Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Ripoti: Aghalabu ya Wamarekani wanataka Trump auzuliwe

    Dec 29, 2018 04:42

    Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la Harvard CAPS kwa ushirikiano na taasisi ya utafiti ya Harris umeonesha kuwa akthari ya Wamarekani wanataka Rais Donald Trump wa nchi hiyo auziliwe au avuliwe madaraka.

  • Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq

    Iran: Safari ya kinyemela ya Trump Iraq ni kuwakosea heshima Wairaq

    Dec 28, 2018 21:37

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema safari ya siri na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Iraq imekiuka misingi yote ya udiplomasia na ni kutoheshimu uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Ayatullah Khatami: Safari ya siri ya Trump nchini Iraq ni ithibati ya kudhalilika Marekani katika eneo

    Dec 28, 2018 12:39

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, ameashiria safari ya kificho na ya kushtukiza ya Rais Donald Trump wa Marekani, akifuatana na mkewe Melania nchini Iraq na kusema kuwa, licha ya Marekani kutumia matrilioni ya dola katika eneo la Mashariki ya Kati, lakini rais wake amelazimika kufanya safari ya siri katika nchi moja ya eneo.

  • Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Dec 25, 2018 11:18

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka serikali ya Marekani iheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina.

  • Mamilionea wa Marekani wasema hawataunga mkono kampeni za Trump 2020

    Mamilionea wa Marekani wasema hawataunga mkono kampeni za Trump 2020

    Dec 25, 2018 10:58

    Utafiti wa maoni uliofanywa na shirika la habari la CNBC unaonesha kuwa Rais Donald Trump wa Marekani anaendelea kupoteza uungaji mkono sio tu miongoni mwa wananchi, bali pia miongoni mwa wafanyabiashara matajiri waliomuunga mkono katika kampeni zake za uchaguzi uliopita mwaka 2016.

  • Shughuli za serikali ya Marekani  Zaendelea kukwama, Trump hana Krismasi

    Shughuli za serikali ya Marekani Zaendelea kukwama, Trump hana Krismasi

    Dec 24, 2018 01:08

    Sehemu kubwa ya shughuli za serikali ya Marekani zitaendelea kusitishwa kwa siku tano, kutokana na mkwamo kwenye ufadhili wa ujenzi wa ukuta wa kuzuia wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico.

  • Wimbi la jumbe za

    Wimbi la jumbe za "Trump Jiuzulu" lamiminika kwenye mtandao wa Twitter ndani ya Marekani

    Dec 23, 2018 11:47

    Shakhsia wengi maarufu na wabunge wa Kongresi ya Marekani wamekuwa wakituma jumbe kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter kumtaka rais wa nchi hiyo Donald Trump ang'atuke madarakani.

  • "Mbwa Kichaa" ajiuzulu, sababu ni hitilafu kati yake na Donald Trump

    Dec 21, 2018 01:10

    Waziri wa Ulinzi wa Marekani James Mattis maarufu kwa jina la "Mbwa Kichaa" amejiuzulu wadhifa huo kutokana na hitilafu za kimitazamo kati yake na Rais Donald Trump wa hiyo.

  • Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Ukosoaji mkali wa Papa Francis kwa mienendo ya madola ya Magharibi kuhusu wahajiri

    Dec 20, 2018 23:07

    Tatizo la kilimwengu la wahajiri ni ukweli ambao umedhihirika wazi katika miaka ya hivi karibuni tena kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa.

  • Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Uamuzi wa Trump wa kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Dec 20, 2018 07:06

    Baada ya kuanza mgogoro wa Syria mwaka 2011, Marekani kama kinara wa nchi za Magharibi ikishirikiana na Italia na Ufaransa katika jitihada za kutimiza malengo ya Magharibi na baadhi ya nchi za Kiarabu ya kutaka kuangamiza kambi ya mapambano Mashariki ya Kati na kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, ilijikita zaidi katika suala la kuyasaidia makundi ya kigaidi na waasi wanaobeba silaha kwa ajili ya eti kuiondoa madarakani serikali ya Rais Bashar Assad.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS