-
Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye
Nov 17, 2016 01:13Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, ikiwa Donald Trump, rais mteule wa Marekani atapambana kwa dhati na magaidi, basi serikali yake itashirikiana naye.
-
Trump aonywa asiugeuze urais kuwa mali ya ukoo wake
Nov 16, 2016 04:17Taasisi moja ya kusimamia masuala ya maadili nchini Marekani imetoa onyo kali dhidi ya Donald Trump, rais mteule wa nchi hiyo na huku ikiashiria kuwa urais si mali ya ukoo, imemtaka aache kuwaingiza wanawawe katika siasa za Marekani.
-
Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3
Nov 14, 2016 04:31Hata kabla ya kuapishwa, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, likiwemo suala la kuwatimua wahamiaji nchini humo.
-
Donald Trump na Usalama wa Utawala haramu wa Israel
Nov 12, 2016 04:30Siku tatu baada ya Donald Trump kutangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani, kumetolewa kauli kadhaa kuhusu namna Trump anavyoutazama usalama wa Israel.
-
Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran
Nov 12, 2016 01:13Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif ameonya kuwa iwapo rais mteule wa Marekani atakiuka mapatano ya nyuklia, basi Iran ina machaguo mengine ya kukabiliana na hali hiyo.
-
Hamas: Matokeo ya uchaguzi wa Marekani hayatabadili hali ya Mashariki ya Kati
Nov 12, 2016 00:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika siku chache zilizopita nchini Marekani hayatakuwa na taathira chanya katika mgogoro wa Mashariki ya Kati.
-
Kremlin: Mtazamo wa Trump katika siasa za nje unafanana na wa Putin
Nov 11, 2016 04:36Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin amesema mtazamo wa Rais wa Russia na Rais mteule wa Marekani katika sera za nje unafanana.
-
Radiamali ya viongozi wa Ulaya kuhusu ushindi wa Trump
Nov 09, 2016 10:18Viongozi wa Ulaya wameonyesha radiamali zao kufuatia ushindi wa Donald Trump wa chama cha Republican katika uchaguzi wa Rais uliofanyika jana.
-
Mamillioni ya Wamarekani wanyimwa haki ya kupiga kura
Nov 09, 2016 04:44Huku matokeo yasiyo rasmi ya uchaguzi wa rais Marekani yakionyesha kuwa Donald Trump wa chama cha Republican amepata ushindi dhidi ya mshindani wake wa chama cha Democrat Hillary Clinton, imebainika kuwa idadi kubwa ya Wamarekani wamenyimwa haki yao ya kupiga kura.
-
Wamarekani wenye hasira waandamana kuwapinga Clinton, Trump
Nov 06, 2016 12:07Wananchi wenye hasira wa Marekani wamefanya maandamano katika mitaa ya Washington DC kuwapinga wagombea wawili wa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.