-
Sharti la Ethiopia kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Sudan
Jan 28, 2021 22:38Ethiopia imetangaza kuwa Sudan inapasa kuondoa wanajeshi wake katika maeneo yenye hitilafu baina ya Addis Ababa na Khartoum ili kufanya mazungumzo nayo.
-
Ethiopia yapokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi kati yake na Sudan
Jan 22, 2021 00:26Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Ethiopia imetangaza kuwa Addis Ababa inakaribisha na imepokea vizuri juhudi za kupunguza ugomvi na wasiwasi kati yake na jirani yake Sudan.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia aionya Sudan, asema Addis Ababa si dhaifu
Jan 19, 2021 05:53Waziri Mkuu wa Ethiopia ameionya Sudan na kusisitiza kwamba msimamo wa Addis Ababa mbele ya Khartoum si ishara ya udhaifu.
-
Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan
Jan 18, 2021 04:32Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.
-
Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia
Jan 16, 2021 22:51Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.
-
Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan
Jan 15, 2021 03:35Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.
-
Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje
Jan 14, 2021 10:00Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa , jeshi lake limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF).
-
Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa
Jan 12, 2021 10:13Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.
-
Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray
Jan 12, 2021 00:06Jeshi la Ethiopia limetangaza habari ya kuua wanachama wengine 15 wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, ambacho kilikuwa chama tawala katika eneo la Tigray, kaskazini mwa nchi.
-
Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray
Jan 08, 2021 23:10Viongozi wanne wa Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Tigray (TPLF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya vikosi vya jeshi la Ethiopia.