-
Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki
Mar 30, 2022 11:48Wimbi la kejeli na hasira limetanda katika mitandao ya kijamii nchini India baada ya mahakama kufunga kesi dhidi ya wanasiasa wawili waliotoa matamshi ya kichochezi dhidi ya Waislamu, ikisema kuwa uchochezi si kauli za chuki ukiambatana na tabasamu.
-
Waislamu wapinga mahakamani marufuku ya vazi la hijabu shuleni India
Mar 30, 2022 07:05Wanaharakati wa mawakili wa Kiislamu nchini India wameenda katika Mahakama ya Kilele ya jimbo la Kusini mwa India la Karnataka, kuukatia rufaa uamuzi wa Mahakama ya Juu kuidhinisha marufuku ya vazi la hijabu katika shule na vyuo vikuu vya jimbo hilo.
-
Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
Mar 20, 2022 02:43Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.
-
Kupasishwa marufuku ya vazi la hijabu katika shule za kusini mwa India
Mar 17, 2022 02:22Mahakama ya Juu ya jimbo la Kusini mwa India la Karnataka imeidhinisha marufuku ya vazi la Hijabu katika shule na vyuo vikuu vya jimbo hilo.
-
Marufuku ya hijabu katika skuli za serikali kusini ya India yaidhinishwa rasmi na mahakama
Mar 15, 2022 13:26Siku kadhaa baada ya skuli za jimbo la Karanatka la kusini mwa India kuwapiga marufuku wanafunzi wanawake Waislamu kuvaa vazi la staha la Kiislamu la Hijabu, mahakama ya nchi hiyo imeidhinisha rasmi uamuzi huo.
-
Muigizaji wa India akamatwa kwa kutoa maoni kuhusu kesi ya marufuku ya hijabu
Feb 25, 2022 03:19Muigizaji na mwanaharakati wa India, Chetan Kumar Ahimsa amekamatwa na polisi kwa madai ya kuchapisha ujumbe wa Twitter akimkosoa mmoja wa majaji wanaosikiliza maombi ya kupigwa marufuku vazi la hijabu mashuleni.
-
38 wahukumiwa kifo India kwa kuhusika na miripuko ya mabomu ya 2008 mjini Ahmedabad
Feb 19, 2022 02:57Mahakama moja nchini India imetoa hukumu ya adhabu ya kifo kwa watu 38 na ya kifungo cha maisha jela kwa wengine 11 kwa kuhusika na uripuaji mabomu uliotokea mwaka 2008 katika mji wa Ahmedabad magharibi mwa nchi hiyo ambao ulisababisha vifo vya makumi ya watu.
-
Maandamano ya kulaani marufuku ya hijabu shuleni yaenea kote India
Feb 14, 2022 03:21Maandamano ya kulaani hatua ya skuli kadhaa katika jimbo la Karnataka kusini mwa India kuwazuia wasichana Waislamu wanaovaa hijabu wasiingie madarasani kwa kisingizio cha kutekeleza amri ya wizara ya elimu ya jimbo hilo, yameenea katika pembe mbalimbali za nchi hiyo ya Asia.
-
Mahakama Kuu ya India na mtihani mgumu wa kutekeleza sheria au kuchagua misimamo ya kuchupa mipaka
Feb 13, 2022 04:16Kushadidi kwa mizozo na hitilafu juu ya vazi la hijabu la wasichana na wanawake wa Kiislamu katika vyuo na taasisi za elimu katika jimbo la Karnataka huko kusini mwa India kumezusha hali ya wasiwasi na hofu kwa jamii za Waislamu nchini humo.
-
HRW yakosoa marufuku ya vazi la hijabu nchini India
Feb 12, 2022 02:59Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa marufuku ya vazi la hijab inakiuka wajibu wa India chini ya sheria ya kimataifa ya haki za binadamu, ambayo inadhamini haki ya uhuru wa imani ya kidini ya mtu binafsi na uhuru wa kujieleza na kupata elimu bila ubaguzi.