Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Tishio kali la Trump dhidi ya Uturuki

    Tishio kali la Trump dhidi ya Uturuki

    Jan 14, 2019 09:42

    Baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kutangaza hapo tarehe 19 mwezi Disemba mwaka jana uamuzi wa kuondoa askari vamizi wa nchi hiyo huko Syria, baadhi ya wachambuzi wa mambo waliuchukulia uamuzi huo kuwa sehemu ya juhudi zake za kutaka kuiridhisha Uturuki.

  • Marais wa zamani wa Marekani hawaungi mkono shinikizo la Trump la kujengwa ukuta

    Marais wa zamani wa Marekani hawaungi mkono shinikizo la Trump la kujengwa ukuta

    Jan 08, 2019 21:30

    Marais wanne wa zamani wa Marekani wamekanusha madai ya Rais Donald Trump kwamba wanaunga mkono azma ya kujengwa ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.

  • Wamarekani waliowengi wanapinga ujenzi wa ukuta mpakani

    Wamarekani waliowengi wanapinga ujenzi wa ukuta mpakani

    Jan 06, 2019 10:36

    Uchunguzi mpya wa maoni umebiani kuwa wananchi waliowengi Marekani wanapinga mpango wa Rais Donald Trump wa nchi hiyo wa kujenga ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.

  • Trump atishia kutangaza hali ya hatari kushinikiza ujenzi wa ukuta

    Trump atishia kutangaza hali ya hatari kushinikiza ujenzi wa ukuta

    Jan 06, 2019 03:47

    Huku shughuli za serikali zikiendelea kufungwa kwa wiki ya tatu sasa nchini Marekani, Rais Donald Trump ametishia kuwa ikilazimu atatangaza hali ya hatari ili kushinikiza ujenzi wa ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.

  • Majanga yazidi kumwandama Trump, Kongresi kuchunguza uhalifu wa makampuni yake

    Majanga yazidi kumwandama Trump, Kongresi kuchunguza uhalifu wa makampuni yake

    Jan 05, 2019 11:57

    Mbunge wa chama cha Democratic katika Kongresi ya Marekani amesema kuwa ataanzisha uchunguzi kuhusu tuhuma za kuhusika taasisi na makampuni ya Rais wa nchi hiyo Donald Trump katika uhalifu wa utakatishaji wa fedha chafu na kuhusu uhusiano wake na Saudi Arabia.

  • Kushadidi mzozo baina ya Wademocrat na Trump na uwezekano wa kuitwa bungeni ajieleze

    Kushadidi mzozo baina ya Wademocrat na Trump na uwezekano wa kuitwa bungeni ajieleze

    Jan 05, 2019 03:06

    Tangu alipoingia madarakani nchini Marekani hadi hivi sasa, rais wa nchi hiyo Donald Trump, amekuwa akifanya kila njia kulishinikiza Baraza la Congress libadilishe sheria za nchi kwa manufaa yake.

  • Trump apatwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuuzuliwa

    Trump apatwa na wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuuzuliwa

    Jan 04, 2019 13:03

    Rais wa Marekani ameonyesha radiamali yake kufuatia kuenea habari kuhusu uamuzi wa Wademocrats katika kongresi ya nchi hiyo wa kutaka kumsaili kwa lengo la kumuuzulu.

  • Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Kulegeza msimamo Trump kuhusiana na Syria

    Jan 03, 2019 22:55

    Baada ya kupita miaka saba tangu Syria ikumbwe na mgogoro uliosababishwa na uingiliaji wa Marekani pamoja na waitifaki wake wa Ulaya wa Kiarabu katika masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuyaunga mkono makundi ya kigaidi ili kuipindua serikali halali ya nchi hiyo; hivi sasa mlingano wa nguvu umebadilika kikamilifu kwa maslahi ya serikali ya Syria na waitifaki wake.

  • Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Trump akiri wameshindwa Syria, asema, Iran ina satua ya kufanya chochote nchini humo

    Jan 03, 2019 04:19

    Rais wa Marekani, Donald Trump amekiri kushindwa njama za Marekani na vibaraka wake nchini Syria na kusema kuwa, Iran ina ushawishi wa kufanya wanalopenda katika nchi hiyo.

  • Trump ailaumu Democrats kwa vifo vya watoto wahajiri waliokuwa kizuizini

    Trump ailaumu Democrats kwa vifo vya watoto wahajiri waliokuwa kizuizini

    Dec 30, 2018 23:11

    Rais Donald Trump wa Marekani amekilaumu chama cha upinzani cha Democrats kwa vifo vya watoto wawili wahajiri walipoteza maisha hivi karibuni wakiwa kizuizini ndani ya ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS