Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • UN yatahadharishwa: Yanayojiri Ethiopia yanaweza kuwa sawa na mauaji ya kimbari ya 1994 Rwanda

    UN yatahadharishwa: Yanayojiri Ethiopia yanaweza kuwa sawa na mauaji ya kimbari ya 1994 Rwanda

    May 20, 2022 03:45

    Jumuiya 15 za asasi za kiraia barani Afrika zimetahadharisha kuwa yanayojiri katika vita vinavyoendelea hivi sasa nchini Ethiopia yanaweza yakaishia kuwa sawa na mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994 nchini Rwanda ikiwa Umoja wa Mataifa hautachukua hatua haraka za kuuweka mgogoro huo katika ajenda zake.

  • Bei ya petroli yaongezeka pakubwa nchini Ethiopia

    Bei ya petroli yaongezeka pakubwa nchini Ethiopia

    May 09, 2022 03:18

    Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Kikanda ya Ethiopia imetangaza ongezeko la asilimia 16 la bei ya petroli katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Serikali ya Ethiopia yakanusha kuondoka wapiganaji wa Tigray huko Afar

    Serikali ya Ethiopia yakanusha kuondoka wapiganaji wa Tigray huko Afar

    Apr 29, 2022 10:36

    Serikali ya Ethiopia imekanusha madai kwamba ilitangaza kuwa wapiganaji wa Tigray wameondoka katika mji wa Afar.

  • Walinda amani zaidi ya 500 wa kimataifa wa Ethiopia waomba hifadhi nchini Sudan

    Walinda amani zaidi ya 500 wa kimataifa wa Ethiopia waomba hifadhi nchini Sudan

    Apr 24, 2022 23:32

    Shirika la habari la Ufaransa limeripoti kuwa, zaidi ya walinda amani 500 wa Umoja wa Mataifa kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia wameomba hifadhi nchini Sudan.

  • Misaada ya kibinadamu yatumwa kwa waathirika wa vita na njaa Ethiopia

    Misaada ya kibinadamu yatumwa kwa waathirika wa vita na njaa Ethiopia

    Apr 16, 2022 21:52

    Misaada ya kibinadamu kutoka Benki ya Dunia na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu imeanza kuwafikia raia wa Ethiopia zaidi ya milioni sita waliathiriwa na vita na wanaokabiliwa na hatari ya njaa.

  • Mashirika ya haki za binadamu yakosoa mauaji ya kikabila Ethiopia

    Mashirika ya haki za binadamu yakosoa mauaji ya kikabila Ethiopia

    Apr 06, 2022 06:09

    Makundi mawili ya kutetea haki za binadamu yamewatuhumu wanamgambo wanaobeba silaha wa kaskazini mwa Ethiopia kwa kutenda jinai za kivita.

  • Msafara wa misaada ya chakula wawasili Tigray  Ethiopia, kwa mara ya kwanza tangu Disemba

    Msafara wa misaada ya chakula wawasili Tigray Ethiopia, kwa mara ya kwanza tangu Disemba

    Apr 02, 2022 03:32

    Msafara wa malori yaliyobeba misaada ya chakula jana Ijumaa uliwasili katika eneo la Tigray Kaskazini mwa Ethiopia linalodhibitiwa na waasi. Msafara huo ni wa kwanza kuwasili Tigray tangu Disemba 14 mwaka jana. Hayo yameelezwa na Mpango wa Chakula wa Umoja wa Mataifa (WFP).

  • Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mar 31, 2022 06:28

    Mamia ya raia wa Ethiopia jana Jumatano waliwasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, hilo likiwa kundi la kwanza la raia wapatao 100,000 kurejeshwa nyumbani wakitokea Saudi Arabia.

  • Ethiopia yatangaza kusitisha vita kwa sababu za kibinadamu huko Tigray

    Ethiopia yatangaza kusitisha vita kwa sababu za kibinadamu huko Tigray

    Mar 25, 2022 03:28

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuhitimisha haraka vita vya ndani vya miezi 16 ili kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika eneo la Tigray lililoathiriwa na mapigaohuko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Mar 12, 2022 22:54

    Serikali ya Ethiopia ilisema jana Jumamosi kwamba itawachukulia hatua wahusika baada ya mkanda wa video kuonekana kwenye mitandao ya kijamii ukiwaonyesha watu wenye silaha, baadhi wakiwa wamevalia sare za kijeshi, wakiwachoma moto raia hadi kufa katika eneo la Magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS