-
Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China
Oct 16, 2018 03:58Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.
-
Uungaji mkono wa Trump juu ya kuendelea miamala ya kuuzia silaha utawala wa Saudia
Oct 15, 2018 00:15Suala la kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kuendelea kuwa kitendawili hatma ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mashuhuri wa utawala wa Saudia ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo huko mjini Istanbul, Uturuki, limeendelea kuibua radiamali nyingi duniani.
-
Trump: Marekani kutoiuzia Saudia silaha ni sawa na kujiadhibu
Oct 14, 2018 03:37Rais Donald Trump amesema Marekani itakuwa inajiadhibu yenye iwapo itaamua kusimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, huku Washington ikiendelea kukabiliwa na mashinikizo ya kuangalia upya uhusiano wake na Riyadh kufuatia mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud.
-
Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa
Oct 13, 2018 04:11Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimeifanya nchi hiyo iendelee kutengwa duniani. Katika kutekeleza kaulimbiu yake ya "Marekani Kwanza", Trump, mbali na kuyapa kipaumbele cha kwanza maslahi na malengo ya Marekani, tab'an bila kujali nafasi za nchi zingine, anaitakidi kuwa siasa na sera za ubinafsi na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja zitaongeza nguvu za Marekani na kuiwezesha kuwashinda washindani wake.
-
Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu
Oct 12, 2018 23:19Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatumia sera ya kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran kwa shabaha ya kutaka kuuza silaha za mabilioni ya dola kwa nchi za Kiarabu.
-
Trump: Mauaji ya Khashoggi hayatatufanya tufute mauzo ya silaha kwa Saudia
Oct 12, 2018 04:09Rais Donald Trump wa Marekani amesema Washington haiwezi kujiweka katika hatari ya kupoteza mabilioni ya dola kutokana na 'madai ya kuuawa' Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mpinzani mkubwa wa utawala wa Aal-Saud, katika ubalozi mdogo wa Saudia mjini Istanbul, Uturuki siku chache zilizopita.
-
Trump awashambulia marafiki na maadui zake
Oct 11, 2018 23:11Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.
-
Mkaguzi wa serikali ya Marekani ataka kuchunguzwa sababu za kujiuzulu Halley
Oct 10, 2018 02:35Mkaguzi wa serikali ya Marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu sababu za kujiuzulu mwakilishi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa.
-
New York Times: Mauaji ya Khashoggi ni nembo na kielelezo cha ushirikiano wa Trump na madikteta
Oct 09, 2018 21:55Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limesema, mauaji ya mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Saudi Arabia ni kielelezo cha ushirikiano na jinsi rais wa Marekani alivyo kitu kimoja na madikteta.
-
Nikki Haley, balozi wa Marekani UN ajiuzulu, Trump aridhia
Oct 09, 2018 13:01Rais Donald Trump wa Marekani amekubali uamuzi wa kujiuzulu balozi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley.