-
Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan
Jan 18, 2021 04:32Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia
Jan 16, 2021 22:51Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.
-
Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan
Jan 15, 2021 03:35Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.
-
Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje
Jan 14, 2021 10:00Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa , jeshi lake limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF).
-
Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa
Jan 12, 2021 10:13Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.
-
Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray
Jan 12, 2021 00:06Jeshi la Ethiopia limetangaza habari ya kuua wanachama wengine 15 wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, ambacho kilikuwa chama tawala katika eneo la Tigray, kaskazini mwa nchi.
-
Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray
Jan 08, 2021 23:10Viongozi wanne wa Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Tigray (TPLF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya vikosi vya jeshi la Ethiopia.
-
UN: Kuna hatari ya kuenea Corona Tigray, Ethiopia kutokana na mapigano
Jan 08, 2021 08:26Kuvurugika kwa hatua za usimamizi na udhibiti wa maambukizi ya virusi vya Corona au COVID-19 katika eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia kutokana na mapigano, kunaweza kuchochea maambukizi makubwa ya virusi hivyo katika jamii.
-
Wakimbizi kutoka Ethiopia waendelea kumiminika Sudan
Jan 06, 2021 04:50Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR linaendelea kuandikisha wakimbizi wapya katika mpaka wa Sudan na Ethiopia ambapo takriban wakimbizi 800 wamevuka kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia na kuingia mashariki mwa Sudan katika siku chache za mwaka huu wa 2021.
-
Waliofariki katika shambulio la watu wenye silaha magharibi ya Ethiopia wafika 207
Dec 26, 2020 23:27Tume ya Haki za Binadamu ya Ethiopia imetangaza kuwa shambulio lililofanywa na watu wenye silaha magharibi mwa nchi hiyo limesababisha watu 207 kuuawa.