-
Uasi ndani ya jela Msumbiji, wafungwa 33 wauawa, zaidi ya 1,500 watoroka
Dec 26, 2024 10:30Wafungwa wasiopungua 1,534 wametoroka katika jela moja iliyoko karibu na mji mkuu wa Msumbiji, Maputo katika tukio linalodaiwa kupangwa na kuhusishwa na maandamano ya machafuko yaliyozuka baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba.
-
Rais Sisi wa Misri aidhinisha sheria ya kuwazuia wanajeshi kuwania urais
Jul 30, 2020 10:33Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria ya kupiga marufuku wanajeshi walio kazini na waliostaafu kuwania urais au ubunge bila idhini ya jeshi.
-
Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu
Apr 28, 2020 11:11Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri leo ametangaza kuwa hali ya hatari kitaifa nchini humo itaendelea kwa muda wa miezi mingine mitatu.
-
Rais Sisi aidhinisha sheria inayodhibiti matumizi ya mitandao
Sep 03, 2018 02:45Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameidhinisha sheria mpya ya kudhibiti mitandao ya kijamii katika kile kinachotajwa kuwa ni muendelezo wa sera za kukandamiza upinzani.
-
Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie
Mar 16, 2018 04:23Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.
-
Marais Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran
Mar 05, 2018 07:56Ikulu ya Marekani imetangaza kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo asubuhi ya leo amefanya mazungumzo ya simu na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri kuihusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Kampeni za uchaguzi wa rais Misri zaanza
Feb 25, 2018 07:28Kamepeni za uchaguzi wa Rais Misri zilianza Jumamosi huku Rais Abdel Fattah el-Sisi akitazamiwa kupata ushindi kwa urahisi baada ya wapinzani wake asili kukamatwa, kufungwa jela au kutishwa na hivyo kujiondoa katika mchuano huo.
-
Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani
Nov 08, 2017 02:55Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, hatojiandikisha kwa jili ya kugombea tena ushaguzi wa rais ujao kwa muhula wa tatu.
-
Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu
Sep 06, 2017 12:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza kuwa mateso yanayofanyika katika jela za Misri ni jinia dhidi ya binadamu.
-
El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi
Mar 01, 2017 07:18Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametetea stratijia na mikakati ya serikali yake katika kupambana na magenge ya kigaidi kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.