Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Sharti la Ethiopia kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Sudan

    Sharti la Ethiopia kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Sudan

    Jan 28, 2021 22:38

    Ethiopia imetangaza kuwa Sudan inapasa kuondoa wanajeshi wake katika maeneo yenye hitilafu baina ya Addis Ababa na Khartoum ili kufanya mazungumzo nayo.

  • Ethiopia yapokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi kati yake na Sudan

    Ethiopia yapokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi kati yake na Sudan

    Jan 22, 2021 00:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Ethiopia imetangaza kuwa Addis Ababa inakaribisha na imepokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi na wasiwasi kati yake na jirani yake Sudan.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia aionya Sudan, asema Addis Ababa si dhaifu

    Waziri Mkuu wa Ethiopia aionya Sudan, asema Addis Ababa si dhaifu

    Jan 19, 2021 05:53

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ameionya Sudan na kusisitiza kwamba msimamo wa Addis Ababa mbele ya Khartoum si ishara ya udhaifu.

  • Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Jan 18, 2021 04:32

    Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Jan 16, 2021 22:51

    Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.

  • Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Jan 15, 2021 03:35

    Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.

  • Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje

    Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje

    Jan 14, 2021 10:00

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa , jeshi lake limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF).

  • Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Jan 12, 2021 10:13

    Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.

  • Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Jan 12, 2021 00:06

    Jeshi la Ethiopia limetangaza habari ya kuua wanachama wengine 15 wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, ambacho kilikuwa chama tawala katika eneo la Tigray, kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jan 08, 2021 23:10

    Viongozi wanne wa Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Tigray (TPLF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya vikosi vya jeshi la Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS