-
UN yatahadharishwa: Yanayojiri Ethiopia yanaweza kuwa sawa na mauaji ya kimbari ya 1994 Rwanda
May 20, 2022 03:45Jumuiya 15 za asasi za kiraia barani Afrika zimetahadharisha kuwa yanayojiri katika vita vinavyoendelea hivi sasa nchini Ethiopia yanaweza yakaishia kuwa sawa na mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994 nchini Rwanda ikiwa Umoja wa Mataifa hautachukua hatua haraka za kuuweka mgogoro huo katika ajenda zake.
-
Bei ya petroli yaongezeka pakubwa nchini Ethiopia
May 09, 2022 03:18Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Kikanda ya Ethiopia imetangaza ongezeko la asilimia 16 la bei ya petroli katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Serikali ya Ethiopia yakanusha kuondoka wapiganaji wa Tigray huko Afar
Apr 29, 2022 10:36Serikali ya Ethiopia imekanusha madai kwamba ilitangaza kuwa wapiganaji wa Tigray wameondoka katika mji wa Afar.
-
Walinda amani zaidi ya 500 wa kimataifa wa Ethiopia waomba hifadhi nchini Sudan
Apr 24, 2022 23:32Shirika la habari la Ufaransa limeripoti kuwa, zaidi ya walinda amani 500 wa Umoja wa Mataifa kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia wameomba hifadhi nchini Sudan.
-
Misaada ya kibinadamu yatumwa kwa waathirika wa vita na njaa Ethiopia
Apr 16, 2022 21:52Misaada ya kibinadamu kutoka Benki ya Dunia na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu imeanza kuwafikia raia wa Ethiopia zaidi ya milioni sita waliathiriwa na vita na wanaokabiliwa na hatari ya njaa.
-
Mashirika ya haki za binadamu yakosoa mauaji ya kikabila Ethiopia
Apr 06, 2022 06:09Makundi mawili ya kutetea haki za binadamu yamewatuhumu wanamgambo wanaobeba silaha wa kaskazini mwa Ethiopia kwa kutenda jinai za kivita.
-
Msafara wa misaada ya chakula wawasili Tigray Ethiopia, kwa mara ya kwanza tangu Disemba
Apr 02, 2022 03:32Msafara wa malori yaliyobeba misaada ya chakula jana Ijumaa uliwasili katika eneo la Tigray Kaskazini mwa Ethiopia linalodhibitiwa na waasi. Msafara huo ni wa kwanza kuwasili Tigray tangu Disemba 14 mwaka jana. Hayo yameelezwa na Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP).
-
Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa
Mar 31, 2022 06:28Mamia ya raia wa Ethiopia jana Jumatano waliwasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, hilo likiwa kundi la kwanza la raia wapatao 100,000 kurejeshwa nyumbani wakitokea Saudi Arabia.
-
Ethiopia yatangaza kusitisha vita kwa sababu za kibinadamu huko Tigray
Mar 25, 2022 03:28Serikali ya Ethiopia imetangaza kuhitimisha haraka vita vya ndani vya miezi 16 ili kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika eneo la Tigray lililoathiriwa na mapigaohuko kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi
Mar 12, 2022 22:54Serikali ya Ethiopia ilisema jana Jumamosi kwamba itawachukulia hatua wahusika baada ya mkanda wa video kuonekana kwenye mitandao ya kijamii ukiwaonyesha watu wenye silaha, baadhi wakiwa wamevalia sare za kijeshi, wakiwachoma moto raia hadi kufa katika eneo la Magharibi mwa nchi hiyo.