-
Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan
Jun 09, 2019 07:20Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ulishadidi Juni 3 baada ya wanajeshi kuwashambulia waandamanaji waliokuwa wamekusanyija nje ya makao makuu ya jeshi ambapo raia zaidi ya 100 waliuawa katika vurumai hiyo.
-
Mamluki wa Imarati washambulia msikiti Yemen na kuua watu kadhaa
Jun 08, 2019 11:37Mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu ambao ni sehemu ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia wamevamia msikiti mmoja katika mkoa wa Dhale kusini mwa Yemen na kuua watu sita waliokuwa kwenye nyumba hiyo ya ibada, mbali na kuwateka nyara wengine wanne.
-
Zarif aikosoa Mossad ya Israel kwa kuituhumu Iran kwa ulipuaji wa meli za mafuta al-Fujairah, UAE
Jun 06, 2019 03:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali 'taarifa za kiintelijensia' za Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad zinazodai kwamba Iran imehusika na kulipuliwa meli za mafuta katika Bandari ya al-Fujairah huko Umoja wa Falme za Kiarabu, akisisitiza kuwa amewahi kutoa indhari huko nyuma kuhusu kupikwa njama za kutaka kuibua taharuki katika eneo.
-
Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao
Jun 05, 2019 11:59Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
Droni ya Imarati yatunguliwa nchini Libya
Jun 03, 2019 04:18Jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, limefanikiwa kutungua ndege moja isiyo na rubani (droni) ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Baraza la Kiislamu Uswisi: Imarati inayaunga mkono makundi yaliyo dhidi ya Uislamu barani Ulaya
May 28, 2019 03:10Mkuu wa Baraza la Kiislamu nchini Uswisi ameelezea nafasi haribifu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (IMARATI) katika kuviunga mkono vyama na makundi yanayoendesha harakati na kampeni dhidi ya dini ya Uislamu.
-
Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh
May 26, 2019 02:29Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, kurushwa hewani video inayoonesha kushambuliwa uwanja wa ndege wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni ushahidi wa nguvu za kijeshi za kujihami wananchi wa Yemen kama ambavyo pia ni ushahidi kwamba Wayemen wanao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Riyadh na Abu Dhabi.
-
Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani
May 25, 2019 07:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amethibitisha kuwa serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.
-
Saudia na Imarati kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina
May 23, 2019 02:28Tawala vibaraka za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimetangaza kuwa zitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.
-
Jamhuri ya Kiislamu yataka kuwekwa wazi kiundani tukio la bandari ya Fujairah nchini Imarati
May 13, 2019 14:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran imesikitishwa na matukio ya jana Jumapili yaliyotokea dhidi ya meli kadhaa za mafuta katika Bahari ya Oman katika eneo la Umoja wa Falme za Kiarabu na imetaka kuwekwa wazi na kwa kina uhakika wa matukio hayo.