-
Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani
Jun 02, 2020 23:22Fikra za kuchupa mipaka za mrengo wa kulia zimeshamiri sana nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.
-
Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani
Jun 02, 2020 01:54Ubaguzi wa rangi na matumizi ya mabavu dhidi ya wale wanaotajwa kuwa watu wa rangi nchini Marekani na hasa weusi, ni jambo lenye historia ndefu nchini humo. Licha ya mapambano ya muda mrefu ya weusi kwa ajili ya kutetea haki zao, lakini wangali ni wahanga wakubwa wa ubaguzi na matumizi ya mabavu na hasa kutoka kwa polisi ya nchi hiyo.
-
Trump awatisha waandamanaji wanaolalamikia ukatili Polisi Marekani dhidi ya Wamarekani Weusi
May 30, 2020 03:44Ukatili usio na kikomo wa Jeshi la Polisi nchini Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika au Wamarekani weusi ambao unafanyika katika fremu ya sera jumla za ubaguzi wa rangi dhidi ya kaumu hiyo umeibua malalamiko makubwa katika siku za hivi karibuni nchini humo. Malalamiko hayo yameibuka baada ya Mmarekani mweusi kuuawa kinyama siku chache zilizopita mikononi mwa afisa wa polisi mzungu.
-
Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO
May 30, 2020 03:40Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kukata uhusiano na Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.
-
Trump atumia mtandao wa kijamii kutishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani
May 27, 2020 21:52Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuwa atatumia nguvu zake kuzima na kufunga mitandao ya kijamii nchini humo.
-
Trump akosolewa na "Twitter" kwa kupotosha juu ya uchaguzi
May 27, 2020 03:27Shirika la Twitter limemkosoa Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuchapisha katika mtandao huo wa kijamii taarifa za kupotosha kuhusu uchaguzi mkuu ujao wa nchi hiyo.
-
Mtengeneza filamu wa Marekani: Trump atashinda tu iwapo kutafanyika uchakachuji katika uchaguzi
May 23, 2020 22:22Mtengeneza filamu mashuhuri wa nchini Marekani amebainisha kwamba, njia pekee inayoweza kumfanya Rais Donald Trump wa nchi hiyo aibuke mshindi katika uchaguzi ujao ni uchakachuaji.
-
Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo
May 20, 2020 02:22Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.
-
Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China
May 19, 2020 03:09Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.
-
Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani
May 17, 2020 07:51Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.