-
Ethiopia yakubali kwa masharti upatanishi baina yake na Sudan
Feb 14, 2021 21:54Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa imekubali upatanishi wa nchi nyingine katika mgogoro baina yake na nchi jirani ya Sudan lakini kwa masharti.
-
UN yataka mashirika ya misaada yapewe uhuru wa kuingia Tigray, Ethiopia
Feb 14, 2021 00:15Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Ethiopia iruhusu mashirika ya misaada kuingia na kufanya kazi zake kwa uhuru katika eneo la Tigray ili kuokoa roho za wakazi wa eneo hilo.
-
UNICEF: Watoto wanateseka katike eneo lenye mgogoro la Tigray, Ethiopia
Feb 13, 2021 01:20Kadri misaada ya dharura na wafanyakazi wa kusambaza misaada hiyo wanafikia eneo la mzozo la Tigray huko Ethiopia, taswira halisi ya masikitiko inazidi kuibuka jinsi watoto kwenye eneo hilo wanavyoendelea kuteseka.
-
RC: Makumi ya maelfu katika hatari ya kufa njaa Tigray, Ethiopia
Feb 11, 2021 09:06Shirika la Msalaba Mwekundu limesema sehemu kubwa ya eneo la Tigray lililoko kaskazini mwa Ethiopia haifikiwi kabisa na misaada ya kibinadamu, na kwamba makumi ya maelfu ya wakazi wa eneo hilo wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.
-
Ethiopia yatoa idhini kwa wafanyakazi wa kibinadamu wa UN kufika Tigray
Feb 09, 2021 07:37Serikali ya Ethiopia imeyaruhusu mashirika ya Umoja wa Mataifa kuwatuma wafanyakazi zaidi wa misaada, katika mkoa uliokumbwa na machafuko wa Tigray.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Tigray Ethiopia imezidi kuwa mbaya
Feb 08, 2021 22:59Umoja wa Mataifa umetangaza tena kuwa, hali ya kibinadamu katika jimbo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia imezidi kuwa mbaya na kwamba, kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kushughulikia hali hiyo.
-
UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa
Feb 05, 2021 09:54Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, hali ya kibinadamu katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia ni ya kutisha mno.
-
Sharti la Ethiopia kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Sudan
Jan 28, 2021 22:38Ethiopia imetangaza kuwa Sudan inapasa kuondoa wanajeshi wake katika maeneo yenye hitilafu baina ya Addis Ababa na Khartoum ili kufanya mazungumzo nayo.
-
Ethiopia yapokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi kati yake na Sudan
Jan 22, 2021 00:26Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Ethiopia imetangaza kuwa Addis Ababa inakaribisha na imepokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi na wasiwasi kati yake na jirani yake Sudan.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia aionya Sudan, asema Addis Ababa si dhaifu
Jan 19, 2021 05:53Waziri Mkuu wa Ethiopia ameionya Sudan na kusisitiza kwamba msimamo wa Addis Ababa mbele ya Khartoum si ishara ya udhaifu.