-
Ripoti: Saudia na Imarati zinapanga kufanya mapinduzi Bahrain
Jun 09, 2018 03:39Tovuti ya habari ya Middle East Eye imeripoti kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zinapanga njama ya kumuondoa mamlakani Waziri Mkuu wa Bahrain, Khalifa bin Salman Aal-Khalifah.
-
Oman yasema haiwezi kuvumilia tena chokochoko za UAE
Jun 08, 2018 20:53Migogoro inazidi kutokota katika Ghuba ya Uajemi baada ya Oman kuuonya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kuwa haiwezi kuvumilia tena wizi wa turathi zake za kitaifia na haki za uvumbuzi.
-
Imarati yakiri kwamba lilikuwa kosa kuiondoa Syria Arab League
Jun 07, 2018 02:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Imarati amekiri wazi kwamba maamuzi ya kuiondoa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) yalikuwa makosa makubwa.
-
Mwaka mmoja wa mgogoro kati ya nchi za Kiarabu
Jun 06, 2018 01:27Umetimia mwaka mmoja tokea uanze mgogoro baina ya nchi za Kiarabu na dalili zote zinaonyesha kuwa mgogoro huo ungali unaendelea bali hata utazidi kupanuka na kuwa mbaya zaidi.
-
Marekani kupanua operesheni zake za kijeshi Yemen kufuatia ombi la Imarati
Jun 04, 2018 09:48Marekani inatathmini ombi la Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) la kuipa msaada wa moja kwa moja kwa ajili ya kufanikisha mashambulizi ya kuiteka bandari ya Hudaydah, ambayo kwa sasa inadhibitiwa na vikosi vya Ansarullah vya Yemen.
-
Jeshi la Yemen: Abu Dhabi ipo ndani ya shabaha ya makombora yetu
Jun 02, 2018 03:22Msemaji wa Jeshi la Yemen ameionya vikali Imarati kuwa mji mkuu wake Abu Dhabi kuanzia sasa hautakuwa salama na upo katika shabaha ya makombora ya nchi hiyo ya Kiarabu, ikiwa ni katika ulipizaji hujuma za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.
-
Answarullah: Lengo kuu la Saudia na Imarati ni kuikalia kwa mabavu Yemen
May 28, 2018 00:14Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Answarullah nchini Yemen, Abdul-Malik Badreddin al-Houthi amesema kuwa lengo la Saudia na Imarati katika kuivamia kijeshi Yemen ni kuikalia kwa mabavu nchi hiyo na kwamba nchi hizo kamwe hazina nia yoyote ya kufikia amani.
-
Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri
May 27, 2018 00:13Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.
-
Marekani kuziuzia Saudia na Imarati 'mabomu-erevu' 120,000
May 23, 2018 02:56Rais Donald Trump ameliomba Bunge la Kongresi la Marekani litathmini mpango wa kuziuzia Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu makumi ya maelfu ya mabomu-erevu ya kuelekezwa, licha ya makelele ya jamii ya kimataifa ya kupinga utumiaji silaha hizo dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Waarabu wazidi kujipendekeza kwa Israel; Waziri wa utawala huo kuelekea Imarati Oktoba
May 17, 2018 23:29Waziri wa Mawasiliano wa Utawala Katili wa Israel amesema kuwa mwaka huu na kwa mara ya kwanza atashiriki mkutano nchini Imarati, katika safari ya kwanza rasmi kwa kiongozi wa ngazi ya juu wa Kizayuni katika nchi hiyo ya Kiarabu.