-
Hivi ndivyo Uingereza inavyochochea jinai Mashariki ya Kati
Jan 12, 2017 07:32Wakati kuna kila dalili zinazoonesha kuwa, Uingereza inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha inarejea katika Ghuba ya Uajemi, ushahidi mpya umethibitisha kwamba mkoloni huyo mkongwe wa Ulaya anahusika moja kwa moja katika jinai zinazofanywa na baadhi ya nchi za Kiarabu hususan Saudi Arabia.
-
Qassemi: Waziri Mkuu wa Uingereza anajipendekeza kwa nchi za Kiarabu
Dec 08, 2016 04:13Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali matamshi ya chuki dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, yaliyotolewa jana na Waziri Mkuu wa Uingereza, Theresa May, katika mkutano wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC, na kusisitiza kuwa kauli hiyo inalenga kuzifurahisha na kuziridhisha nchi za Kiarabu za baraza hilo.
-
Marekani yaziuzia nchi za Ghuba ya Uajemi silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 05:49Serikali ya Marekani imeziuzia baadhi ya nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Marekani yaziuzia nchi za Ghuba ya Uajemi silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 18, 2016 02:38Serikali ya Marekani imeziuzia baadhi ya nchi za Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Marekani yaziuzia nchi za Kiarabu silaha za zaidi ya dola bilioni 33
Sep 17, 2016 23:19Serikali ya Marekani imeziuzia nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi silaha zenye thamani ya zaidi ya bilioni 33 tangu mwaka 2014 hadi leo hii.
-
Boroujerdi: Kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Ghuba ya Uajemi kunasaidia kudhamini amani ya eneo
Aug 20, 2016 03:24Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Sera za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) amesema kuimarishwa uhusiano wa pande mbili baina ya Iran na nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi kunasaidia kudhamini amani ya eneo.
-
Iran itazamisha meli za kivita za Marekani ikitishiwa
May 10, 2016 23:47Kamanda katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC ameonya kuwa jeshi hilo linaweza kuzamisha meli za kivita za Marekani iwapo zitakuwa tishio kwa nchi hii.
-
Iran kuendelea na mazoezi ya kijeshi
May 08, 2016 00:15Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu haioni kizingiti chochote katika kufanya mazoezi ndani ya maji yake katika Ghuba ya Uajemi.
-
Iran yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi
May 04, 2016 23:33Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uingiliaji wa hivi karibuni wa Marekani katika masuala ya usalama wa Ghuba ya Uajemi.
-
Iran: Uwepo wa US katika Ghuba ya Uajemi unasababisha ukosefu wa usalama
May 04, 2016 10:03Ofisa mwandamizi wa jeshi la majini la Iran amesema uwepo wa majeshi ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman unapania kusababisha ukosefu wa usalama na kueneza harakati za kigaidi katika eneo.