-
Waziri Mkuu wa Iraq: Jenerali Soleimani alikuwa bega kwa bega na Iraq katika nyakati ngumu kabisa
Jan 06, 2025 06:20Waziri Mkuu wa Iraq amemsifu na kumuenzi kamanda mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kupambana na ugaidi Luteni Jenerali Shahidi Qassem Soleimani, akisema, kamanda huyo alisimama bega kwa bega na nchi hiyo ya Kiarabu katika nyakati ngumu na za changamoto kubwa zaidi.
-
Washington Post: Makumi ya makombora ya Iran yameharibu vituo vya kijeshi vya Israel
Oct 06, 2024 02:51Gazeti la Marekani la Washington Post limetangaza katika ripoti yake kwamba makumi ya makombora ya Iran yaliyorushwa siku ya Jumanne kuelekea Israel yalifanikiwa kupita katika mfumo wa ulinzi wa anga wa Israel na kuharibu kambi zake za kijeshi.
-
Thuluthi moja ya nchi zote duniani zimewekewa vikwazo na Marekani
Jul 27, 2024 10:17Gazeti la Marekani la Washington Post limetoa ripoti inayoonyesha kuwa katika kipindi cha miongo mitatu iliyopita, serikali ya nchi hiyo imeweka vikwazo vya kiuchumi na visivyo na athari yoyote dhidi ya thuluthi moja ya nchi zote duniani.
-
Kufichuliwa jinai za kivita za jeshi la Marekani nchini Syria
Nov 14, 2021 11:12Gazeti la New York Times limetoa ripoti inayoonyesha kuwa, jeshi la Marekani limetenda uhalifu wa kivita kwa kuua makumi ya wanawake na watoto katika mashambulio ya anga liliyofanya nchini Syria kwa kisingizio cha kile kinachoitwa mapambano dhidi ya kundi la DAESH (ISIS).
-
The Guardian: Tunajuta kuunga mkono kuundwa utawala wa kizayuni wa Israel
May 12, 2021 00:54Gazeti la The Guardian la Uingereza limeandika makala kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa 200 tangu gazeti hilo linzishwe na limeeleza majuto yake kwa kuunga mkono suala la kuanzishwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Paletina.
-
Haaretz: Chokochoko za Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto
Apr 23, 2021 12:00Gazeti la Kizayuni la Haaretz limemtahadharisha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel likieleza kuwa, chokochoko za Benjamin Netanyahu dhidi ya Iran ni sawa na kucheza na moto na kwamba zinaweza kuwa na matokeo mabaya kwa Israel.
-
Yedioth Ahronoth: Benjamin Netanyahu ni kirusi hatari mno
Jul 19, 2020 02:49Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limechapisha makala inayomkosoa vikali Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kueleza kuwa, mwanasiasa huyo ni kirusi hatari mno.
-
Kuzifungia tovuti za kimataifa za vyombo vya habari vya Iran, njama za Marekani zilizoshindwa zamani
Apr 27, 2020 10:09Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za vikwazo vya kiwango cha juu kabisa, serikali ya Donald Trump huko Marekani si tu imeiwekea Iran vikwazo vikubwa ambavyo havijawahi kushuhudiwa, lakini pia imekuwa ikifanya njama kubwa za kuibana Tehran katika kila upande, ikiwa ni pamoja na upande wa vyombo vya habari, ili kuzuia sauti ya haki ya Jamhuri ya Kiislamu isiwafikie walimwengu.
-
Gazeti la Saudia: Mahujaji wa Qatar wachague Hijja au kuuangusha utawala wa nchi yao
Aug 15, 2018 07:30Gazeti la Okaz la nchini Saudi Arabia limewataka mahujaji wa Qatar kuchagua moja kati ya mawili, ima kufanya ibada ya Hijja na kuunga mkono utawala wa Al Thani na kwamba iwapo wanataka kutekeleza ibada hiyo, basi wanatakiwa kwanza kuuondoa madarakani utawala huo.
-
Magazeti ya Ujerumani yamkosoa Trump, yamwita "mpumbavu"
Jun 12, 2018 08:17Magazeti ya Ujerumani yamemtaja Rais Donald Trump wa Marekani kuwa ni mtu asiyejua mipaka yake wala asiye na mantiki na yamezitaka nchi zote za Ulaya kuacha kumfuata kiongozi huyo.