Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ujio wa Trump; Marekani yawakamata na kuwafukuza mamia ya wahamiaji

    Ujio wa Trump; Marekani yawakamata na kuwafukuza mamia ya wahamiaji

    Jan 25, 2025 02:56

    Katibu wa Habari wa Ikulu ya White House ya Marekani amefichua kuwa, katika wiki ya kwanza ya urais wa Donald Trump, wahamiaji haramu 538 wamekamatwa na kuzuiliwa, huku mamia ya wengine wakifukuzwa nchini.

  • Iran: Kuzishutumu nchi huru bila ya sababu ni kuendeleza uvunjaji wa sheria

    Iran: Kuzishutumu nchi huru bila ya sababu ni kuendeleza uvunjaji wa sheria

    Jan 24, 2025 03:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, tuhuma ya Marekani dhidi ya Cuba na kuliingiza tena jina la nchi hiyo katika orodha ya mataifa yanayodaiwa kuunga mkono ugaidi ni hatua ya kipuuzi na isiyokubalika kabisa.

  • Moscow: Marekani inachuma pesa kutokana na vita vya Ukraine

    Moscow: Marekani inachuma pesa kutokana na vita vya Ukraine

    Jan 24, 2025 03:34

    Msemaji wa Kremlin amekosoa himaya ya kifedha na kisiasa ya Washington kwa serikali ya Kiev na kusema: Marekani inapata pesa kwa kuuza rasilimali zake za nishati za bei ya juu kwa watu wa Ulaya walioathiriwa na vita.

  • Madai ya Trump kuhusu maeneo ya nchi nyingine, dhihirisho la ubeberu wa hali ya juu

    Madai ya Trump kuhusu maeneo ya nchi nyingine, dhihirisho la ubeberu wa hali ya juu

    Jan 23, 2025 12:27

    Hatua isiyo ya kawaida ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ya kutoa amri ya kubadili jina la "Ghuba ya Mexico" kuwa "Ghuba ya Marekani" imekabiliwa na hisia kali kutoka Mexico.

  • Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Jan 21, 2025 14:28

    Wakati ambapo Donald Trump, rais mteule wa Marekani, ameapishwa rasmi Jumatatu, tarehe 20 Januari, maandamano dhidi ya sera zake tayari yameanza. Katika muktadha huu, maelfu ya Wamarekani, wengi wao wakiwa wanawake, wamekusanyika katika mitaa ya Washington kuandamana dhidi ya sera za Trump.

  • Wakuu wa Amerika Kusini: Uamuzi wa Trump wa kuwafukuza wahamiaji ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Wakuu wa Amerika Kusini: Uamuzi wa Trump wa kuwafukuza wahamiaji ni ukiukaji wa haki za binadamu

    Jan 19, 2025 11:32

    Katika kipindi cha kukaribia kuanza awamu nyingine ya utawala wa Donald Trump kama Rais wa Marekani, wawakilishi na maafisa wa nchi mbalimbali za Amerika Kusini, katika tamko lao, wamebainisha wasiwasi wao kuhusu utekelezaji wa sera ya kufukuzwa wahamiaji kutoka nchi tofauti.

  • Je, Marekani itaiondoa Cuba kwenye Orodha ya Nchi Zinazounga Mkono Ugaidi?

    Je, Marekani itaiondoa Cuba kwenye Orodha ya Nchi Zinazounga Mkono Ugaidi?

    Jan 17, 2025 13:55

    Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa rais wa nchi anayeondoka mamlakani Joe Biden, ataiondoa Cuba kwenye orodha ya nchi zinazounga mkono ugaidi.

  • Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani

    Moto wa Los Angeles; Ishara ya uzembe wa serikali ya Marekani

    Jan 11, 2025 10:44

    Mji wa Los Angeles katika jimbo la California, Marekani, umekuwa ukiteketea kwa moto usiozuilika kwa siku kadhaa sasa katika msimu wa baridi kali na kuwaacha maelfu ya watu bila ya makazi. Moto huo pia umesababisha hasara na uharibifu mkubwa unaotajwa kuwa ni wa aina yake katika historia ya majanga nchini Marekani.

  • Mahakama ya New York yamhukumu Trump katika kesi ya ufisadi

    Mahakama ya New York yamhukumu Trump katika kesi ya ufisadi

    Jan 11, 2025 06:38

    Mahakama ya New York jana ilitoa hukumu yake dhidi ya rais mteule wa Marekani, Donald Trump katika kesi ya faili la ufisadi wa kingono.

  • HAMAS: Vitisho vya Trump havitutii hofu yoyote

    HAMAS: Vitisho vya Trump havitutii hofu yoyote

    Jan 11, 2025 03:39

    Mjumbe wa ngazi ya juu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Vitisho vya Marekani havina umuhimu wowote kwa wananchi wa Palestina. Wapalestina wanajua kwamba wako kwenye haki na wanapigania haki na malengo yao matakatifu ili waweze kuishi katika nchi yao wenyewe kama walivyo watu wa mataifa mengine duniani".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS