-
Maduro: Dunia inapaswa kulaani mauaji ya Jenerali Soleimani
Dec 27, 2021 09:57Rais Nicholas Maduro wa Venezuela amesema jamii ya kimataifa inapaswa kulaani vikali mauaji ya kigaidi ya mwaka 2020 ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani wa Iran ambaye alikuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi.
-
Iran yasikitishwa na mauaji yaliyofanywa na magaidi Burkina Faso
Dec 27, 2021 09:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametangaza kufungamana na familia za raia wa Burkina Faso ambao waliuawa katika hujuma ya kigaidi hivi karibuni.
-
Iran yafanya majaribio ya makombora 16 ya balistiki kwa mafanikio
Dec 25, 2021 01:09Katika siku ya mwisho ya mazoezi makubwa ya kijeshi yaliyopewa jina la "Mtume Mtukufu SAW 17", Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimevurumisha kwa pamoja makombora 16 ya balistiki ambayo yamelenga shabaha kwa mafanikio ya kiwango cha juu.
-
Abu Turabi Fard: Marekani na Israel zinavuruga amani Asia Magharibi
Dec 24, 2021 12:24Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, katika zama hizi za giza ambapo siasa za Marekani na mamluki wake zinachochea ukosefu wa usalama na machafuko katika eneo la Magharibi mwa Asia na dunia, mfumo wa Kiislamu wa Iran umeweza kuboresha pakubwa kiwango cha usalama katika eneo hilo.
-
Rais wa Iran awapongeza Wakristo maadhimisho ya kuzaliwa Nabii Issa Masih, asema ni fursa ya kukumbuka sira yake
Dec 24, 2021 09:20Katika ujumbe wake wa pongezi kwa Kingozi wa Kanisa Katoliki Duniani wa Wakristo wote kwa nasaba wa maadhimisho ya kuzaliwa Nabii Issa (as), Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutaja kuzaliwa kwa Mtume huyo wa Mwenyezi Mungu kuwa ni fursa ya kukumbuka ruwaza njema ya kuwapenda wanadamu na kutoa bishara njema kwa watu wanaodhulumiwa na kukandamizwa.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Azerbaijan
Dec 23, 2021 00:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na Rais Ilham Aliyev wa Azerbaijan wamekutana na kufanya mazungumzo kuhusu masuala ya pamoja yanayohusu nchi mbili.
-
Brigedia Jenerali Qaani: Shahid Irlu alikuwa mtumishi wa wananchi wanaodhulumiwa wa Yemen
Dec 21, 2021 08:24Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, shahid Hasan Irlu, balozi wa Iran nchini Yemen ambaye amefariki dunia kwa ugonjwa wa corona, alikuwa mtumishi wa wananchi madhulumu na wanamuqawama wa Yemen.
-
UN yaipongeza Iran kwa kuwahudumia vyema wakimbizi
Dec 21, 2021 04:12Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imeipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kupokea idadi kubwa ya wakimbizi licha ya matatizo yanayoikabili na kusema imeisaidia jamii ya kimataifa.
-
Abdollahian asisitiza msimamo wa Iran wa kuliunga mkono taifa la Palestina
Dec 20, 2021 01:16Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Palestina hadi pale mji mtakatifu wa Quds utakapombolewa na kuondoka katika makucha ya Wazayuni maghasibu.
-
Umoja wa Mataifa waipongeza Iran kwa kuwapa huduma wakimbizi
Dec 20, 2021 01:12Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNCHR) ameipongeza Iran kwa ukarimu wake mkubwa katika kuwapa huduma wakimbizi hasa wale waliodhulumiwa kutoka nchi jirani ya Afghanistan.