Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Uchochezi wa Saudi Arabia na Imarati katika mgogoro wa Sudan

    Jun 09, 2019 07:20

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan ulishadidi Juni 3 baada ya wanajeshi kuwashambulia waandamanaji waliokuwa wamekusanyija nje ya makao makuu ya jeshi ambapo raia zaidi ya 100 waliuawa katika vurumai hiyo.

  • Mamluki wa Imarati washambulia msikiti Yemen na kuua watu kadhaa

    Mamluki wa Imarati washambulia msikiti Yemen na kuua watu kadhaa

    Jun 08, 2019 11:37

    Mamluki wa Umoja wa Falme za Kiarabu ambao ni sehemu ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia wamevamia msikiti mmoja katika mkoa wa Dhale kusini mwa Yemen na kuua watu sita waliokuwa kwenye nyumba hiyo ya ibada, mbali na kuwateka nyara wengine wanne.

  • Zarif aikosoa Mossad ya Israel kwa kuituhumu Iran kwa ulipuaji wa meli za mafuta al-Fujairah, UAE

    Zarif aikosoa Mossad ya Israel kwa kuituhumu Iran kwa ulipuaji wa meli za mafuta al-Fujairah, UAE

    Jun 06, 2019 03:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali 'taarifa za kiintelijensia' za Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad zinazodai kwamba Iran imehusika na kulipuliwa meli za mafuta katika Bandari ya al-Fujairah huko Umoja wa Falme za Kiarabu, akisisitiza kuwa amewahi kutoa indhari huko nyuma kuhusu kupikwa njama za kutaka kuibua taharuki katika eneo.

  • Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao

    Jun 05, 2019 11:59

    Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • Droni ya Imarati yatunguliwa nchini Libya

    Droni ya Imarati yatunguliwa nchini Libya

    Jun 03, 2019 04:18

    Jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, limefanikiwa kutungua ndege moja isiyo na rubani (droni) ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Baraza la Kiislamu Uswisi: Imarati inayaunga mkono makundi yaliyo dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    Baraza la Kiislamu Uswisi: Imarati inayaunga mkono makundi yaliyo dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    May 28, 2019 03:10

    Mkuu wa Baraza la Kiislamu nchini Uswisi ameelezea nafasi haribifu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (IMARATI) katika kuviunga mkono vyama na makundi yanayoendesha harakati na kampeni dhidi ya dini ya Uislamu.

  • Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    May 26, 2019 02:29

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, kurushwa hewani video inayoonesha kushambuliwa uwanja wa ndege wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni ushahidi wa nguvu za kijeshi za kujihami wananchi wa Yemen kama ambavyo pia ni ushahidi kwamba Wayemen wanao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Riyadh na Abu Dhabi.

  • Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    May 25, 2019 07:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amethibitisha kuwa serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.

  • Saudia na Imarati kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina

    Saudia na Imarati kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina

    May 23, 2019 02:28

    Tawala vibaraka za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimetangaza kuwa zitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Jamhuri ya Kiislamu yataka kuwekwa wazi kiundani tukio la bandari ya Fujairah nchini Imarati

    Jamhuri ya Kiislamu yataka kuwekwa wazi kiundani tukio la bandari ya Fujairah nchini Imarati

    May 13, 2019 14:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran imesikitishwa na matukio ya jana Jumapili yaliyotokea dhidi ya meli kadhaa za mafuta katika Bahari ya Oman katika eneo la Umoja wa Falme za Kiarabu na imetaka kuwekwa wazi na kwa kina uhakika wa matukio hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS