-
Hizbullah: Lebanon haitatawaliwa na Saudia
Feb 27, 2016 16:53Harakati ya Hizbullah imeonya kuwa Lebanon kamwe haitakuwa chini ya mamlaka ya Saudi Arabia licha ya kuwepo mashinikizo ya ufalme huo kwa maafisa wa Lebanon.
-
Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu
Feb 27, 2016 07:30Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo mchafuzi mkubwa wa haiba na sura ya Uislamu ulimwenguni.
-
Hizbullah yasisitizia uhusiano mwema na harakati ya Hamas
Feb 25, 2016 01:11Mjumbe wa mrengo wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon, Hassan Hubullah, amesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano mwema baina ya harakati hiyo na ile ya Palestina Hamas katika ngazi ya viongozi.
-
Al Arabiya yamtimua aliyerusha filamu kuhusu Nasrullah
Feb 24, 2016 01:46Mkurugenzi wa Kanali ya Televisheni ya Kiarabu ya Al Arabiya amefutwa kazi kwa kutangaza filamu ya matukio ya kweli ambayo ilionekana kumuunga mkono kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah.
-
Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran
Feb 20, 2016 13:26Akizungumza kwenye mahojiano na kanali ya CNN katika kuhalalisha hatua zake za kisiasa katika eneo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameituhumu Iran kuwa inatekeleza siasa za kuibua malumbano ya kimadhehebu katika eneo.
-
Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah haijaghafilika katu na Israel
Feb 13, 2016 03:22Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya muqawa wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, amesema muqawama katu haujaghafilika na njama na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake
Feb 08, 2016 01:48Kiongozi wa chama cha Harakati Huru ya Kizalendo nchini Lebanon (FPM) amepongeza juhudi za Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah za kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusisitiza kuwa, Lebanon inaiihitaji Hizbullah kulinda mipaka yake.
-
Hizbullah: Madai kuwa Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon hayana msingi
Jan 30, 2016 07:53Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon, akisisitiza kuwa hakuna ushahidi wowote juu ya tuhuma hizo.