Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Kuendelea mgogoro wa Tigray nchini Ethiopia na hatari zake

    Kuendelea mgogoro wa Tigray nchini Ethiopia na hatari zake

    Nov 23, 2020 09:03

    Mgogoro katika jimbo la Tigray nchini Ethiopia umechukua muelekeo mpya ambapo Abiy Ahmed, Waziri Mkuu wa nchi hiyo amewapa viongozi wa jimbo hilo muda wa masaa 72 wawe wamejisalimisha na kuweka chini silaha zao, la sivyo, atazingira na kuyashambulia makao makuu ya eneo hilo.

  • Jeshi la Ethiopia latoa onyo la kushadidisha mashambulio ili kudhibiti makao makuu ya eneo la Tigray

    Jeshi la Ethiopia latoa onyo la kushadidisha mashambulio ili kudhibiti makao makuu ya eneo la Tigray

    Nov 22, 2020 09:05

    Jeshi la Ethiopia limeonya kuwa litashadidisha mashambulio yake dhidi ya Tigray ili kudhibiti makao makuu ya eneo hilo.

  • Umoja wa Mataifa umetaka kusaidiwa kupatiwa ufumbuzi maafa ya kibinadamu nchini Ethiopia

    Umoja wa Mataifa umetaka kusaidiwa kupatiwa ufumbuzi maafa ya kibinadamu nchini Ethiopia

    Nov 21, 2020 08:46

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kutekelzwa jitihada za upatanishi huko Ethiopia na kufunguliwa korido za misaada ya kibinadamu nchini humo.

  • UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    UNHCR: Maelfu ya Waethiopia wanaendelea kuelekea Sudan

    Nov 19, 2020 03:28

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, vita vinavyoendela katika eneo la Tigray baina ya jeshi la serikali ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Ukombozi wa Watu wa Tigray (TPLF) vimewalazimisha raia karibu elfu 30 kukimbilia nchi jirani ya Sudan.

  • Watu wasiopungua 34 wauawa katika shambulio la basi la abiria magharibi mwa Ethiopia

    Watu wasiopungua 34 wauawa katika shambulio la basi la abiria magharibi mwa Ethiopia

    Nov 15, 2020 23:06

    Kamisheni ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Ethiopia imetangaza kuwa watu wasiopungua 34 wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu waliokuwa na silaha dhidi ya basi la abiria magharibi mwa nchi hiyo.

  • Mgogoro wa Ethiopia; Tigray yaendelea kuwa kitovu cha mzozo

    Mgogoro wa Ethiopia; Tigray yaendelea kuwa kitovu cha mzozo

    Nov 15, 2020 03:26

    Mgogoro ulioibuka nchini Ethiopia umekuwa ukichukua mkondo mpana zaidi siku baada ya siku.

  • Mgogoro wa Ethiopia washadidi huku viwanja vya ndege vikishambuliwa

    Mgogoro wa Ethiopia washadidi huku viwanja vya ndege vikishambuliwa

    Nov 15, 2020 00:54

    Mzozo unaoendelea nchini Ethiopia unaonekana kuchukua mkondo mpana zaidi baada ya maeneo kadhaa ya viwanja vya ndege kushambuliwa na wapiganaji wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF) kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia awapatia siku tatu waasi wa Tigray wajisalimishe

    Waziri Mkuu wa Ethiopia awapatia siku tatu waasi wa Tigray wajisalimishe

    Nov 14, 2020 08:42

    Waziri Mkuu wa Ethiopia amewapatia waasi wa Tigray wanaojulikana kama Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF) kaskazini mwa nchi hiyo muda wa siku tatu kuanzia jana wasitishe uasi wao na kujisalimisha.

  • Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Nov 12, 2020 22:07

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi katika maghala ya silaha na kambi za kuhifadhia nishati za Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) kaskazini mwa nchi hiyo.

  • UN: Hali ya wakimbizi wa Ethiopia nchini Sudan inatia wasiwasi

    UN: Hali ya wakimbizi wa Ethiopia nchini Sudan inatia wasiwasi

    Nov 12, 2020 08:29

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa una wasiwasi kuhusu hali ya wakimbizi wa Ethiopia wanaoendelea kumiminika katika nchi jirani ya Sudan iwapo raia zaidi watalazimika kukimbia mapigano yanayojiri kati ya jeshi la Serikali Kuu ya Ethiopia na wapiganaji wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) huko kaskazini mwa Ethiopia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS