-
UN haijaafiki madai ya Marekani kuhusu drone yake iliyoangushwa na Iran
Jun 22, 2019 07:50Umoja wa Mataifa umejibu madai ya wakuu wa Marekani kuwa drone yao ya kijasusi iliyoangushwa na Iran iliangushwa katika maji ya kimataifa katika Ghuba ya Uajemi.
-
Russia yakosoa vikali chokochoko za jeshi la Marekani dhidi ya Iran
Jun 21, 2019 09:18Baada ya kujitoa kinyume cha sheria katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Marekani imekuwa ikitekeleza siasa za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran iko tayari kufanya mazungumzo na nchi za Ghuba ya Uajemi
Jun 10, 2019 11:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kufanya mazungumzo na kila moja ya nchi za Kiarabu za ukanda wa Ghuba ya Uajemi kuhusu masuala ya pande mbili na kieneo."
-
Kuunga mkono Russia ubunifu wa Iran wa kupunguza hali ya taharuki Ghuba ya Uajemi
May 28, 2019 11:30Ili kufikia malengo yake haramu katika eneo la Asia Magharibi na Ghuba ya Uajemi, Marekani daima imekuwa ikieneza chuki dhidi ya Iran yaani Iranophobia, na kwa njia hiyo imeibua hitilafu na mgogoro katika uhusiano wa Iran na majirani zake katika Ghuba ya Uajemi. Pamoja na hayo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikisisitiza kuhusu ulazima wa kuwepo uthabiti katika Ghuba ya Uajemi na hata imewasilisha mpango mpya kuhusiana na hilo.
-
Iraq: Tunapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
May 26, 2019 11:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Mohamed Ali Alhakim amesema kuwa nchi yake inapinga vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwamba Baghdad itaendelea kusimama pamoja na Tehran.
-
Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia magharibi
May 26, 2019 02:25Rais Donald Trump wa Marekani tangu aingie madarakani amekuwa akitoa zingatio makhusi kwa eneo la Asia Magharibi na khususan eneo la Ghuba ya Uajemi; na hata safari yake ya kwanza nje ya nchi ilikuwa nchini Saudi Arabia, ili kuonyesha umuhimu wa eneo hili katika siasa za nje za Marekani na nafasi ya washirika wa Washington katika eneo. Bila shaka Trump mara kadhaa amekuwa akiutaja utawala wa Saudia kuwa ni ng'ombe wa kukamwa.
-
IRGC: Meli za Marekani Ghuba ya Uajemi ziko katika udhibiti kamili wa Iran
May 25, 2019 12:24Kaimu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH (IRGC) amesema kuwa, meli za Marekani zilizopo eneo la Ghuba ya Uajemi, hazina uwezo wa kufanya operesheni na zipo katika udhibiti kamili wa kikosi cha operesheni cha jeshi la SEPAH.
-
Meja Jenerali Baqeri: Jeshi la Iran linafuatilia nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi
May 24, 2019 03:42Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jeshi la Iran linafuatilia kwa karibu nyendo na harakati za Marekani katika Ghuba ya Uajemi.
-
Qatar yataka mazungumzo bila masharti kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia dhidi yake
Apr 14, 2019 02:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema kuwa, Doha inakaribisha mazungumzo yasiyo na masharti na yanayozingatia sheria za kimataifa bila ya kukanyaga haki ya kujitawala nchi yoyote ile.
-
Malengo ya safari ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia katika nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi
Mar 05, 2019 14:15Sergei Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia, Jumatatu ya tarehe 4 Machi alianza safari yake ya siku nne katika nchi nne za Qatar, Saudi Arabia, Kuwait na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).