukutana na kiongozi wa Korea Kaskazini
Mar 09, 2018 03:06Rais Donald Trump wa Marekani amelegeza msimamo na kukubali kukutana na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jon-un mwezi Mei mwaka huu.