-
Jeshi la Ethiopia lalipiza kisasi, laua wabeba silaha 42 mpakani na Sudan
Dec 25, 2020 09:45Watu 42 waliokuwa wamebeba silaha wameuawa na wanajeshi wa Ethiopia katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, mpakani na Sudan.
-
Zaidi ya watu 100 wauawa katika mapigano Ethiopia
Dec 23, 2020 23:59Watu zaidi ya 100 wameuawa katika hujuma iliyotekelezwa na watu wasiojulikana huko Ethiopia katika eneo la Benishangul-Gumuz.
-
Sudan imeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia
Dec 22, 2020 03:48Jeshi la Sudan kwa mara nyingine tena limeyadhibiti maeneo yote ya mpaka wa pamoja na Ethiopia; ambayo miaka 25 iliyopita yalikuwa yakishikiliwa na makundi ya wanamgambo yanayoungwa mkono na Ethiopia.
-
Mripuko wa bomu waua na kujeruhi kadhaa nchini Ethiopia
Dec 21, 2020 04:52Kwa akali watu watatu wameuawa na wengine watano wamejeruhiwa baada ya bomu 'lililotelekezwa' kuripuka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa.
-
Sudan: Jeshi la Ethiopia limeua askari wetu mpakani
Dec 17, 2020 04:05Jeshi la Sudan limesema askari wake kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na wanajeshi wa Ethiopia wakishirikiana na wanamgambo katika mpaka wa nchi mbili hizo.
-
Askari wa Ethiopia waua waasi 370 eneo la Oromia
Dec 11, 2020 03:38Vikosi vya usalama nchini Ethiopia vimewaua waasi 370 katika oparesheni kali iliyofanyika katika mkoa wa Oromia, katikati ya nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atembelea Kenya
Dec 09, 2020 08:42Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed leo ametembelea Kenya na kujiunga na Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo katika ufunguzi wa kituo kipya cha mpakani cha Moyale katika Kaunti ya Marsabit.
-
Taasisi za masuala ya kibinadamu zatahadharisha kuhusu maafa makubwa ya kibinadamu nchini Ethiopia
Dec 08, 2020 01:33Taasisi za masuala ya kibinadamu zimetahadharisha kuwa, eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia linakaribia kukumbwa na maafa ya kibinadamu na kuenea maambukizi ya kirusi cha corona kutokana na machafuko na ukosefu wa amani unaoendelea kushuhudiwa katika eneo hilo.
-
TPLF: Mapigano yangali yanaendelea katika eneo la Tigray
Dec 07, 2020 00:25Harakati ya Ukombozi ya Watu wa Tigray TPLF imesema mapigano yangali yanaendelea kati yake na jeshi la serikali kuu ya Ethiopia katika eneo hilo.
-
Ripoti: Ethiopia huenda ikakumbwa na janga kubwa la kibinadamu
Dec 06, 2020 08:22Ripoti ndefu iliyotolewa na Shirika la Habari la Associated Press inaeleza kuwa, Ethiopia huenda ikakumbwa na janga kubwa la kibinadamu endapo vita vinavyoshuhudiwa katika jimbo la Tigray vitaendelea.