-
Marekani yaziuzia nchi za Kiarabu silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 03:49Serikali ya Marekani imeziuzia nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Boroujerdi: Kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Ghuba ya Uajemi kunasaidia kudhamini amani ya eneo
Aug 20, 2016 07:54Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi kunasaidia kudhamini amani ya eneo.
-
Iran itazamisha meli za kivita za Marekani ikitishiwa
May 11, 2016 04:17Kamanda katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC ameonya kuwa jeshi hilo linaweza kuzamisha meli za kivita za Marekani iwapo zitakuwa tishio kwa nchi hii.
-
Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi
May 08, 2016 04:45Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu haioni kizingiti chochote katika kufanya mazoezi ndani ya maji yake katika Ghuba ya Uajemi.
-
Iran yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi
May 05, 2016 04:03Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uingiliaji wa hivi karibuni wa Marekani katika masuala ya usalama wa Ghuba ya Uajemi.
-
Iran: Uwepo wa US katika Ghuba ya Uajemi unasababisha ukosefu wa usalama
May 04, 2016 14:33Ofisa mwandamizi wa jeshi la majini la Iran amesema uwepo wa majeshi ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman unapania kusababisha ukosefu wa usalama na kueneza harakati za kigaidi katika eneo.