-
Jeshi la Ethiopia lateka na kuua akthari ya viongozi wa waasi wa Tigray
Dec 05, 2020 04:16Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa, imewakamata mateka na kuwaua akthari ya viongozi wa waasi wa Harakati ya Ukombozi wa Wananchi wa Tigray.
-
Ethiopia yaruhusu UN ifikikishe misaada Tigray bila vizingiti
Dec 03, 2020 01:00Ethiopia imetoa idhini kwa Umoja wa Mataifa kupeleka misaada bila vizingiti katika jimbo la kaskazini la Tigray, kufuatia wiki kadhaa za kuishawishi ifanye hivyo wakati operesheni za kijeshi zikiendelea.
-
UNHCR yataka kukaguliwa kambi za wakimbizi zilizoko Ethiopia
Dec 01, 2020 23:01Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limewataka viongozi wa Ethiopia wafungue njia kuliwezesha shirika hilo kuzifikia kambi za wakimbizi wa Eritrea zilizoko katika eneo la Tigray.
-
Kiongozi wa TPLF huko Tigray, Ethiopia aapa kuendeleza mapigano
Dec 01, 2020 09:18Kiongozi wa chama cha TPLF cha eneo la Tigray kaskazini mwa Ethiopia amesema askari wake wanaendelea kupambana na jeshi la serikali, siku mbili baada ya Waziri Mkuu Abiy Ahmed kutangaza ushindi katika eneo hilo.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia akadhibisha mauaji ya raia katika eneo la Tigray
Dec 01, 2020 00:57Akizungumza katika kikao cha bunge, Abiy Ahmed Waziri Mku wa Ethiopia amekadhibisha kujiri mauaji ya raia katika eneo la Tigray kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ethiopia yawaeleza wajumbe wa AU: Hatutafanya mazungumzo yoyote na viongozi wa Tigray
Nov 28, 2020 04:16Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesisitiza kwa mara nyingine kuwa hatofanya mazungumzo na viongozi wa eneo lililoasi la Tigray.
-
Ethiopia: Baada ya siku chache, Tigray itakuwa imedhibitiwa kikamilifu
Nov 27, 2020 08:59Waziri wa Ulinzi wa Ethiopia ametangaza kuwa vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimeshajiandaa ili kuhakikisha baada ya siku chache tu linaudhibiti kikamilifu mji mkuu wa eneo la Tigray, Mekelle.
-
Kushadidi mgogoro wa Tigray sambamba na agizo la Waziri Mkuu wa Ethiopia la kushambuliwa makao makuu ya jimbo hilo
Nov 27, 2020 03:15Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa amri ya kushambuliwa makao makuu ya jimbo la Tigray, la kaskazini mwa nchi hiyo na hivyo kuufanya mgogoro huo kuchukua mkondo mpana zaidi.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia atoa amri ya kushambuliwa makao makuu ya Tigray
Nov 26, 2020 08:12Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa amri ya kushambuliwa makao makuu ya jimbo la Tigray, la kasikazini mwa nchi hiyo.
-
Waziri Mkuu wa Ethiopia aitaka jamii ya kimataifa kujiweka mbali na mgogoro wa Tigray
Nov 25, 2020 08:48Waziri Mkuu wa Ethiopia ameitaka jamii ya kimataifa kujiweka mbali na mgogoro unaoendelea wa jimbo la Tigray lililoko kaskazini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.