Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mamia ya Waethiopia warudishwa kwao kutoka Saudia baada ya mateso makubwa

    Mar 31, 2022 06:28

    Mamia ya raia wa Ethiopia jana Jumatano waliwasili Addis Ababa mji mkuu wa nchi hiyo, hilo likiwa kundi la kwanza la raia wapatao 100,000 kurejeshwa nyumbani wakitokea Saudi Arabia.

  • Ethiopia yatangaza kusitisha vita kwa sababu za kibinadamu huko Tigray

    Ethiopia yatangaza kusitisha vita kwa sababu za kibinadamu huko Tigray

    Mar 25, 2022 03:28

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuhitimisha haraka vita vya ndani vya miezi 16 ili kuruhusu misaada ya kibinadamu kuingia katika eneo la Tigray lililoathiriwa na mapigaohuko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Ethiopia kuwachukulia hatua wahalifu waliowachoma raia wakiwa hai, baadhi walikuwa na sare za jeshi

    Mar 12, 2022 22:54

    Serikali ya Ethiopia ilisema jana Jumamosi kwamba itawachukulia hatua wahusika baada ya mkanda wa video kuonekana kwenye mitandao ya kijamii ukiwaonyesha watu wenye silaha, baadhi wakiwa wamevalia sare za kijeshi, wakiwachoma moto raia hadi kufa katika eneo la Magharibi mwa nchi hiyo.

  • Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Mar 10, 2022 00:41

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, ukame na uhaba wa chakula umewafanya watu zaidi ya 845,000 kuwa wakimbizi huko Ethiopia na Somalia.

  • Naibu Katibu Mkuu wa UN:

    Naibu Katibu Mkuu wa UN: "Jinai zisizoweza kufikirika" zimefanyika Ethiopia hasa dhidi ya wanawake

    Feb 13, 2022 00:44

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani kile alichokielezea kuwa ni jinai zisizoweza kufikirika zilizofanywa nchini Ethiopia, hasa dhidi ya wanawake na kutaka haki itendeke kwa waliofanyiwa jinai hizo.

  • Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Feb 08, 2022 05:28

    Mkutano wa 35 wa wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe 5 na 6 za mwezi huu wa Februari huko Addis Ababa Ethiopia umesitisha hadhi ya utawala ghasibu wa Israel ya kuwa mwanachama mtazamaji katika umoja huo.

  • FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    Feb 04, 2022 04:23

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.

  • Waasi nchini Ethiopia watishia kuanzisha tena mapigano katika eneo la Afar

    Waasi nchini Ethiopia watishia kuanzisha tena mapigano katika eneo la Afar

    Jan 26, 2022 23:07

    Waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray wa (TPLF) katika eneo hilo la kaskazini mwa Ethiopia, wamesema wamechokozwa na hivyo wataanzisha operesheni katika jimbo jirani la Afar, hali inayorudisha nyuma matumaini ya kumaliza mzozo huo unaoendelea kwa mwezi wa 14 sasa.

  • Msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Tigray wazuiwa

    Msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Tigray wazuiwa

    Jan 26, 2022 00:43

    Duru zinazohusika na masuala ya kibinadamu nchini Ethiopia zimeripoti kuwa msafara wa misaada ya kibiandamu iliyokuwa ikipelekwa Tigray kaskazini mwa Ethiopia imezuiliwa.

  • Afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijeshi wa Sudan atembelea Ethiopia

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijeshi wa Sudan atembelea Ethiopia

    Jan 22, 2022 10:32

    Afisa mmoja wa ngazi a juu wa Sudan ametembelea nchi jirani ya Ethiopia wakati huu ambapo nchi hizo mbili zina mzozo mkubwa wa mpaka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS