Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Mapatano ya kitaifa ya Wapalestina kwa ajili ya kufanyika uchaguzi huko Palestina

    Mapatano ya kitaifa ya Wapalestina kwa ajili ya kufanyika uchaguzi huko Palestina

    Nov 11, 2019 04:25

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa kuna mapatano ya kitaifa kwa ajii ya kufanyika uchaguzi wa bunge na wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Mjumbe wa UN apongeza misimamo ya Hamas kuhusu uchaguzi

    Nov 05, 2019 11:00

    Mratibu Maalumu wa Amani wa Umoja wa Mataifa katika kanda ya Mashariki ya Kati amepongeza misimamo ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) kuhusu suala la kuitishwa uchaguzi mkuu huko Palestina.

  • Hamas yalaani nchi za Kiarabu zinazopigania kuwa na uhusiano na Israel

    Hamas yalaani nchi za Kiarabu zinazopigania kuwa na uhusiano na Israel

    Oct 30, 2019 10:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imezilaani nchi za Kiarabu ambazo zinapigania kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Hamas: Kuendelea kutiwa mbaroni Wapalestina nchini Saudia ni jambo lisilokubalika

    Hamas: Kuendelea kutiwa mbaroni Wapalestina nchini Saudia ni jambo lisilokubalika

    Oct 28, 2019 23:25

    Mkuu wa Ofisi ya Uhusiano wa Kitaifa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa kuendelea kukamatwa na kufungwa jela nchini Saudia raia wa Palestina ni jambo lisilokubalika. Amesema faili la kesi hiyo hadi sasa halijapiga hatua yoyote.

  • HAMAS yalaani utawala wa Kizayuni wa Israel kushirikishwa katika mkutano wa Bahrain

    HAMAS yalaani utawala wa Kizayuni wa Israel kushirikishwa katika mkutano wa Bahrain

    Oct 20, 2019 23:09

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kualikwa na kushirikishwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa usalama wa baharini unaotazamiwa kufanyika nchini Bahrain, ikisisitiza kwamba hatua hiyo inakinzana na misimamo ya umma wa Waarabu.

  • HAMAS: Kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    HAMAS: Kuuvunjia heshima Msikiti wa al Aqsa ni kuchochea hisia za Waislamu duniani

    Oct 17, 2019 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa, hatua ya mamia ya walowezi wa Kizayuni ya kukivunjia heshima Kibla cha Kwanza cha Waislamu yaani Msikiti wa al Aqsa ni udhalilishaji na uchochezi wa wazi wa hisia za umma mzima wa Kiislamu na Kiarabu.

  • Israel yakiri kuwaua kigaidi viongozi wa HAMAS nje ya Palestina

    Israel yakiri kuwaua kigaidi viongozi wa HAMAS nje ya Palestina

    Oct 11, 2019 23:01

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi la utawala wa Kizayuni MOSSAD amekiri kuwa, utawala huo dhalimu umekuwa ukiwaandamana na kuwaua kigaidi viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS nje ya ardhi hizo zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.

  • Mwakilishi wa Hamas Iran asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Mwakilishi wa Hamas Iran asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Oct 10, 2019 00:55

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nchini Iran ametoa wito wa Umoja wa nchi za Kiislamu katika kukabiliana na maadui.

  • Hamas: Njama ya kuuawa Jenerali Soleimani wa Iran ni kwa maslahi ya Israel

    Hamas: Njama ya kuuawa Jenerali Soleimani wa Iran ni kwa maslahi ya Israel

    Oct 05, 2019 08:26

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani vikali njama iliyotibuka ya nchi za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kutaka kumuua Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH), Meja Jenerali Qassem Soleimani.

  • Hamas yatoa radiamali kwa uchaguzi wa utawala wa Kizayuni

    Hamas yatoa radiamali kwa uchaguzi wa utawala wa Kizayuni

    Sep 18, 2019 20:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kufanyika uchaguzi wa bunge la Israel hakutaleta mabadiliko yoyote katika mwenendo wa muqawama wa Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS