Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 03:58

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Uungaji mkono wa Trump juu ya kuendelea miamala ya kuuzia silaha utawala wa Saudia

    Uungaji mkono wa Trump juu ya kuendelea miamala ya kuuzia silaha utawala wa Saudia

    Oct 15, 2018 00:15

    Suala la kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kuendelea kuwa kitendawili hatma ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mashuhuri wa utawala wa Saudia ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo huko mjini Istanbul, Uturuki, limeendelea kuibua radiamali nyingi duniani.

  • Trump: Marekani kutoiuzia Saudia silaha ni sawa na kujiadhibu

    Trump: Marekani kutoiuzia Saudia silaha ni sawa na kujiadhibu

    Oct 14, 2018 03:37

    Rais Donald Trump amesema Marekani itakuwa inajiadhibu yenye iwapo itaamua kusimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, huku Washington ikiendelea kukabiliwa na mashinikizo ya kuangalia upya uhusiano wake na Riyadh kufuatia mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud.

  • Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Russia la kupinga utumiaji mabavu na uchukuaji hatua za upande mmoja katika uga wa kimataifa

    Oct 13, 2018 04:11

    Sera za kujichukulia maamuzi ya upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimeifanya nchi hiyo iendelee kutengwa duniani. Katika kutekeleza kaulimbiu yake ya "Marekani Kwanza", Trump, mbali na kuyapa kipaumbele cha kwanza maslahi na malengo ya Marekani, tab'an bila kujali nafasi za nchi zingine, anaitakidi kuwa siasa na sera za ubinafsi na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja zitaongeza nguvu za Marekani na kuiwezesha kuwashinda washindani wake.

  • Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu

    Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu

    Oct 12, 2018 23:19

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatumia sera ya kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran kwa shabaha ya kutaka kuuza silaha za mabilioni ya dola kwa nchi za Kiarabu.

  • Trump: Mauaji ya Khashoggi hayatatufanya tufute mauzo ya silaha kwa Saudia

    Trump: Mauaji ya Khashoggi hayatatufanya tufute mauzo ya silaha kwa Saudia

    Oct 12, 2018 04:09

    Rais Donald Trump wa Marekani amesema Washington haiwezi kujiweka katika hatari ya kupoteza mabilioni ya dola kutokana na 'madai ya kuuawa' Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mpinzani mkubwa wa utawala wa Aal-Saud, katika ubalozi mdogo wa Saudia mjini Istanbul, Uturuki siku chache zilizopita.

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 11, 2018 23:11

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Mkaguzi wa serikali ya Marekani ataka kuchunguzwa sababu za kujiuzulu Halley

    Mkaguzi wa serikali ya Marekani ataka kuchunguzwa sababu za kujiuzulu Halley

    Oct 10, 2018 02:35

    Mkaguzi wa serikali ya Marekani ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu sababu za kujiuzulu mwakilishi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa.

  • New York Times: Mauaji ya Khashoggi ni nembo na kielelezo cha ushirikiano wa Trump na madikteta

    New York Times: Mauaji ya Khashoggi ni nembo na kielelezo cha ushirikiano wa Trump na madikteta

    Oct 09, 2018 21:55

    Gazeti la New York Times linalochapishwa nchini Marekani limesema, mauaji ya mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Saudi Arabia ni kielelezo cha ushirikiano na jinsi rais wa Marekani alivyo kitu kimoja na madikteta.

  • Nikki Haley, balozi wa Marekani UN ajiuzulu, Trump aridhia

    Nikki Haley, balozi wa Marekani UN ajiuzulu, Trump aridhia

    Oct 09, 2018 13:01

    Rais Donald Trump wa Marekani amekubali uamuzi wa kujiuzulu balozi wa nchi hiyo katika Umoja wa Mataifa, Nikki Haley.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS