Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Tukio la kupigwa risasi Trump; ishara ya kuongezeka ghasia za kisiasa nchini Marekani

    Tukio la kupigwa risasi Trump; ishara ya kuongezeka ghasia za kisiasa nchini Marekani

    Jul 14, 2024 09:52

    Tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani wakati akizungumza kwenye kampeni ya uchaguzi mbele ya wafuasi wake huko Butler, Pennsylvania, Jumamosi jioni, huku uchaguzi wa rais ukikaribia kufanyika nchini humo, limeibua gumzo kubwa la kisiasa katika vyombo vya habari vya Marekani.

  • Trump ajeruhiwa kwa risasi mkutanoni Pennsylvania; asema yupo salama

    Trump ajeruhiwa kwa risasi mkutanoni Pennsylvania; asema yupo salama

    Jul 14, 2024 00:03

    Raisi wa zamani wa Markani, Donald Trump, na mgombea wa sasa wa kiti cha rais nchini humo jana alijeruhiwa kwa rsasi akiwa katika mkutano wa hadhara huko Butler, katika jimbo la Pennsylvania akihutubia wafuasi wake; hatua iliyoipelekea timu yake ya ulinzi kumtoa katika sehemu ya tukio.

  • Bagheri: Lebanon itakuwa jahanamu kubwa kwa Israel

    Bagheri: Lebanon itakuwa jahanamu kubwa kwa Israel

    Jul 03, 2024 08:19

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, bila ya shaka yoyote Lebanon itakuwa jahanamu kubwa sana kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Donald Trump akiri juu ya udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    Donald Trump akiri juu ya udhaifu wa utawala wa Kizayuni

    May 29, 2024 05:27

    Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani amesema katika mkusanyiko wa Wayahudi wa Marekani kwamba utawala wa Israel umepoteza uwezo wake.

  • Trump aapa

    Trump aapa "kutimua wanafunzi" na kukandamiza wanaounga mkono Palestina akichagualiwa tena kuwa rais

    May 29, 2024 00:08

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameapa kuwa atakandamiza maandamano ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina yanayoendelea kufanywa katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kusisitiza kuwa "atawafukuza" wanafunzi wanaohudhuria maandamano hayo, ikiwa atachaguliwa kurudi tena madarakani.

  • Trump aonya: Kutakuwa na 'umwagaji mkubwa wa damu' nisipochaguliwa kuwa rais wa Marekani

    Trump aonya: Kutakuwa na 'umwagaji mkubwa wa damu' nisipochaguliwa kuwa rais wa Marekani

    Mar 17, 2024 02:15

    Donald Trump ameuambia mkutano wa hadhara katika jimbo la Ohio kwamba uchaguzi wa rais wa Novemba utakuwa "tarehe muhimu zaidi" katika historia ya Marekani akiitaja kampeni yake ya kuingia tena Ikulu ya White kama hatua ya mabadiliko muhimu sana kwa nchi hiyo.

  • Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Feb 25, 2024 06:53

    Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani kwa mara nyingine amemshambulia Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden akisisitiza kuwa, Wamarekani watakabiliwa na hali mbaya zaidi iwapo Biden atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu.

  • Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Ombi la Italia la kuunda jeshi la Ulaya

    Jan 08, 2024 22:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Antonio Tajani, amesema kwamba Umoja wa Ulaya unapaswa kuunda jeshi lake la pamoja ambalo linaweza kuwa na jukumu la kudumisha amani na kuzuia migogoro.

  • Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani

    Kumbukumbu ya mwaka wa 3 tangu baada ya tukio la Januari 6; Ishara ya kufifia demokrasia ya Marekani

    Jan 06, 2024 07:22

    Maadhimisho ya miaka mitatu ya shambulio dhidi ya Bunge la Congress ya Marekani Januari 6, 2021 yamewadia huku wapinzani wawili katika uchaguzi wa rais, ambao ni Rais Mdemocrati, Joe Biden, na mgombea mkuu wa chama cha Republican, Donald Trump, wakishambuliana kwa maneno makali hasa katika kipindi hiki cha kuingia mwaka wa uchaguzi wa rais nchini Marekani.

  • Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi  ndani ya Marekani

    Uchaguzi wa urais wa 2024 na kuongezeka hatari ya ugaidi ndani ya Marekani

    Jan 01, 2024 23:18

    Jena Marie Griswold, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jimbo la Colorado nchini Marekani, amesema kuwa ametishiwa maisha mara kadhaa baada ya kuwasilisha malalamiko yaliyopelekea kuondolewa jina la Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka huu wa 2024 kwenye orodha ya wagombea katika jimbo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS