Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Vikosi vya Ethiopia vyasambazwa katika maeneo ya mipaka ya pamoja na Sudan

    Jan 18, 2021 04:32

    Waziri wa Ulinzi wa Sudan ametangaza kuwa wanajeshi wa Ethiopia wamejiweka tayari katika mipaka ya pamoja na Sudan ili kukabiliana na wanajeshi wa nchi hiyo.

  • Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Sudan yamshukuru Salva Kiir kwa kujitolea kuipatanisha na Ethiopia

    Jan 16, 2021 22:51

    Waziri Mkuu wa Sudan amemshukuru Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini kwa kujitolea kuwa mpatanishi kati ya nchi yake na Ethiopia.

  • Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Marufuku ya kupaa katika anga ya Qadarif nchini Sudan

    Jan 15, 2021 03:35

    Maafisa wa Sudan wameanza kutekeleza sheria ya kuzuia ndege kupaa kwa masafa yaliyoainishwa katika anga ya mkoa wa Qadarif.

  • Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje

    Jeshi la Ethiopia lamuua waziri wa zamani wa mambo ya nje

    Jan 14, 2021 10:00

    Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa , jeshi lake limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama cha Tigray People’s Liberation Front (TPLF).

  • Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Wanamgambo wa Ethiopia waishambulia Sudan; watu kadhaa wauawa

    Jan 12, 2021 10:13

    Raia kadhaa wameuawa na wengine hawajulikani walipo kufuatia shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Kiethiopia huko Sudan.

  • Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Ethiopia yasema imeua wapiganaji 15 wa eneo la Tigray

    Jan 12, 2021 00:06

    Jeshi la Ethiopia limetangaza habari ya kuua wanachama wengine 15 wa Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF, ambacho kilikuwa chama tawala katika eneo la Tigray, kaskazini mwa nchi.

  • Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jeshi la Ethiopia laua viongozi kadhaa wa TPLF eneo la Tigray

    Jan 08, 2021 23:10

    Viongozi wanne wa Harakati ya Ukombozi ya Wananchi wa Tigray (TPLF) wameripotiwa kuuawa katika operesheni ya vikosi vya jeshi la Ethiopia.

  • UN: Kuna hatari ya kuenea Corona Tigray, Ethiopia kutokana na mapigano

    UN: Kuna hatari ya kuenea Corona Tigray, Ethiopia kutokana na mapigano

    Jan 08, 2021 08:26

    Kuvurugika kwa hatua za usimamizi na udhibiti wa maambukizi ya virusi vya Corona au COVID-19 katika eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia kutokana na mapigano, kunaweza kuchochea maambukizi makubwa ya virusi hivyo katika jamii.

  • Wakimbizi kutoka Ethiopia waendelea kumiminika Sudan

    Wakimbizi kutoka Ethiopia waendelea kumiminika Sudan

    Jan 06, 2021 04:50

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR linaendelea kuandikisha wakimbizi wapya katika mpaka wa Sudan na Ethiopia ambapo takriban wakimbizi 800 wamevuka kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia na kuingia mashariki mwa Sudan katika siku chache za mwaka huu wa 2021.

  • Waliofariki katika shambulio la watu wenye silaha magharibi ya Ethiopia wafika 207

    Waliofariki katika shambulio la watu wenye silaha magharibi ya Ethiopia wafika 207

    Dec 26, 2020 23:27

    Tume ya Haki za Binadamu ya Ethiopia imetangaza kuwa shambulio lililofanywa na watu wenye silaha magharibi mwa nchi hiyo limesababisha watu 207 kuuawa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS