Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Amnesty: Jeshi la Eritrea liliua mamia ya raia Ethiopia Novemba 2020

    Amnesty: Jeshi la Eritrea liliua mamia ya raia Ethiopia Novemba 2020

    Feb 26, 2021 04:33

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amesty International limesema mauaji ya kiholela ya mamia ya raia yaliyofanywa na jeshi la Eritrea katika mji wa kale wa Ethiopia wa Axum Novemba mwaka jana ni ukiukaji wa wazi wa haki za binadamu na ukanyagaji wa sheria za kimataifa za kumlinda mwanadamu.

  • Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Sudan yataka upatanishi wa kimataifa kuhusu mgogogoro wa Bwawa la al-Nahdha

    Feb 23, 2021 23:12

    Waziri wa Umwagiliaji na Vyanzo vya Maji wa Sudan amesema kuwa, nchi yake inakusudia kuandaa uungaji mkono na upatanishi wa pande nne kwa ajili ya kupatiwa ufumbuzi mzozo wa Bwawa la al-Nahdha.

  • Umoja wa Afrika waanza upatanishi katika mzozo wa Sudan na Ethiopia

    Umoja wa Afrika waanza upatanishi katika mzozo wa Sudan na Ethiopia

    Feb 18, 2021 07:30

    Duru za kuaminika nchini Sudan zimeripoti kuwa, mjumbe wa Umoja wa Afrika alitazamiwa kuwasili Khartoum akiongoza ujumbe wa upatanishi wa umoja huo katika mzozo wa mpakani baina ya Sudan na Ethiopia.

  • Ethiopia yakubali kwa masharti upatanishi baina yake na Sudan

    Ethiopia yakubali kwa masharti upatanishi baina yake na Sudan

    Feb 14, 2021 21:54

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa imekubali upatanishi wa nchi nyingine katika mgogoro baina yake na nchi jirani ya Sudan lakini kwa masharti.

  • UN yataka mashirika ya misaada yapewe uhuru wa kuingia Tigray, Ethiopia

    UN yataka mashirika ya misaada yapewe uhuru wa kuingia Tigray, Ethiopia

    Feb 14, 2021 00:15

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Ethiopia iruhusu mashirika ya misaada kuingia na kufanya kazi zake kwa uhuru katika eneo la Tigray ili kuokoa roho za wakazi wa eneo hilo.

  • UNICEF: Watoto wanateseka katike eneo lenye mgogoro la Tigray, Ethiopia

    UNICEF: Watoto wanateseka katike eneo lenye mgogoro la Tigray, Ethiopia

    Feb 13, 2021 01:20

    Kadri misaada ya dharura na wafanyakazi wa kusambaza misaada hiyo wanafikia eneo la mzozo la Tigray huko Ethiopia, taswira halisi ya masikitiko inazidi kuibuka jinsi watoto kwenye eneo hilo wanavyoendelea kuteseka.

  • RC: Makumi ya maelfu katika hatari ya kufa njaa Tigray, Ethiopia

    RC: Makumi ya maelfu katika hatari ya kufa njaa Tigray, Ethiopia

    Feb 11, 2021 09:06

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema sehemu kubwa ya eneo la Tigray lililoko kaskazini mwa Ethiopia haifikiwi kabisa na misaada ya kibinadamu, na kwamba makumi ya maelfu ya wakazi wa eneo hilo wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa.

  • Ethiopia yatoa idhini kwa wafanyakazi wa kibinadamu wa UN kufika Tigray

    Ethiopia yatoa idhini kwa wafanyakazi wa kibinadamu wa UN kufika Tigray

    Feb 09, 2021 07:37

    Serikali ya Ethiopia imeyaruhusu mashirika ya Umoja wa Mataifa kuwatuma wafanyakazi zaidi wa misaada, katika mkoa uliokumbwa na machafuko wa Tigray.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Tigray Ethiopia imezidi kuwa mbaya

    Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Tigray Ethiopia imezidi kuwa mbaya

    Feb 08, 2021 22:59

    Umoja wa Mataifa umetangaza tena kuwa, hali ya kibinadamu katika jimbo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia imezidi kuwa mbaya na kwamba, kuna haja ya kuchukuliwa hatua za haraka kushughulikia hali hiyo.

  • UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa

    UN: Hali ya Tigray nchini Ethiopia inatia wasi wasi mkubwa

    Feb 05, 2021 09:54

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, hali ya kibinadamu katika eneo la Tigray huko kaskazini mwa Ethiopia ni ya kutisha mno.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS