Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

el sisi

  • Uasi ndani ya jela Msumbiji, wafungwa 33 wauawa, zaidi ya 1,500 watoroka

    Uasi ndani ya jela Msumbiji, wafungwa 33 wauawa, zaidi ya 1,500 watoroka

    Dec 26, 2024 10:30

    Wafungwa wasiopungua 1,534 wametoroka katika jela moja iliyoko karibu na mji mkuu wa Msumbiji, Maputo katika tukio linalodaiwa kupangwa na kuhusishwa na maandamano ya machafuko yaliyozuka baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi Oktoba.

  • Rais Sisi wa Misri aidhinisha sheria ya kuwazuia wanajeshi kuwania urais

    Rais Sisi wa Misri aidhinisha sheria ya kuwazuia wanajeshi kuwania urais

    Jul 30, 2020 10:33

    Rais Abdul Fattah al-Sisi wa Misri ameidhinisha sheria ya kupiga marufuku wanajeshi walio kazini na waliostaafu kuwania urais au ubunge bila idhini ya jeshi.

  • Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Misiri yaongeza muda wa hali ya hatari kwa miezi mitatu

    Apr 28, 2020 11:11

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri leo ametangaza kuwa hali ya hatari kitaifa nchini humo itaendelea kwa muda wa miezi mingine mitatu.

  • Rais Sisi aidhinisha sheria inayodhibiti matumizi ya mitandao

    Rais Sisi aidhinisha sheria inayodhibiti matumizi ya mitandao

    Sep 03, 2018 02:45

    Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameidhinisha sheria mpya ya kudhibiti mitandao ya kijamii katika kile kinachotajwa kuwa ni muendelezo wa sera za kukandamiza upinzani.

  • Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie

    Mar 16, 2018 04:23

    Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.

  • Marais  Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Marais Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran

    Mar 05, 2018 07:56

    Ikulu ya Marekani imetangaza kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo asubuhi ya leo amefanya mazungumzo ya simu na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri kuihusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kampeni za uchaguzi wa rais Misri zaanza

    Kampeni za uchaguzi wa rais Misri zaanza

    Feb 25, 2018 07:28

    Kamepeni za uchaguzi wa Rais Misri zilianza Jumamosi huku Rais Abdel Fattah el-Sisi akitazamiwa kupata ushindi kwa urahisi baada ya wapinzani wake asili kukamatwa, kufungwa jela au kutishwa na hivyo kujiondoa katika mchuano huo.

  • Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani

    Rais Al-Sisi wa Misri: Ninaheshimu katiba, sitagombea uchaguzi wa mwakani

    Nov 08, 2017 02:55

    Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri amesema kuwa, hatojiandikisha kwa jili ya kugombea tena ushaguzi wa rais ujao kwa muhula wa tatu.

  • Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu

    Human Rights Watch yaikosoa serikali ya Misri kwa kufanya jinai dhidi ya binadamu

    Sep 06, 2017 12:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza kuwa mateso yanayofanyika katika jela za Misri ni jinia dhidi ya binadamu.

  • El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    El Sisi atetea siasa zake za kupambana na magenge ya kigaidi

    Mar 01, 2017 07:18

    Rais Abdul Fattah el Sisi wa Misri ametetea stratijia na mikakati ya serikali yake katika kupambana na magenge ya kigaidi kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS