Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Jun 02, 2020 23:22

    Fikra za kuchupa mipaka za mrengo wa kulia zimeshamiri sana nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Trump asisitiza kuwakandamiza waandamanaji wanaolalamikia ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 02, 2020 01:54

    Ubaguzi wa rangi na matumizi ya mabavu dhidi ya wale wanaotajwa kuwa watu wa rangi nchini Marekani na hasa weusi, ni jambo lenye historia ndefu nchini humo. Licha ya mapambano ya muda mrefu ya weusi kwa ajili ya kutetea haki zao, lakini wangali ni wahanga wakubwa wa ubaguzi na matumizi ya mabavu na hasa kutoka kwa polisi ya nchi hiyo.

  • Trump awatisha waandamanaji wanaolalamikia ukatili Polisi Marekani dhidi ya Wamarekani Weusi

    Trump awatisha waandamanaji wanaolalamikia ukatili Polisi Marekani dhidi ya Wamarekani Weusi

    May 30, 2020 03:44

    Ukatili usio na kikomo wa Jeshi la Polisi nchini Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika au Wamarekani weusi ambao unafanyika katika fremu ya sera jumla za ubaguzi wa rangi dhidi ya kaumu hiyo umeibua malalamiko makubwa katika siku za hivi karibuni nchini humo. Malalamiko hayo yameibuka baada ya Mmarekani mweusi kuuawa kinyama siku chache zilizopita mikononi mwa afisa wa polisi mzungu.

  • Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO

    Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO

    May 30, 2020 03:40

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kukata uhusiano na Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.

  • Trump atumia mtandao wa kijamii kutishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani

    Trump atumia mtandao wa kijamii kutishia kufunga mitandao ya kijamii nchini Marekani

    May 27, 2020 21:52

    Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuwa atatumia nguvu zake kuzima na kufunga mitandao ya kijamii nchini humo.

  • Trump akosolewa na

    Trump akosolewa na "Twitter" kwa kupotosha juu ya uchaguzi

    May 27, 2020 03:27

    Shirika la Twitter limemkosoa Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuchapisha katika mtandao huo wa kijamii taarifa za kupotosha kuhusu uchaguzi mkuu ujao wa nchi hiyo.

  • Mtengeneza filamu wa Marekani: Trump atashinda tu iwapo kutafanyika uchakachuji katika uchaguzi

    Mtengeneza filamu wa Marekani: Trump atashinda tu iwapo kutafanyika uchakachuji katika uchaguzi

    May 23, 2020 22:22

    Mtengeneza filamu mashuhuri wa nchini Marekani amebainisha kwamba, njia pekee inayoweza kumfanya Rais Donald Trump wa nchi hiyo aibuke mshindi katika uchaguzi ujao ni uchakachuaji.

  • Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo

    Matamshi ya Rais wa Marekani kuhusu kufaidika Taliban na uwepo wa askari wa Marekani nchini humo

    May 20, 2020 02:22

    Rais wa Marekani amesema uwepo wa askari wa nchi yake huko Afghanistan ni kwa faida ya Taliban na hivyo kundi hilo halitaki askari wa Marekani waondoke.

  • Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China

    Trump atishia kujiondoa WHO, asema shirika hilo ni kikaragosi cha China

    May 19, 2020 03:09

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.

  • Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    May 17, 2020 07:51

    Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS