Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Obama: Donald Trump ni Mfashisti

    Obama: Donald Trump ni Mfashisti

    Jan 27, 2020 00:54

    Seneta wa jimbo la Virginia nchini Marekani amesema kuwa, katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2016, Rais Barack Obama wa wakati huo alimtaja Donald Trump kuwa ni Mfashisti.

  • Maandamano dhidi ya sera ya kupenda vita ya Marekani yafanyika duniani

    Maandamano dhidi ya sera ya kupenda vita ya Marekani yafanyika duniani

    Jan 26, 2020 09:34

    Maandamano yameshuhudiwa katika nchi mbalimbali duniani kupinga sera ya kupenda vita ya Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kupinga hatua yoyote ya Washington ya kuanzisha vita na Iran.

  • Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Maveterani wa kivita Marekani wamtaka Trump aombe radhi kwa kudharau hasara kubwa iliyosababishwa na kipigo cha Iran

    Jan 25, 2020 23:50

    Kundi moja la maveterani wa vita vya nje ya Marekani wamemtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump aombe radhi kwa kudharau madhara waliyopata wanajeshi wa Marekani baada ya kambi yao ya Ain al Assad ya nchini Iraq kushambuliwa kwa makumi ya makombora ya Iran.

  • Pentagon yakiri tena: Makumi ya askari wa Marekani walipatwa na madhara katika shambulio la makombora la Iran

    Pentagon yakiri tena: Makumi ya askari wa Marekani walipatwa na madhara katika shambulio la makombora la Iran

    Jan 25, 2020 23:21

    Alfajiri ya Jumatano Januari 8 mwaka huu Iran ilishambulia kwa makombora kambi ya jeshi la Marekani ya Ain al Asad huko Iraq ikiwa ni katika kutimiza ahadi yake ya kulipiza kisasi kikali cha mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na serikali ya Trump dhidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani na wenzake huko Baghdad.

  • Wamarekani waunga mkono mpango wa kumshtaki Trump ICC

    Wamarekani waunga mkono mpango wa kumshtaki Trump ICC

    Jan 25, 2020 08:09

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonesha Wamarekani wanaunga mkono mpango wa kushtakiwa rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa kumuua kigaidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani.

  • Mousavi: Ndoto za Trump za kufikia mapatano mapya na Iran hazitoaguka

    Mousavi: Ndoto za Trump za kufikia mapatano mapya na Iran hazitoaguka

    Jan 24, 2020 02:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ndoto ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuikia makubaliano mapya na Iran itaendelea kubakia kuwa ndoto isiyoagulika.

  • Chris Murphy akosoa kitendo cha Trump kusema uongo kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la Iran Ain Assad

    Chris Murphy akosoa kitendo cha Trump kusema uongo kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la Iran Ain Assad

    Jan 23, 2020 23:22

    Chris Murphy, Seneta wa Marekani amesema kuwa hadi sasa Rais Donald Trump wa nchi hiyo ameendelea kuwahadaa Wamarekani kuhusu hasara iliyotokana na shambulio la makombora ya Iran kwenye kambi yake ya jeshi ya Ain Assad nchini Iraq.

  • Msimamo wa Ulaya kuhusu JCPOA, sera ya mielekeo kinzani yenye hatima moja

    Msimamo wa Ulaya kuhusu JCPOA, sera ya mielekeo kinzani yenye hatima moja

    Jan 23, 2020 08:30

    Hatua ya hivi karibuni ya troika ya Ulaya inayozijumuisha nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ya kuanza kutekeleza utaratibu wa kutatua tofauti ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA, ambayo imeanzishwa kwa mashinikizo ya Marekani, imekabiliwa na radiamali kali ya Iran.

  • Trump aweka rekodi ya kuandika na kutuma jumbe 125 za Twitter katika siku moja

    Trump aweka rekodi ya kuandika na kutuma jumbe 125 za Twitter katika siku moja

    Jan 23, 2020 04:47

    Rais Donald Trump wa Marekani ameweka rekodi katika urais wake ya kupitisha muda mwingi katika mtandao wa kijamii anaopendelea kuutumia wa Twitter baada ya kuandika na kutuma jumbe 125 hapo jana sambamba na kuanza rasmi kesi ya kutaka kumuuzulu katika Seneti ya nchi hiyo.

  • Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Tanzania, Nigeria katika nchi zitakazowekewa vikwazo vya usafiri na Marekani

    Jan 22, 2020 08:37

    Marekani ina mpango wa kuziongeza nchi nyingine saba zikiwemo Tanzania na Nigeria kwenye orodha ya nchi ambazo raia wake wanatarajiwa kuwekewa vikwazo na vizingiti vya kuingia nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS