Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ethiopia

  • Ethiopia yatishia kuvunja uhusiano na Marekani, yasema Washington ndio itayopata hasara

    Ethiopia yatishia kuvunja uhusiano na Marekani, yasema Washington ndio itayopata hasara

    Aug 09, 2020 03:43

    Ethiopia imetishia kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na Marekani kufuatia uingiliaji kati wa Washington katika kadhia ya Bwawa la Renaissance la Addis Ababa.

  • Ethiopia yalalamikia utendaji wa Marekani kuhusu mazungumzo ya Bwawa la al-Nahdha

    Ethiopia yalalamikia utendaji wa Marekani kuhusu mazungumzo ya Bwawa la al-Nahdha

    Aug 08, 2020 03:45

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia imetangaza kuwa, mashinikizo ya Marekani dhidi ya nchi hiyo ili ifanye mazungumzo na Misri na Sudan kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha yatakuwa na taathira hasi kwa uhusiano wa Washington na Addis Ababa.

  • Sudan yakataa pendekezo la Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    Sudan yakataa pendekezo la Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    Aug 06, 2020 00:00

    Wizara ya Umwagiliaji ya Sudan imesema, nchi hiyo haijakubali pendekezo la Ethiopia kuhusu kujaza maji na kutumia Bwawa la al-Nahdha (GERD).

  • Misri yatangaza kusitisha rasmi mazungumzo yake na Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    Misri yatangaza kusitisha rasmi mazungumzo yake na Ethiopia kuhusu Bwawa la al-Nahdha

    Aug 05, 2020 03:34

    Serikali ya Misri imetangaza kusitisha mazungumzo yake na Ethiopia kuhusiana na kadhia ya Bwawa la al-Nahdha kutokana na kile ilichokieleza kuwa, hatua ya upande mmoja ya Addis Ababa ya kuanza kujaza maji katika bwawa hilo.

  • Misri na Sudan zapinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kutumia maji ya bwawa la Renaissance

    Misri na Sudan zapinga hatua ya upande mmoja ya Ethiopia ya kuanza kutumia maji ya bwawa la Renaissance

    Jul 28, 2020 22:02

    Misri na Sudan zimesema, hazikubaliani na hatua ya upande mmoja iliyochukuliwa na Ethiopia ya kutekeleza awamu ya kwanza ya utumiaji wa maji ya bwawa la Renaissance.

  • Misri yatoa vitisho dhidi ya Ethiopia kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha

    Misri yatoa vitisho dhidi ya Ethiopia kuhusiana na Bwawa la al-Nahdha

    Jul 25, 2020 06:57

    Mjumbe wa timu ya Misri katika mazungumzo kuhusu Bwawa la al-Nahdha ametishia kuwa, endapo hakutafikiwa mwafaka katika kadhia hiyo, serikali ya Cairo itachukua hatua ya upande mmoja dhidi ya Ethiopia.

  • Waziri Mkuu wa Ethiopia azitahadharisha Misri na Sudan kuhusu Bwawa la An Nahdhah

    Waziri Mkuu wa Ethiopia azitahadharisha Misri na Sudan kuhusu Bwawa la An Nahdhah

    Jul 23, 2020 02:36

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ameutaja ujenzi wa Bwawa la An Nahdhah kuwa ni hatua iliyochelewa na kuzionya Misri na Sudan juu ya hatua zao kuhusiana na bwawa hilo.

  • Mgogoro wa bwawa la al Nahdha ungali unazitesa Misri, Sudan na Ethiopia

    Mgogoro wa bwawa la al Nahdha ungali unazitesa Misri, Sudan na Ethiopia

    Jul 13, 2020 03:03

    Wizara ya Umwagiliaji Maji ya Misri imetangaza habari ya kuendelea mgogoro baina ya nchi hiyo na Sudan na Ethiopia katika siku ya kumi ya mazungumzo ya nchi hizo tatu kuhusu bwawa la al Nahdha.

  • Waliouawa katika ghasia Ethiopia wafika 239

    Waliouawa katika ghasia Ethiopia wafika 239

    Jul 08, 2020 11:34

    Mauaji ya watu hao yamejiri katika ghasia ambazo ziliiibuka Ethiopia wiki iliyopita kufuatia mauaji ya mwanamuziki na mwanaharakati maarufu Haacaaluu Hundeessaa.

  • Watu 166 wameuawa katika ghasia Ethiopia, waziri mkuu asema ni njama ya maadui

    Watu 166 wameuawa katika ghasia Ethiopia, waziri mkuu asema ni njama ya maadui

    Jul 05, 2020 03:13

    Watu wasiopungua 166 wameuawa katika ghasia ambazo zimeibuka Ethiopia kufuatia mauaji ya mwanamuziki na mwanaharakati maarufu Haacaaluu Hundeessaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS