Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    May 11, 2019 12:55

    Wakuu wa Somalia wametangaza kuusambaratisha mtandao wa majasusi ambao walikuwa wakiutumikia utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    May 10, 2019 07:42

    Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, ambayo iko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita vyake vya kivamizi dhidi ya Yemen, imeingia katika mvutano mkubwa kati yake na serikali iliyojiuzulu ya Yemen ambayo hivi sasa ingali inadhibiti eneo la kusini mwa nchi hiyo.

  • UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    May 07, 2019 07:56

    Jopo la Wataalamu wa Umoja wa Mataifa linatathmini mashambulizi ya makombora dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli, sanjari na kuchunguza uwezekano wa kutumika ndege zisizo na rubani 'drone' za Umoja wa Falme za Kiarabu katika hujuma hizo.

  • Mwanamke mwenye saratani afia gerezani Imarati licha ya indhari ya UN

    Mwanamke mwenye saratani afia gerezani Imarati licha ya indhari ya UN

    May 05, 2019 14:19

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, mwanamke aliyekuwa anaugua ugonjwa wa saratani amepoteza maisha akiwa gerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu, miezi miwili baada ya Umoja wa Mataifa kutoa mwito wa kuachiwa huru mwanamke huyo kwa misingi ya kwenda kupatiwa matibabu.

  • Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Kikao cha pande nne cha London na uungaji mkono juu ya kudumishwa vita vya Yemen

    Apr 30, 2019 04:02

    Tokea mwezi Machi 2015 Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, zimekuwa zikiendesha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen. Marekani na Uingereza pia zimekuwa na mchango mkubwa katika vita hivyo kwa kuzipa nchi mbili hizo za Kiarabu msaada mkubwa wa kilojistiki, habari za siri na kijeshi.

  • Ndege za kivita za kigeni zimehusika katika mashambulio ya Tripoli

    Ndege za kivita za kigeni zimehusika katika mashambulio ya Tripoli

    Apr 29, 2019 06:21

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa ndege za kigeni zilishiriki katika mashambulio ya hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Netanyahu aipongeza Imarati kwa kuialika Israel katika Maonyesho ya Dubai

    Netanyahu aipongeza Imarati kwa kuialika Israel katika Maonyesho ya Dubai

    Apr 27, 2019 02:40

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameupongeza Umoja wa Falme za Kiarabu kwa kuualika utawala huo haramu kushiriki katika Maonyesho ya Dubai ya 2020.

  • Reuters: Marekani na Ulaya 'zinaiba dhahabu Afrika' kupitia Imarati

    Reuters: Marekani na Ulaya 'zinaiba dhahabu Afrika' kupitia Imarati

    Apr 25, 2019 04:20

    Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la Reuters umefichua kuwa, tani za dhahabu zenye thamani ya mabilioni ya dola zinasafirishwa kila mwaka kwa njia za magendo kutoka Afrika kuelekea Marekani na nchi za Ulaya, huku Umoja wa Falme za Kiarabu ukitajwa kuwa lango kuu la biashara hiyo haramu.

  • Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Taasisi za Kiislamu za Ufaransa: Imarati na Misri zinawapaka matope Waislamu

    Apr 23, 2019 03:21

    Umoja wa Taasisi za Kiislamu za Ufaransa umesema kuwa, vitendo vya Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri vinaupaka matope Uislamu duniani na kupelekea kuongezeka mashambulizi dhidi ya Waislamu barani Ulaya.

  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan apigwa kalamu nyekundu kwa mashinikizo ya Saudia na Imarati

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan apigwa kalamu nyekundu kwa mashinikizo ya Saudia na Imarati

    Apr 19, 2019 13:18

    Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan limempiga kalamu nyekundu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuonyesha kuwa tayari kukutana na ujumbe wa Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS