Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia mgogoro wa kaskazini mwa Ethiopia

    Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia mgogoro wa kaskazini mwa Ethiopia

    Mar 10, 2021 08:45

    Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia migogoro kaskazini na kaskazini mashariki mwa Ethiopia katika mikoa ya Tigray, Afar na Amhara

  • Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Mar 09, 2021 01:12

    Sudan imeituhumu serikali ya Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la uasi ili kuudhibiti mji wa al Karmak huko kusini mashariki mwa Sudan.

  • HRW: Wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya watoto Ethiopia

    HRW: Wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya watoto Ethiopia

    Mar 06, 2021 23:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya raia wakiwemo watoto wadogo katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Baraza la Usalama laendelea kufumbia macho mapigano Tigray, Ethiopia

    Baraza la Usalama laendelea kufumbia macho mapigano Tigray, Ethiopia

    Mar 06, 2021 04:45

    Jitihada za kulitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litoe taarifa ya kutaka kusitishwa machafuko na mauaji yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia zimegonga mwamba.

  • UN: Majeshi ya Eritrea, Ethiopia yumkini yamefanya jinai za kivita Tigray

    UN: Majeshi ya Eritrea, Ethiopia yumkini yamefanya jinai za kivita Tigray

    Mar 04, 2021 23:02

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema ofisi yake ina ithibati ya kufanyika jinai za kutisha ambazo zinaweza kuwa jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na wanajeshi wa Ethiopia na Eritrea katika eneo la Tigray.

  • Ethiopia yataka kutatuliwa hitilafu za mpaka na Sudan kwa njia za amani

    Ethiopia yataka kutatuliwa hitilafu za mpaka na Sudan kwa njia za amani

    Mar 04, 2021 00:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia amesema kuwa, Addis Ababa inataka kutatua hitilafu zake za mpaka na Sudan kwa njia za amani na haitaingia vitani kutokana na kadhia hiyo.

  • Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo  la Tigray, Ethiopia

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo la Tigray, Ethiopia

    Mar 02, 2021 07:20

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari katika eneo lililoathiriwa na machafuko la Tigray nchini Ethiopia wametiwa mbaroni na kushikiliwa korokoroni. Hayo yameelezwa na familia na wafanyakazi wenzao.

  • Amnesty: Jeshi la Eritrea liliua mamia ya raia Ethiopia Novemba 2020

    Amnesty: Jeshi la Eritrea liliua mamia ya raia Ethiopia Novemba 2020

    Feb 26, 2021 04:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amesty International limesema mauaji ya kiholela ya mamia ya raia yaliyofanywa na jeshi la Eritrea katika mji wa kale wa Ethiopia wa Axum Novemba mwaka jana ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu na ukanyagaji wa sheria za kimataifa za kumlinda mwanadamu.

  • Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Feb 23, 2021 23:12

    Waziri wa Umwagiliaji na Vyanzo vya Maji wa Sudan amesema kuwa, nchi yake inakusudia kuandaa uungaji mkono na upatanishi wa pande nne kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Bwawa la al-Nahdha.

  • Umoja wa Afrika waanza upatanishi katika mzozo wa Sudan na Ethiopia

    Umoja wa Afrika waanza upatanishi katika mzozo wa Sudan na Ethiopia

    Feb 18, 2021 07:30

    Duru za kuaminika nchini Sudan zimeripoti kuwa, mjumbe wa Umoja wa Afrika alitazamiwa kuwasili Khartoum akiongoza ujumbe wa upatanishi wa umoja huo katika mzozo wa mpakani baina ya Sudan na Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS