Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Russia yafichua njama ya magaidi ya kutumia silaha za kemikali Syria

    Russia yafichua njama ya magaidi ya kutumia silaha za kemikali Syria

    Oct 13, 2018 15:55

    Russia imetangaza kuwa, ina habari za kipelelezi kuhusu njama inayopangwa na magaidi kwa ajili ya kutumia silaha za kemikali katika eneo la Idlib huko kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Zaidi ya magaidi 50 wauawa Sinai, Misri

    Zaidi ya magaidi 50 wauawa Sinai, Misri

    Oct 08, 2018 13:18

    Jeshi la Misri limetangaza kuwa, magaidi 52 wameuawa katika operesheni ya kijeshi iliyofanyika dhidi ya kundi moja la kigaidi katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Magaidi 15 waangamizwa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Magaidi 15 waangamizwa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Oct 04, 2018 02:41

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 15 katika mapigano baina ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo na magaidi hao kaskazini mwa Misri.

  • Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Marekani imewatorosha viongozi wa DAESH (ISIS) eneo la Deir ez-Zor, Syria

    Sep 23, 2018 02:41

    Duru za kuaminika za Syria zimetangaza kuwa muungano wa kijeshi wa kimataifa unaoongozwa na Marekani wa eti kupambana na DAESH (ISIS) umewatorosha viongozi kadhaa wa kundi hilo la kigaidi na ukufurishaji katika eneo la Deir ez-Zor mashariki mwa Syria.

  • Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Walid al Mualim: Ajenda Kuu ya kikao cha Iran, Uturuki na Russia ni kuhusu kukombolewa Idlib

    Sep 04, 2018 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesisitiza kuwa suala kuu lilogubika kikao cha pande tatu cha viongozi wa Iran, Russia na Uturuki mjini Tehran lilikuwa kuhusiana na kukombolewa mkoa wa Idlib.

  • Amoli: Walimwengu wameng'amua mienendo ya kindumakuwili ya Marekani kuhusu ugaidi

    Amoli: Walimwengu wameng'amua mienendo ya kindumakuwili ya Marekani kuhusu ugaidi

    Aug 28, 2018 07:38

    Mkuu wa Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, mienendo ya kindumakuwili ya Marekani kuhusiana na jinai zinazofanywa na magaidi imedhihirika waziwazi kwa walimwengu.

  • Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Russia: Magaidi nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali

    Aug 27, 2018 07:46

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia ametangaza kuwa magaidi walioko nchini Syria wamejiandaa kufanya shambulio la silaha za kemikali katika kipindi cha siku hizi mbili.

  • Damascus yagundua hospitali ya Israel waliyojengewa magaidi kusini mwa Syria

    Damascus yagundua hospitali ya Israel waliyojengewa magaidi kusini mwa Syria

    Aug 23, 2018 15:06

    Jeshi la Syria limegundua hospitali moja ya jangwani iliyokuwa inatumiwa na genge la kigaidi la Jabhat Fat'h al Sham ambalo zamani likuwa likijulikana kwa jina la Jab'hat al Nusra. Hospitali hiyo ambayo imejaa dawa na vifaa vilivyotengezwa Israel imegunduliwa katika mkoa wa Quneitra uliokombolewa hivi karibuni kusini mwa Syria.

  • Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Marekani yaendelea kukiuka haki ya kujitawala Syria, yataka kujenga uwanja wake wa kijeshi

    Aug 16, 2018 13:17

    Habari kutoka Syria zimeripoti kwamba, askari vamizi wa Marekani wanakusudia kujenga uwanja wao wa kijeshi katika eneo la al-Shaddadi la jimbo la Al-Hasakah nchini humo.

  • Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Makamanda wa makundi ya kigaidi nchini Syria wakimbilia upande wa jeshi la Israel

    Jul 24, 2018 03:23

    Sambamba na jeshi la Syria kuimarisha mzingiro dhidi ya makundi ya kigaidi kusini mwa nchi hiyo, makamanda wa makundi hayo na kupitia taa ya kijani ya utawala wa Kizayuni, wamekimbilia upande wa jeshi la Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS