Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia sasa akiri kuwepo askari wa Eritrea Tigray

    Waziri Mkuu wa Ethiopia sasa akiri kuwepo askari wa Eritrea Tigray

    Mar 23, 2021 22:37

    Kwa mara ya kwanza, Waziri Mkuu wa Ethiopia amekiri juu ya uwepo wa askari wa nchi jirani ya Eritrea katika eneo linaloshuhudia mapigano la Tigray la kaskazini mwa nchi; sanjari na kukiri pia kwamba kumefanyika jinai za kutisha na zilizo dhidi ya binadamu katika eneo hilo.

  • Sudan yaitahadharisha Ethiopia; yasema iko tayari kwa lolote

    Sudan yaitahadharisha Ethiopia; yasema iko tayari kwa lolote

    Mar 21, 2021 22:35

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la utawala wa mpito Sudan amesema kuwa nchi yake imejiandaa kwa lolote na kuitaka Ethiopia kujiweka mbali na ardhi ya Sudan.

  • Addis Ababa: Asilimia 86 ya maji ya Mto Nile ni mali ya Ethiopia

    Addis Ababa: Asilimia 86 ya maji ya Mto Nile ni mali ya Ethiopia

    Mar 18, 2021 09:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia amedai kuwa, sehemu kubwa ya akiba ya maji ya Mto Nile ni mali ya nchi yake.

  • Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia mgogoro wa kaskazini mwa Ethiopia

    Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia mgogoro wa kaskazini mwa Ethiopia

    Mar 10, 2021 08:45

    Zaidi ya watu 131,000 wametawanyika kufuatia migogoro kaskazini na kaskazini mashariki mwa Ethiopia katika mikoa ya Tigray, Afar na Amhara

  • Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Sudan yaituhumu Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la waasi

    Mar 09, 2021 01:12

    Sudan imeituhumu serikali ya Ethiopia kuwa inalipatia silaha kundi moja la uasi ili kuudhibiti mji wa al Karmak huko kusini mashariki mwa Sudan.

  • HRW: Wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya watoto Ethiopia

    HRW: Wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya watoto Ethiopia

    Mar 06, 2021 23:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema wanajeshi wa Eritrea wameua mamia ya raia wakiwemo watoto wadogo katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia.

  • Baraza la Usalama laendelea kufumbia macho mapigano Tigray, Ethiopia

    Baraza la Usalama laendelea kufumbia macho mapigano Tigray, Ethiopia

    Mar 06, 2021 04:45

    Jitihada za kulitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litoe taarifa ya kutaka kusitishwa machafuko na mauaji yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Tigray, kaskazini mwa Ethiopia zimegonga mwamba.

  • UN: Majeshi ya Eritrea, Ethiopia yumkini yamefanya jinai za kivita Tigray

    UN: Majeshi ya Eritrea, Ethiopia yumkini yamefanya jinai za kivita Tigray

    Mar 04, 2021 23:02

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema ofisi yake ina ithibati ya kufanyika jinai za kutisha ambazo zinaweza kuwa jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na wanajeshi wa Ethiopia na Eritrea katika eneo la Tigray.

  • Ethiopia yataka kutatuliwa hitilafu za mpaka na Sudan kwa njia za amani

    Ethiopia yataka kutatuliwa hitilafu za mpaka na Sudan kwa njia za amani

    Mar 04, 2021 00:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia amesema kuwa, Addis Ababa inataka kutatua hitilafu zake za mpaka na Sudan kwa njia za amani na haitaingia vitani kutokana na kadhia hiyo.

  • Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo  la Tigray, Ethiopia

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari watiwa mbaroni katika eneo la Tigray, Ethiopia

    Mar 02, 2021 07:20

    Wafanyakazi wanne wa sekta ya habari katika eneo lililoathiriwa na machafuko la Tigray nchini Ethiopia wametiwa mbaroni na kushikiliwa korokoroni. Hayo yameelezwa na familia na wafanyakazi wenzao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS