Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gazeti

  • Sheikh Ibrahim Zakzaky apinga pendekezo la Trump kuhusu Gaza

    Sheikh Ibrahim Zakzaky apinga pendekezo la Trump kuhusu Gaza

    Aug 03, 2026 02:46

    Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky, amelitaja pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu makubaliano ya usitishaji vita kati ya Israel na Hamas kuwa ni “uoga”, hasa kutokana na sharti linalodaiwa la kuitaka Hamas kusalimisha silaha zake.

  • Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi

    Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi

    Aug 02, 2026 12:57

    Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.

  • Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa

    Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa

    Jan 06, 2025 02:50

    Waziri Mkuu wa Iraq amemsifu na kumuenzi kamanda mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kupambana na ugaidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, akisema, kamanda huyo alisimama bega kwa bega na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyakati ngumu na za changamoto kubwa zaidi.

  • Washington Post: Makumi ya makombora ya Iran yameharibu vituo vya kijeshi vya Israel

    Washington Post: Makumi ya makombora ya Iran yameharibu vituo vya kijeshi vya Israel

    Oct 05, 2024 23:21

    Gazeti la Marekani la Washington Post limetangaza katika ripoti yake kwamba makumi ya makombora ya Iran yaliyorushwa siku ya Jumanne kuelekea Israel yalifanikiwa kupita katika mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel na kuharibu kambi zake za kijeshi.

  • Thuluthi moja ya nchi zote duniani zimewekewa vikwazo na Marekani

    Thuluthi moja ya nchi zote duniani zimewekewa vikwazo na Marekani

    Jul 27, 2024 06:47

    Gazeti la Marekani la Washington Post limetoa ripoti inayoonyesha kuwa katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita, serikali ya nchi hiyo imeweka vikwazo vya kiuchumi na visivyo na athari yoyote dhidi ya thuluthi moja ya nchi zote duniani.

  • Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria

    Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria

    Nov 14, 2021 07:42

    Gazeti la New York Times limetoa ripoti inayoonyesha kuwa, jeshi la Marekani limetenda uhalifu wa kivita kwa kuua makumi ya wanawake na watoto katika mashambulio ya anga liliyofanya nchini Syria kwa kisingizio cha kile kinachoitwa mapambano dhidi ya kundi la DAESH (ISIS).

  • The Guardian: Tunajuta kuunga mkono kuundwa utawala wa kizayuni wa Israel

    The Guardian: Tunajuta kuunga mkono kuundwa utawala wa kizayuni wa Israel

    May 11, 2021 20:24

    Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika makala kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 200 tangu gazeti hilo linzishwe na limeeleza majuto yake kwa kuunga mkono suala la kuanzishwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Paletina.

  • Haaretz: Chokochoko za Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto

    Haaretz: Chokochoko za Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto

    Apr 23, 2021 07:30

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limemtahadharisha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel likieleza kuwa, chokochoko za Benjamin Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto na kwamba zinaweza kuwa na matokeo mabaya kwa Israel.

  • Yedioth Ahronoth: Benjamin Netanyahu ni kirusi hatari mno

    Yedioth Ahronoth: Benjamin Netanyahu ni kirusi hatari mno

    Jul 18, 2020 22:19

    Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limechapisha makala inayomkosoa vikali Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kueleza kuwa, mwanasiasa huyo ni kirusi hatari mno.

  • Kuzifungia tovuti za kimataifa za vyombo vya habari vya Iran, njama za Marekani zilizoshindwa zamani

    Kuzifungia tovuti za kimataifa za vyombo vya habari vya Iran, njama za Marekani zilizoshindwa zamani

    Apr 27, 2020 05:39

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa, serikali ya Donald Trump huko Marekani si tu imeiwekea Iran vikwazo vikubwa ambavyo havijawahi kushuhudiwa, lakini pia imekuwa ikifanya njama kubwa za kuibana Tehran katika kila upande, ikiwa ni pamoja na upande wa vyombo vya habari, ili kuzuia sauti ya haki ya Jamhuri ya Kiislamu isiwafikie walimwengu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS