-
Kuendelea misaada ya silaha ya Marekani kwa Israel
Jan 05, 2025 23:32Jinai za Israel dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza zinaendelea kwa kuungwa mkono wa nchi za Magharibi hususan Marekani.
-
Makumi ya wafanyakazi wa UNRWA wameuawa katika vita vya Gaza
Dec 31, 2024 09:13Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limetangaza kuwa, wafanyakazi 258 wa shirika hilo wameuawa katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza kwa vita hivyo mwaka jana (2023).
-
Mtoto mchanga wa tano afariki dunia Ghaza kutokana na baridi kali na kukosekana kwa vifaa
Dec 29, 2024 09:32Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina UNRWA ametoa indhari kuhusu vifo vya watoto Wapalestina vinavyoongezeka kutokana na baridi kali na kukosekana kwa vifaa vya kutosha.
-
Ripota Maalumu wa UN afichua nafasi ya Ujerumani na Marekani katika mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza
Dec 28, 2024 04:01Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu na Kupambana na Ugaidi amesema: Marekani na Ujerumani zinadhamini asilimia 99 ya silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel na inawezekana kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya nchi hizo.
-
Afisa wa UN: Ni vigumu kupeleka misaada Gaza
Dec 25, 2024 00:05Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa imekuwa vigumu kufikisha hata msaada mdogo kwa raia wa Palestina huko Ukanda wa Gaza.
-
Hamas yaendeleza juhudi za kufikia mapatano ya kusitisha vita Ukanda wa Gaza
Dec 22, 2024 04:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palstina (Hamas) imeripoti kuwa makundi ya muqawama ya Palestina yamekutana katika kikao cha pamoja huko Cairo, Misri na kwamba upo uwezekano wa kufikia mapatano ya kusitisha vita huko Ukanda wa Gaza.
-
Kiongozi wa Tahrir al-Sham: Hatutaruhusu Syria itumike kufanyia mashambulio dhidi ya Israel
Dec 17, 2024 02:35Kiongozi wa kundi la wanamgambo wa Hay'at Tahrir al-Sham (HTS), ambalo liliiondoa madarakani serikali ya Syria mapema mwezi huu huku kukiwa na taarifa zilizoenea za kuungwa mkono kundi hilo na mataifa ya Magharibi na Israel, amesema hataruhusu ardhi ya Syria itumike kufanyia mashambulizi dhidi ya Israel.
-
Chuki dhidi ya Uislamu Magharibi zimeongezeka kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa
Dec 15, 2024 02:04Washiriki wa mkutano wa London uliozungumzia "Uenezaji Hofu na Chuki Dhidi ya Uislamu" (Islamophobia) wametahadharisha kuhusu athari za vita vya Ghaza kwa ongezeko la jinai zinazofanywa katika nchi za Magharibi kwa sababu ya kuwachukia Waislamu.
-
RSF: Waandishi 54 wameuawa mwaka huu wakiwa kazini
Dec 13, 2024 00:08Shirika la kimataifa la Waandishi Habari wasiokuwa na Mipaka, RSF limetangaza kuwa, takribani waandishi habari 54 wameuawa ulimwenguni kote mwaka huu katika mazingira yanayohusisha kazi zao.
-
Maandamano dhidi ya Israel yafanyika katika nchi mbalimbali
Dec 02, 2024 03:37Maelfu ya wafuasi wa wananchi wa Palestina wamefanya maandamano katika miji mingi muhimu duniani ikiwemo Paris, Berlin, Santiago, Amsterdam, Copenhagen, Istanbul, Rome, Manchester na London kulaani mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.