Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Zaidi ya watu 800,000 wamekuwa wakimbizi kutokana na ukame huko Ethiopia na Somalia

    Mar 10, 2022 00:41

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, ukame na uhaba wa chakula umewafanya watu zaidi ya 845,000 kuwa wakimbizi huko Ethiopia na Somalia.

  • Naibu Katibu Mkuu wa UN:

    Naibu Katibu Mkuu wa UN: "Jinai zisizoweza kufikirika" zimefanyika Ethiopia hasa dhidi ya wanawake

    Feb 13, 2022 00:44

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani kile alichokielezea kuwa ni jinai zisizoweza kufikirika zilizofanywa nchini Ethiopia, hasa dhidi ya wanawake na kutaka haki itendeke kwa waliofanyiwa jinai hizo.

  • Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Kufutiwa utawala ghasibu wa Israel hadhi ya mwanachama mtazamaji katika Umoja wa Afrika

    Feb 08, 2022 05:28

    Mkutano wa 35 wa wakuu wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika tarehe 5 na 6 za mwezi huu wa Februari huko Addis Ababa Ethiopia umesitisha hadhi ya utawala ghasibu wa Israel ya kuwa mwanachama mtazamaji katika umoja huo.

  • FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    FAO yatoa wito wa kuwasaidia waathirika wa ukame katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia

    Feb 04, 2022 04:23

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO katika Ukanda wa Afrika Mashariki limetoa wito kwa wananchi, taasisi binafsi na mashirika ya dini kuchangia wananchi walioathirika na ukame pamoja na mazao yao kuharibiwa na nzige katika nchi za Kenya, Ethiopia na Somalia.

  • Waasi nchini Ethiopia watishia kuanzisha tena mapigano katika eneo la Afar

    Waasi nchini Ethiopia watishia kuanzisha tena mapigano katika eneo la Afar

    Jan 26, 2022 23:07

    Waasi wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray wa (TPLF) katika eneo hilo la kaskazini mwa Ethiopia, wamesema wamechokozwa na hivyo wataanzisha operesheni katika jimbo jirani la Afar, hali inayorudisha nyuma matumaini ya kumaliza mzozo huo unaoendelea kwa mwezi wa 14 sasa.

  • Msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Tigray wazuiwa

    Msafara wa misaada ya kibinadamu kuelekea Tigray wazuiwa

    Jan 26, 2022 00:43

    Duru zinazohusika na masuala ya kibinadamu nchini Ethiopia zimeripoti kuwa msafara wa misaada ya kibiandamu iliyokuwa ikipelekwa Tigray kaskazini mwa Ethiopia imezuiliwa.

  • Afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijeshi wa Sudan atembelea Ethiopia

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijeshi wa Sudan atembelea Ethiopia

    Jan 22, 2022 10:32

    Afisa mmoja wa ngazi a juu wa Sudan ametembelea nchi jirani ya Ethiopia wakati huu ambapo nchi hizo mbili zina mzozo mkubwa wa mpaka.

  • UN: Hujuma za anga Tigray zimeua raia 108 wa Ethiopia

    UN: Hujuma za anga Tigray zimeua raia 108 wa Ethiopia

    Jan 14, 2022 21:19

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kwa akali raia 108 wameuawa tangu mwanzoni mwa mwezi huu wa Januari hadi sasa, katika mashambulizi ya anga katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia.

  • Vita vya Ethiopia na jitihada za kutatua mgogoro wa nchi hiyo

    Vita vya Ethiopia na jitihada za kutatua mgogoro wa nchi hiyo

    Jan 13, 2022 00:51

    Wakati maafisa wa serikali ya Ethiopia wakiahidi kuanzisha mazungumzo ya kitaifa nchini humo, Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) imetangaza kuwa mashambulizi ya jeshi la Ethiopia katika eneo hilo yamesababisha vifo vya zaidi ya raia 56.

  • UNICEF: Pande zinazozozana Tigray Ethiopia zimefanya ukandamizaji dhidi ya watoto

    UNICEF: Pande zinazozozana Tigray Ethiopia zimefanya ukandamizaji dhidi ya watoto

    Jan 10, 2022 10:16

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umezituhumu pande zinazopigana katika jimbo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kwamba, zimefanya ukandamizaji mkubwa dhidi ya watoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS