Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah: Lebanon haitatawaliwa na Saudia

    Hizbullah: Lebanon haitatawaliwa na Saudia

    Feb 27, 2016 16:53

    Harakati ya Hizbullah imeonya kuwa Lebanon kamwe haitakuwa chini ya mamlaka ya Saudi Arabia licha ya kuwepo mashinikizo ya ufalme huo kwa maafisa wa Lebanon.

  • Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Hizbullah ya Lebanon: Saudi Arabia ndio inayochafua jina la dini tukufu ya Kiislamu

    Feb 27, 2016 07:30

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, Saudi Arabia ndiyo mchafuzi mkubwa wa haiba na sura ya Uislamu ulimwenguni.

  • Hizbullah yasisitizia uhusiano mwema na harakati ya Hamas

    Hizbullah yasisitizia uhusiano mwema na harakati ya Hamas

    Feb 25, 2016 01:11

    Mjumbe wa mrengo wa Hizbullah katika Bunge la Lebanon, Hassan Hubullah, amesisitiza udharura wa kuimarishwa uhusiano mwema baina ya harakati hiyo na ile ya Palestina Hamas katika ngazi ya viongozi.

  • Al Arabiya yamtimua aliyerusha filamu kuhusu Nasrullah

    Al Arabiya yamtimua aliyerusha filamu kuhusu Nasrullah

    Feb 24, 2016 01:46

    Mkurugenzi wa Kanali ya Televisheni ya Kiarabu ya Al Arabiya amefutwa kazi kwa kutangaza filamu ya matukio ya kweli ambayo ilionekana kumuunga mkono kiongozi wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrullah.

  • Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    Madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    Feb 20, 2016 13:26

    Akizungumza kwenye mahojiano na kanali ya CNN katika kuhalalisha hatua zake za kisiasa katika eneo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameituhumu Iran kuwa inatekeleza siasa za kuibua malumbano ya kimadhehebu katika eneo.

  • Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah haijaghafilika katu na Israel

    Sheikh Naeem Qassim: Hizbullah haijaghafilika katu na Israel

    Feb 13, 2016 03:22

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya muqawa wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah, amesema muqawama katu haujaghafilika na njama na vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Aoun: Lebanon inahitaji Hizbullah kulinda mipaka yake

    Feb 08, 2016 01:48

    Kiongozi wa chama cha Harakati Huru ya Kizalendo nchini Lebanon (FPM) amepongeza juhudi za Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah za kupambana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh nchini Syria na kusisitiza kuwa, Lebanon inaiihitaji Hizbullah kulinda mipaka yake.

  • Hizbullah: Madai kuwa Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon hayana msingi

    Hizbullah: Madai kuwa Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon hayana msingi

    Jan 30, 2016 07:53

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon Hizbullah amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaingilia masuala ya ndani ya Lebanon, akisisitiza kuwa hakuna ushahidi wowote juu ya tuhuma hizo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS