Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Droni ya Imarati yatunguliwa nchini Libya

    Droni ya Imarati yatunguliwa nchini Libya

    Jun 02, 2019 23:48

    Jeshi la Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, limefanikiwa kutungua ndege moja isiyo na rubani (droni) ya serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • Baraza la Kiislamu Uswisi: Imarati inayaunga mkono makundi yaliyo dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    Baraza la Kiislamu Uswisi: Imarati inayaunga mkono makundi yaliyo dhidi ya Uislamu barani Ulaya

    May 27, 2019 22:40

    Mkuu wa Baraza la Kiislamu nchini Uswisi ameelezea nafasi haribifu ya Umoja wa Falme za Kiarabu (IMARATI) katika kuviunga mkono vyama na makundi yanayoendesha harakati na kampeni dhidi ya dini ya Uislamu.

  • Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    May 25, 2019 21:59

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, kurushwa hewani video inayoonesha kushambuliwa uwanja wa ndege wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni ushahidi wa nguvu za kijeshi za kujihami wananchi wa Yemen kama ambavyo pia ni ushahidi kwamba Wayemen wanao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Riyadh na Abu Dhabi.

  • Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    Trump aziuzia Saudia, UAE silaha za dola bilioni 8 bila idhini ya Kongresi ya Marekani

    May 25, 2019 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amethibitisha kuwa serikali ya Washington imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 8.1 kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, bila idhini ya Kongresi ya nchi hiyo.

  • Saudia na Imarati kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina

    Saudia na Imarati kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Palestina

    May 22, 2019 21:58

    Tawala vibaraka za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zimetangaza kuwa zitashiriki mkutano wa Marekani wa kuzindua hatua ya mwanzo ya utekelezaji wa 'Muamala wa Karne' mwezi ujao wa Juni nchini Bahrain.

  • Jamhuri ya Kiislamu yataka kuwekwa wazi kiundani tukio la bandari ya Fujairah nchini Imarati

    Jamhuri ya Kiislamu yataka kuwekwa wazi kiundani tukio la bandari ya Fujairah nchini Imarati

    May 13, 2019 09:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Tehran imesikitishwa na matukio ya jana Jumapili yaliyotokea dhidi ya meli kadhaa za mafuta katika Bahari ya Oman katika eneo la Umoja wa Falme za Kiarabu na imetaka kuwekwa wazi na kwa kina uhakika wa matukio hayo.

  • Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    Somalia yasambaratisha mtandao wa majasusi wa UAE

    May 11, 2019 08:25

    Wakuu wa Somalia wametangaza kuusambaratisha mtandao wa majasusi ambao walikuwa wakiutumikia utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    May 10, 2019 03:12

    Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, ambayo iko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita vyake vya kivamizi dhidi ya Yemen, imeingia katika mvutano mkubwa kati yake na serikali iliyojiuzulu ya Yemen ambayo hivi sasa ingali inadhibiti eneo la kusini mwa nchi hiyo.

  • UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    UN: Yumkini Imarati imehusika katika mashambulizi ya Libya

    May 07, 2019 03:26

    Jopo la Wataalamu wa Umoja wa Mataifa linatathmini mashambulizi ya makombora dhidi ya mji mkuu wa Libya, Tripoli, sanjari na kuchunguza uwezekano wa kutumika ndege zisizo na rubani 'drone' za Umoja wa Falme za Kiarabu katika hujuma hizo.

  • Mwanamke mwenye saratani afia gerezani Imarati licha ya indhari ya UN

    Mwanamke mwenye saratani afia gerezani Imarati licha ya indhari ya UN

    May 05, 2019 09:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeripoti kuwa, mwanamke aliyekuwa anaugua ugonjwa wa saratani amepoteza maisha akiwa gerezani katika Umoja wa Falme za Kiarabu, miezi miwili baada ya Umoja wa Mataifa kutoa mwito wa kuachiwa huru mwanamke huyo kwa misingi ya kwenda kupatiwa matibabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS