-
Rais Rouhani akataa mwaliko wa kukutana na kufanya mazungumzo na Trump
Oct 30, 2017 04:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikataa mwaliko wa kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa New York kushiriki mkutano wa 72 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA.
-
Uchunguzi: Zaidi ya nusu ya Wamarekani hawamtaki Trump
Oct 30, 2017 00:29Matokeo ya uchunguzi wa hivi karibuni kabisa wa maoni unaonesha kuwa, umaarufu wa rais wa Marekani Donald Trump umeporomoka mno.
-
Seneta McCain: Iran itaitimua Marekani Mashariki ya Kati
Oct 26, 2017 11:41John McCain, Mkuu wa Kamati ya Vikosi vya Ulinzi ya Seneti ya Marekani ameiasa serikali ya Washington iwe na stratijia inayofahamika ya kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vinginevyo, Iran itaitimua Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Msongo wa mawazo na vitendo vya ushari vimeongezeka kwenye shule za Marekani katika urais wa Trump
Oct 26, 2017 11:16Uchunguzi uliofanywa na Chuo Kikuu cha California nchini Marekani, umeonyesha kwamba usomaji na ufundishaji kwenye shule za Marekani katika kipindi cha urais wa Donald Trump, umechanganyika na ongezeko kubwa la msongo wa mawazo na vitendo vya ushari vinavyoshuhudiwa katika shule hizo.
-
Zarif: Upayukaji wa Trump hauwezi kutia doa istikama ya wananchi wa Iran
Oct 24, 2017 04:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema jana usiku mbele ya Wairani wanaoishi Afrika Kusini kwamba, upayukaji wa rais wa Marekani Donald Trump hauwezi kutia doa hata chembe katika ulinzi, muqawama na heshima ya wananchi wa Iran.
-
Bush akosoa siasa za kibaguzi za Donald Trump huko Marekani
Oct 20, 2017 22:57Rais wa zamani wa Marekani George W. Bush amesema siasa za nchi hiyo hazipasi kujengeka kwenye msingi wa kujitenga, ubaguzi na urongo.
-
Antonio Guterres: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanapaswa kuheshimiwa
Oct 19, 2017 00:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA kwa kifupi, yanapaswa kulindwa na kutekelezwa na kuongeza kuwa, makubaliano hayo ya kimataifa ni muhimu na ya lazima kwa ajili ya kulinda usalama na uthabiti wa dunia.
-
Jaji wa Mahakama ya Hawaii azuia marufuku mpya ya kusafiri ya Trump
Oct 18, 2017 04:36Jaji wa mahakama katika jimbo la Hawaii nchini Marekani amezuia marufuku mpya ya kusafiri iliyotangazwa na Rais Donald Trump akisema kuwa marufuku hiyo ni kandamizaji kwa mujibu wa utaifa.
-
Sayyari: Tamko la kipumbavu la Trump haliwezi kubadilisha "Ghuba ya Uajemi"
Oct 17, 2017 23:19Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Majini cha Iran amesema kauli ya kupotosha na ya kipumbavu iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akitoa hutuba dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hivi karibuni haiwezi kubadilisha jina la asili la "Ghuba ya Uajemi".
-
Sheikh Naim Qassim: Trump ni mkiukaji wa ahadi na dhalimu
Oct 17, 2017 00:54Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amejibu matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trum wa Marekani ya kufuta makubaliano na Iran na kupasisha vikwazo vipya kwa kusema, kwa mtazamo wa wananchi wa Lebanon na wa mataifa mengine duniani, Trump ni mtu dhalimu na mkiukaji wa ahadi.