Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Gambia

  • Iran yataka kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili kadhia ya Palestina

    Iran yataka kufanyika kikao cha dharura cha OIC kujadili kadhia ya Palestina

    Feb 10, 2025 14:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amezungumza na kubadilishana mawazo na mwenzake wa Gambia, Mamadou Tangara, ambaye nchi yake ndiye mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), kuhusu matukio ya sasa huko Palestina hususan Ukanda wa Gaza.

  • Afisa wa zamani wa kikosi cha mauaji wakati wa utawala wa Jammeh atiwa nguvuni Gambia

    Afisa wa zamani wa kikosi cha mauaji wakati wa utawala wa Jammeh atiwa nguvuni Gambia

    Aug 11, 2024 11:17

    Jeshi la Gambia limemtia mbaroni kamanda wa zamani ambaye alidaiwa kuwa mwanachama wa 'kikosi cha mauaji" wakati wa utawala wa rais wa zamani wa nchi hiyo, Yahya Jammeh.

  • Safari ya Abdollahian Gambia kushiriki mkutano wa OIC wa kujadili changamoto za Waislamu hasa Palestina

    Safari ya Abdollahian Gambia kushiriki mkutano wa OIC wa kujadili changamoto za Waislamu hasa Palestina

    May 05, 2024 06:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yupo Banjul, mji mkuu wa Gambia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Abdollahian aelekea Gambia kushiriki mkutano wa OIC, unajadili changamoto za Waislamu hususan Palestina

    Abdollahian aelekea Gambia kushiriki mkutano wa OIC, unajadili changamoto za Waislamu hususan Palestina

    May 04, 2024 06:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameondoka Tehran kuelekea Banjul, mji mkuu wa Gambia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Wakuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu, OIC.

  • Maafisa wawili wa jeshi wakamatwa Gambia kwa madai ya kuhusika katika jaribio la mapinduzi

    Maafisa wawili wa jeshi wakamatwa Gambia kwa madai ya kuhusika katika jaribio la mapinduzi

    Dec 27, 2022 14:48

    Maafisa wawili wa jeshi la Gambia wanaotuhumiwa kuhusika katika jaribio liliofeli la kuipinduia serikali ya Rais Adama Barrow wa nchi hiyo wametiwa mbaroni. Hayo yameelezwa na msemaji wa serikali ya Gambia.

  • Bunge la Gambia  lataka kufuatiliwa faili la vifo vya watoto waliokufa kwa dawa ya India

    Bunge la Gambia lataka kufuatiliwa faili la vifo vya watoto waliokufa kwa dawa ya India

    Dec 22, 2022 03:10

    Kamati moja ya Bunge la Gambia sambamba na kuthibitisha katika ripoti yake juu ya vifo vya watoto 70 kutokana na kutumia dawa moja ya India imetaka kufuatiliwa faili hilo na serikali kutoa majibu kuhusiana na kadhia hiyo.

  • Gambia kuimarisha hatua za kiafya kufuatia vifo vya watoto 66

    Gambia kuimarisha hatua za kiafya kufuatia vifo vya watoto 66

    Oct 09, 2022 02:56

    Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni, Rais Adama Barrow wa Gambia ameeleza kuwa nchi hiyo itaimarisha hatua za kiafya ikiwa ni pamoja kudhibiti ubora wa dawa kutoka nje baada ya vifo vya kustaajabisha vya makumi ya watu nchini humo.

  • WHO yachunguza dawa za India baada ya watoto 66 kuaga dunia Gambia

    WHO yachunguza dawa za India baada ya watoto 66 kuaga dunia Gambia

    Oct 06, 2022 07:21

    Shirika la Afya Dunia (WHO) limetoa indhari kuwa, yumkini dawa aina nne za kukabiliana na kikohozi na mafua zilizotengenezwa na kampuni ya India ya Maiden Pharmaceuticals zimesababisha vifo vya watoto 66 nchini Gambia.

  • Rais wa Gambia awataka wapinzani waheshimu uamuzi wa mahakama

    Rais wa Gambia awataka wapinzani waheshimu uamuzi wa mahakama

    Dec 29, 2021 07:44

    Rais Adama Barrow wa Gambia ametoa mwito kwa upinzani nchini humo kukubali na kuheshimu uamuzi wa jana Jumanne wa Mahakama ya Juu ya nchi hiyo wa kutupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi kiongozi huyo.

  • Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Gambia, Barrow anaongoza kwa kura chache

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais Gambia, Barrow anaongoza kwa kura chache

    Dec 05, 2021 05:47

    Rais wa Gambia Adama Barrow anaripotiwa kuongoza kwa kura chache katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais uliofanyika jana Jumamosi nchini Gambia, kulingana na matokeo ya muda ya maeneobunge machache yaliyothibitishwa na Tume ya Uchaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS