Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Jeshi la Ethiopia lalipiza kisasi, laua wabeba silaha 42 mpakani na Sudan

    Jeshi la Ethiopia lalipiza kisasi, laua wabeba silaha 42 mpakani na Sudan

    Dec 25, 2020 09:45

    Watu 42 waliokuwa wamebeba silaha wameuawa na wanajeshi wa Ethiopia katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, mpakani na Sudan.

  • Zaidi ya watu 100 wauawa katika mapigano Ethiopia

    Zaidi ya watu 100 wauawa katika mapigano Ethiopia

    Dec 23, 2020 23:59

    Watu zaidi ya 100 wameuawa katika hujuma iliyotekelezwa na watu wasiojulikana huko Ethiopia katika eneo la Benishangul-Gumuz.

  • Sudan imeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia

    Sudan imeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia

    Dec 22, 2020 03:48

    Jeshi la Sudan kwa mara nyingine tena limeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia; ambayo miaka 25 iliyopita yalikuwa yakishikiliwa na makundi ya wanamgambo yanayoungwa mkono na Ethiopia.

  • Mripuko wa bomu waua na kujeruhi kadhaa nchini Ethiopia

    Mripuko wa bomu waua na kujeruhi kadhaa nchini Ethiopia

    Dec 21, 2020 04:52

    Kwa akali watu watatu wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa baada ya bomu 'lililotelekezwa' kuripuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.

  • Sudan: Jeshi la Ethiopia limeua askari wetu mpakani

    Sudan: Jeshi la Ethiopia limeua askari wetu mpakani

    Dec 17, 2020 04:05

    Jeshi la Sudan limesema askari wake kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa Ethiopia wakishirikiana na wanamgambo katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • Askari wa Ethiopia waua waasi 370 eneo la Oromia

    Askari wa Ethiopia waua waasi 370 eneo la Oromia

    Dec 11, 2020 03:38

    Vikosi vya usalama nchini Ethiopia vimewaua waasi 370 katika oparesheni kali iliyofanyika katika mkoa wa Oromia, katikati ya nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya

    Dec 09, 2020 08:42

    Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo ametembelea Kenya na kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo katika ufunguzi wa kituo kipya cha mpakani cha Moyale katika Kaunti ya Marsabit.

  • Taasisi za masuala ya kibinadamu zatahadharisha kuhusu maafa makubwa ya kibinadamu nchini Ethiopia

    Taasisi za masuala ya kibinadamu zatahadharisha kuhusu maafa makubwa ya kibinadamu nchini Ethiopia

    Dec 08, 2020 01:33

    Taasisi za masuala ya kibinadamu zimetahadharisha kuwa, eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia linakaribia kukumbwa na maafa ya kibinadamu na kuenea maambukizi ya kirusi cha corona kutokana na machafuko na ukosefu wa amani unaoendelea kushuhudiwa katika eneo hilo.

  • TPLF: Mapigano yangali yanaendelea katika eneo la Tigray

    TPLF: Mapigano yangali yanaendelea katika eneo la Tigray

    Dec 07, 2020 00:25

    Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF imesema mapigano yangali yanaendelea kati yake na jeshi la serikali kuu ya Ethiopia katika eneo hilo.

  • Ripoti: Ethiopia huenda ikakumbwa na janga kubwa la kibinadamu

    Ripoti: Ethiopia huenda ikakumbwa na janga kubwa la kibinadamu

    Dec 06, 2020 08:22

    Ripoti ndefu iliyotolewa na Shirika la Habari la Associated Press inaeleza kuwa, Ethiopia huenda ikakumbwa na janga kubwa la kibinadamu endapo vita vinavyoshuhudiwa katika jimbo la Tigray vitaendelea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS