Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Kikao cha muungano unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) na madai ya kukaririwa ya Washington

    Kikao cha muungano unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) na madai ya kukaririwa ya Washington

    Feb 08, 2019 03:26

    Tarehe 19 Disemba mwaka jana Rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kwamba askari wa Marekani wataanza kuondoka Syria.

  • Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Vyombo vya habari Marekani: Fikra za Trump kuhusu Iran hazina mlingano, zinafurutu mipaka

    Feb 06, 2019 23:27

    Vyombo vya habari vya Marekani vimetangaza kuwa, matamshi yanayotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo yanaonesha kuwa, kiongozi huyo ana mitazamo na fikra zisizo na mlingano na za kuchupa mipaka kuhusiana na Iran.

  • Uropokaji na upayukaji mwingine mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Uropokaji na upayukaji mwingine mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Feb 06, 2019 10:37

    Marekani, katika kipindi cha urais wa Donald Trump, imedhihirisha bila kificho kuwa imepanga na inatekeleza mpango wa kuudhoofisha na kuuangusha Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ripoti: Kiwango cha ufisadi kimekithiri Marekani katika utawala wa Trump

    Ripoti: Kiwango cha ufisadi kimekithiri Marekani katika utawala wa Trump

    Jan 29, 2019 21:41

    Ripoti ya shirika la kutathmini viwango vya ufisadi duniani la Transparency International imesema kiwango cha ufisadi na visa vya rushwa vimeogezeka pakubwa nchini Marekani tangu Rais Donald Trump aingie madarakani.

  • Trump: Kufungwa tena serikali, ni moja ya machaguo yetu

    Trump: Kufungwa tena serikali, ni moja ya machaguo yetu

    Jan 28, 2019 04:46

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, kufungwa kwa mara nyingine shughuli za serikali, ni miongoni mwa machaguo makuu kwa ajili ya kukabiliana na Kongresi kuhusiana na kadhia ya ujenzi wa ukuta wa mpakani.

  • Misala ya Waislamu yamtia kiwewe rais wa Marekani, Donald Trump

    Misala ya Waislamu yamtia kiwewe rais wa Marekani, Donald Trump

    Jan 21, 2019 13:01

    Njama mpya za rais wa Marekani, Donald Trump za kujaribu kuchafua sura ya Waislamu na wahajiri wanaoingia nchini humo, zimeonesha ni kiasi gani rais huyo alivyo na mtazamo finyu kuhusiana na Uislamu na jinsi anavyotiwa kiwewe na dini hiyo ya Mwenyezi Mungu.

  • Kiongozi wa Wademocrati akataa pendekezo jipya la Trump

    Kiongozi wa Wademocrati akataa pendekezo jipya la Trump

    Jan 20, 2019 09:13

    Kiongozi wa wawakilishi wa chama cha Democratic katika Baraza la Seneti la Marekani amekataa pendekezo la Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa ajili ya kukomesha hatua yake ya kufunga shughuli zote za serikali ya nchi hiyo.

  • Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Maelfu ya wanawake waandamana dhidi ya Trump Marekani na Ulaya

    Jan 20, 2019 04:13

    Maelfu ya wanawake wameshiriki maandamano katika miji mikubwa ya Marekani na Ulaya kupinga sera za kibaguzi za Rais Donald Trump.

  • Kharrazi: Kitendo cha nchi za Ulaya cha kuchelewesha utekelezaji wa SPV hakikubaliki

    Kharrazi: Kitendo cha nchi za Ulaya cha kuchelewesha utekelezaji wa SPV hakikubaliki

    Jan 19, 2019 13:07

    Mkuu wa Baraza la Kiistratijia la Uhusiano wa Kigeni la Iran amezilaumu nchi za Ulaya kwa kuchelewa kutekeleza mfumo maalumu wa kubadilishana fedha na Iran maarufu kwa jina la SPV na kusema kuwa, kisingizio kinachotolewa na nchi hizo cha kwamba haziwezi kuyalazimisha mashirika ya nchi zao, hakikubaliki kabisa.

  • Wamarekani wamlaumu Trump kwa kufungwa taasisi za serikali ya nchi hiyo

    Wamarekani wamlaumu Trump kwa kufungwa taasisi za serikali ya nchi hiyo

    Jan 14, 2019 12:07

    Aghalabu ya wananchi wa Marekani wamesema kuwa Rais Donald Trump ndiye anayepaswa kubebeshwa dhima ya kufungwa kwa taasisi za serikali nchini humo tokeo mwezi uliopita hadi sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS